IVORY COST: DROGBA ATUMIA MAMILIONI KUJENGA HOSPITALI

Mshambuliaji wa Chelsea Didier Drogba. Mshambuliaji wa timu ya Chelsea F.C. Didier Drogba amezindua hospitali ya kwanza, kubwa na ya aina yake kati ya tano alizo wahi kuahidi kuzijenga kama sehemu ya kujitolea kwa jamii yake . Hospitali hiyo iko wilaya ya Attécoubé katika mji wa kibiashara wa Abidjan, hospitali hiyo imemgharimu nguli huyo wa kandanda kiasi cha dola milioni moja za kimarekani ili kukamilisha mjengo huo wa...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili19 Nov
Wanajeshi waandamana,Ivory Cost
11 years ago
BBCSwahili16 Oct
DRC yaiabisha Ivory Cost
11 years ago
StarTV16 Oct
Kufuzu AFCON, DRC yaipiga Ivory Cost 4-3.
Usiku wa kuamkia leo ulikuwa ni usiku wa bara la Afrika huku timu kadhaa zikijitupa uwanjani kutafuta tiketi ya kufuzu kwa fainali za mataifa ya Afrika yatakayofanyika mwakani huko nchini Moroko.
Tunisia walikuwa wenyeji kucheza dhidi ya Senegal, hadi kipyenga cha mwisho Tunisia ikaibanjua Senegal bao 1-0.
Nao mabingwa wa kihistoria Misri walimenyana na Botswana, hadi mwisho wa mchezo huo wenyeji Misri wakaibuka kidedea kwa kuwaangamiza wageni wao bao 2-0.
Mashabiki wa Ivory Coast...
10 years ago
CloudsFM12 Feb
Washindi Ivory Coast wazawadiwa nyumba na mamilioni kila mmoja.
Kocha Herve Renard alialikwa ikulu ya rais Jumanne huku Mfaransa huyo akipokezwa bonasi ya takriban €114...
10 years ago
Habarileo07 Apr
Tanzanite One kujenga hospitali
KAMPUNI ya Tanzanite- One Limited ambayo hivi karibuni ilichukuliwa na wawekezaji wa ndani iko katika mchakato wa kujenga hospitali mpya kwa ajili ya wakazi wa mji wa Mirerani.
11 years ago
Mwananchi29 May
Magese kujenga hospitali
9 years ago
Habarileo09 Dec
Wahadharishwa kujenga eneo la hospitali
WANANCHI wanaoishi karibu na eneo lililotengwa kwa ajili ya ujenzi wa Hospitali ya Rufaa katika kijiji cha Binguni, Wilaya ya Kati Unguja wametakiwa kutolitumia eneo hilo kwa shughuli yoyote ya ujenzi kujiepusha na hasara inayoweza kuwapata.
11 years ago
Tanzania Daima29 Jul
KAM kujenga hospitali ya mafunzo
CHUO cha Tiba na Afya cha KAM cha jijini Dar es Salaam kimepanga kujenga hospitali kubwa ya mafunzo kwa wataalam wa afya ikiwa ni jitihada za kuongeza wataalam wa fani...
11 years ago
Tanzania Daima08 Jun
Bil. 3/- kujenga hospitali Kishapu
UJENZI wa hospitali ya Wilaya ya Kishapu mkoani Shinyanga, inayotarajia kuanza kazi Oktoba mwaka huu unatarajia kugharimu sh bilioni tatu. Akisoma taarifa ya ujenzi wa hospitali hiyo kwa Waziri wa...