Kusubiri Kumekwisha, Ligi ya Primia Imerejea!
![](https://1.bp.blogspot.com/-L6ApIXnQGIg/Xuoc6XxfWYI/AAAAAAALuPc/qn52mXkkUy4mdBmzbreIdZEgsIq_k3SXACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-17%2Bat%2B4.37.19%2BPM.jpeg)
BAADA ya kusubiri kwa miezi mitatu kwa wapenzi na mashabiki vindaki ndaki kutoka pande zote Ligi Kuu ya Uingereza inaendelea rasmi leo. Mchezo wa kongwe na wa kufurahisha zaidi unawarudisha wakali halisi mchezoni, na Meridianbet imejali burudani hii na kukuletea odds bora kwa ajili yako. Shindano la Ligi Kuu Uingereza ni la kipekee na lina machaguo zaidi ya 9000 za kwa ajili yako!
Ni kwa Meridianbet pekee, utapata mechi 92 za SOKA BORA UINGEREZA ambazo zitachezwa mwezi ujao na nusu. Na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili26 Jun
Taji la ligi ya England: Jinsi kocha Jurgen Klopp alivyoisaidia Liverpool kushinda taji la Ligi ya Primia.
11 years ago
Dewji Blog19 Jun
Primia ya Afrika ya “Half of a Yellow Sun” yafanyika Zanzibar
Dairekta wa filamu ya Half of a Yellow Sun, Biyi Bandele akizungumza na wadau wa sinema kabla sinema yake hajafanyiwa Primia ya Afrika mjini Zanzibar. Kushoto ni mratibu wa majaji ZIFF, Fabrizio Colombo kutoka Italia.
Na Mwandishi wetu, Zanzibar
TANZANIA imebahatika kufanya Primia ya Afrika kwa sinema ya Half of a Yellow Sun , miezi miwili tu baada ya sinema hiyo kuzuiwa kimtindo nchini Nigeria ambako mtengenezaji ndiko nyumbani kwake.
Sinema hiyo ilioneshwa jana katika ukumbi wa wazi wa...
9 years ago
Mwananchi27 Oct
Shughuli zasimama kusubiri matokeo
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jNrZ7iSqItYYToKe0zW3cQn9mhTeWMIbJXo7KmxUXJkAeYpWIiZz3CJ2ggRUT51znZt5jgh2QUJM28DDyEsMLwItb3mnEekF/MAHABA.jpg)
ACHA HARAKA, JIFUNZE KUSUBIRI?
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/06/DSC_02341.jpg)
PRIMIA YA AFRIKA YA "HALF OF A YELLOW SUN" YAFANYIKA ZANZIBAR
10 years ago
Uhuru Newspaper26 Mar
Wanaojipitisha kusaka uongozi watakiwa kusubiri
NA MWANDISHI WETU
MJUMBE wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC), ya CCM, Dk. Edmund Mndolwa, amesema viongozi wanaojipitisha kwa ajili ya kutaka uongozi ndani ya chama, wanawachanganya wananchi, hivyo wasubiri muda ufike.
Aidha, amewataka baadhi ya viongozi wa CCM, wanaowatumia viongozi wa dini kuwatetea wakati wanapokosolewa, kuacha mara moja tabia hiyo.
Dk. Mndolwa alisema hayo mjini Dar es Salaam, jana, alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari.
Alisema muda wa kupata wagombea ndani ya chama...
10 years ago
Habarileo12 Mar
Wanawake wajipanga foleni ya kitanda kusubiri kujifungua
WANAWAKE wa kijiji cha Ibihwa Wilaya ya Bahi mkoani Dodoma wameomba kuongezewa vitanda vya kujifungulia kutokana na zahanati wanayotumia kuwa na kitanda kimoja na kulazimika kupanga foleni ili wapate nafasi pindi wanapopatwa na uchungu.
10 years ago
Habarileo16 Jan
Wafanyakazi Tazara wasota kortini kusubiri hukumu
SAKATA la mgomo wa wafanyakazi 1,500 wa Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia (TAZARA), ulioingia katika siku ya sita, limechukua sura mpya baada ya wafanyakazi hao waliofunguliwa kesi katika Mahakama ya Kazi, kusota kwa siku nzima wakisubiri hukumu yao.
9 years ago
BBCSwahili02 Nov
Wachina kusubiri hadi Machi kupata watoto wawili