Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


IVORY COST: DROGBA ATUMIA MAMILIONI KUJENGA HOSPITALI

Mshambuliaji wa Chelsea Didier Drogba. Mshambuliaji wa timu ya Chelsea F.C. Didier Drogba amezindua hospitali ya kwanza, kubwa na ya aina yake kati ya tano alizo wahi kuahidi kuzijenga kama sehemu ya kujitolea kwa jamii yake . Hospitali hiyo iko wilaya ya Attécoubé katika mji wa kibiashara wa Abidjan, hospitali hiyo imemgharimu nguli huyo wa kandanda kiasi cha dola milioni moja za kimarekani ili kukamilisha mjengo huo wa...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi waandamana,Ivory Cost

Wanajeshi wanaoandamana nchini Ivory Coast wameingia ndani ya majengo ya radio ya taifa hilo katika mji wa Bouaké.

 

11 years ago

BBCSwahili

DRC yaiabisha Ivory Cost

Usiku wa kuamkia leo ulikuwa wa bara la Afrika , timu kadhaa zikijitupa uwanjani kutafuta kufuzu fainali za mataifa ya Afrika .

 

11 years ago

StarTV

Kufuzu AFCON, DRC yaipiga Ivory Cost 4-3.

Usiku wa kuamkia leo ulikuwa ni usiku wa bara la Afrika huku timu kadhaa zikijitupa uwanjani kutafuta tiketi ya kufuzu kwa fainali za mataifa ya Afrika yatakayofanyika mwakani huko nchini Moroko.

 
Tunisia walikuwa wenyeji kucheza dhidi ya Senegal, hadi kipyenga cha mwisho Tunisia ikaibanjua Senegal bao 1-0.

 
Nao mabingwa wa kihistoria Misri walimenyana na Botswana, hadi mwisho wa mchezo huo wenyeji Misri wakaibuka kidedea kwa kuwaangamiza wageni wao bao 2-0.

 
Mashabiki wa Ivory Coast...

 

10 years ago

CloudsFM

Washindi Ivory Coast wazawadiwa nyumba na mamilioni kila mmoja.

RAIS wa Ivory Coast Alassane Ouattara ametoa zaidi ya €3 milioni ($3.4m) kama bonasi kuwatuza washindi wa Kombe la Taifa Bingwa Afrika 2015, Wizara ya Michezo nchini humo ilisema Jumanne. Taifa hilo la Afrika Magharibi lililaza Ghana 9-8 kupitia mikwaju ya penalty baada ya kutoka sare tasa muda wa kawaida na wa ziada Equatorial Guinea na kuinua taji lao la pili, la mwisho likiwa 1992.
Kocha Herve Renard alialikwa ikulu ya rais Jumanne huku Mfaransa huyo akipokezwa bonasi ya takriban €114...

 

10 years ago

Habarileo

Tanzanite One kujenga hospitali

KAMPUNI ya Tanzanite- One Limited ambayo hivi karibuni ilichukuliwa na wawekezaji wa ndani iko katika mchakato wa kujenga hospitali mpya kwa ajili ya wakazi wa mji wa Mirerani.

 

11 years ago

Mwananchi

Magese kujenga hospitali

Mwanamitindo wa kimataifa na Miss Tanzania 2001, Happiness ‘Millen’ Magese, amesema anajipanga kujenga hospitali ya wanawake nchini.

 

9 years ago

Habarileo

Wahadharishwa kujenga eneo la hospitali

WANANCHI wanaoishi karibu na eneo lililotengwa kwa ajili ya ujenzi wa Hospitali ya Rufaa katika kijiji cha Binguni, Wilaya ya Kati Unguja wametakiwa kutolitumia eneo hilo kwa shughuli yoyote ya ujenzi kujiepusha na hasara inayoweza kuwapata.

 

11 years ago

Tanzania Daima

KAM kujenga hospitali ya mafunzo

CHUO cha Tiba na Afya cha KAM cha jijini Dar es Salaam kimepanga kujenga hospitali kubwa ya mafunzo kwa wataalam wa afya ikiwa ni jitihada za kuongeza wataalam wa fani...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Bil. 3/- kujenga hospitali Kishapu

UJENZI wa hospitali ya Wilaya ya Kishapu mkoani Shinyanga, inayotarajia kuanza kazi Oktoba mwaka huu unatarajia kugharimu sh bilioni tatu. Akisoma taarifa ya ujenzi wa hospitali hiyo kwa  Waziri wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani