Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tanzanite One kujenga hospitali

KAMPUNI ya Tanzanite- One Limited ambayo hivi karibuni ilichukuliwa na wawekezaji wa ndani iko katika mchakato wa kujenga hospitali mpya kwa ajili ya wakazi wa mji wa Mirerani.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Magese kujenga hospitali

Mwanamitindo wa kimataifa na Miss Tanzania 2001, Happiness ‘Millen’ Magese, amesema anajipanga kujenga hospitali ya wanawake nchini.

 

11 years ago

Tanzania Daima

KAM kujenga hospitali ya mafunzo

CHUO cha Tiba na Afya cha KAM cha jijini Dar es Salaam kimepanga kujenga hospitali kubwa ya mafunzo kwa wataalam wa afya ikiwa ni jitihada za kuongeza wataalam wa fani...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Bil. 3/- kujenga hospitali Kishapu

UJENZI wa hospitali ya Wilaya ya Kishapu mkoani Shinyanga, inayotarajia kuanza kazi Oktoba mwaka huu unatarajia kugharimu sh bilioni tatu. Akisoma taarifa ya ujenzi wa hospitali hiyo kwa  Waziri wa...

 

9 years ago

Habarileo

Wahadharishwa kujenga eneo la hospitali

WANANCHI wanaoishi karibu na eneo lililotengwa kwa ajili ya ujenzi wa Hospitali ya Rufaa katika kijiji cha Binguni, Wilaya ya Kati Unguja wametakiwa kutolitumia eneo hilo kwa shughuli yoyote ya ujenzi kujiepusha na hasara inayoweza kuwapata.

 

11 years ago

Habarileo

Aga Khan kujenga hospitali ya kisasa

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda.TAASISI ya Aga Khan inatarajia kujenga hospitali kubwa ya kisasa nchini.

 

11 years ago

Habarileo

WAMA kujenga hospitali maalumu ya wazazi

TAASISI ya Wanawake na Maendeleo (WAMA) imekusudia kujenga hospitali maalumu ya wazazi, lengo likiwa ni kuhakikisha wanasaidia juhudi za kupunguza vifo vya uzazi nchini. WAMA pia imepanga kujenga shule ya sekondari sawa na ile ya WAMA Nakayama iliyoko Rufiji mkoani Pwani ikisomesha watoto yatima na wanaotoka katika familia zenye uwezo mdogo kifedha.

 

11 years ago

Mwananchi

TBA kujenga hospitali ya kisasa Shinyanga

Wakala wa Majengo Mkoa wa Shinyanga (TBA), imeanza ujenzi wa hospitali ya kisasa ya rufaa katika eneo la Ndala kwa gharama ya Sh900 milioni.

 

11 years ago

BBCSwahili

Yachukua miaka 60 kujenga hospitali DRC

Hospitali iliyoanza kujengwa mwaka 1954 mjini Kinshasa, Jamhuri ya Demokrasi ya Congo, yafunguliwa rasmi na Rais Joseph Kabila

 

10 years ago

GPL

IVORY COST: DROGBA ATUMIA MAMILIONI KUJENGA HOSPITALI

Mshambuliaji wa Chelsea Didier Drogba. Mshambuliaji wa timu ya Chelsea F.C. Didier Drogba amezindua hospitali ya kwanza, kubwa na ya aina yake kati ya tano alizo wahi kuahidi kuzijenga kama sehemu ya kujitolea kwa jamii yake . Hospitali hiyo iko wilaya ya Attécoubé katika mji wa kibiashara wa Abidjan, hospitali hiyo imemgharimu nguli huyo wa kandanda kiasi cha dola milioni moja za kimarekani ili kukamilisha mjengo huo wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani