Shughuli zasimama kusubiri matokeo
Shughuli mbalimbali za kibiashara jana zilisimama katikati ya Jiji la Mwanza baada ya wafanyabiashara kufunga maduka wakihofia kutokea vurugu wakati wa kutangaza matokeo ya wagombea ubunge wa Jimbo la Nyamagana na Ilemela.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi19 Sep
Mbowe ajisalimisha polisi, Shughuli zasimama
10 years ago
StarTV17 Jan
Shughuli zasimama kwa muda Stendi ya mabasi Singida.
Na Emmanuel Michael,
Singida.
Shughuli mbalimbali katika Stendi kuu ya mabasi Mjini Singida, jana zilisimama kwa zaidi ya saa tano, baada ya wapigadebe na mawakala kufunga kwa lundo la mawe lango la kuingilia katika kituo hicho.
Hatua hiyo ilichukuliwa kama moja ya njia za kuushinikiza uongozi wa Halmashauri ya Manispaa ya Singida, kukifanyia matengenezo kipande cha barabara ya kuingia katika kituo hicho chenye mashimo makubwa na kuweka lami pamoja na ukarabati wa miundombinu mingine...
9 years ago
Mwananchi08 Oct
Shughuli zasimama Wete mapokezi ya Seif Sharif Hamad
10 years ago
Tanzania Daima20 Nov
Biashara Mwanza zasimama saa tano
MSUGUANO kati ya Wafanyabiara wadogo (Machinga), na Polisi mkoani Mwanza umezidi baada ya jana shughuli za biashara kusimama zaidi ya saa tano. Sakata hilo lililoanza kufukuta majira ya saa sita...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-W1VLfdyw1ys/VcjxoPAkWWI/AAAAAAAHv1E/eNWhhDZrjd4/s72-c/MMGL0137.jpg)
KAZI ZASIMAMA JIJINI DAR KUPISHA LOWASSA ACHUKUE FOMU YA KUWANIA URAIS
Msafara wa Mgombea huyo ulioanzia kwenye Ofisi za Chama cha Wananchi CUF Buguruni na kuishia kwenye Ofisi za CHADEMA Kinondoni Jijini Dar es salaam na kupelekea msongamano mkubwa wa watu ambao wengi wao ni wafuasi wakuu wa vyama vinavyounda...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jNrZ7iSqItYYToKe0zW3cQn9mhTeWMIbJXo7KmxUXJkAeYpWIiZz3CJ2ggRUT51znZt5jgh2QUJM28DDyEsMLwItb3mnEekF/MAHABA.jpg)
ACHA HARAKA, JIFUNZE KUSUBIRI?
10 years ago
Uhuru Newspaper26 Mar
Wanaojipitisha kusaka uongozi watakiwa kusubiri
NA MWANDISHI WETU
MJUMBE wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC), ya CCM, Dk. Edmund Mndolwa, amesema viongozi wanaojipitisha kwa ajili ya kutaka uongozi ndani ya chama, wanawachanganya wananchi, hivyo wasubiri muda ufike.
Aidha, amewataka baadhi ya viongozi wa CCM, wanaowatumia viongozi wa dini kuwatetea wakati wanapokosolewa, kuacha mara moja tabia hiyo.
Dk. Mndolwa alisema hayo mjini Dar es Salaam, jana, alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari.
Alisema muda wa kupata wagombea ndani ya chama...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-L6ApIXnQGIg/Xuoc6XxfWYI/AAAAAAALuPc/qn52mXkkUy4mdBmzbreIdZEgsIq_k3SXACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-17%2Bat%2B4.37.19%2BPM.jpeg)
Kusubiri Kumekwisha, Ligi ya Primia Imerejea!
![](https://1.bp.blogspot.com/-L6ApIXnQGIg/Xuoc6XxfWYI/AAAAAAALuPc/qn52mXkkUy4mdBmzbreIdZEgsIq_k3SXACLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-17%2Bat%2B4.37.19%2BPM.jpeg)
Ni kwa Meridianbet pekee, utapata mechi 92 za SOKA BORA UINGEREZA ambazo zitachezwa mwezi ujao na nusu. Na...