Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanawake wajipanga foleni ya kitanda kusubiri kujifungua

WANAWAKE wa kijiji cha Ibihwa Wilaya ya Bahi mkoani Dodoma wameomba kuongezewa vitanda vya kujifungulia kutokana na zahanati wanayotumia kuwa na kitanda kimoja na kulazimika kupanga foleni ili wapate nafasi pindi wanapopatwa na uchungu.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Ripoti: Hatari inayowanyemelea wanawake kutokana na kasi ya kujifungua kwa upasuaji

>Wakati idadi ya wanawake wanaojifungua kwa upasuaji ikizidi kuongezeka nchini, utafiti mpya umeonyesha kuwa migogoro baina ya wahudumu wa afya ya uzazi imechangia ongezeko la wajawazito wanaofanyiwa upasuaji bila kuwapo sababu za lazima.

 

11 years ago

Mwananchi

Gharama za kitanda zapanda Muhimbili

Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH), imepandisha gharama za huduma hospitalini hapo na sasa mgonjwa atakayelazwa atalazimika kulipa Sh5,000 kwa siku.

 

11 years ago

GPL

UNDANI MTOTO ALIYEFICHWA UVUNGUNI MWA KITANDA

Stori: DUSTAN SHEKIDELE, MOROGORO SAKATA la mtoto Devota Malole mwenye umri wa miaka mitano, ambaye ni mlemavu aliyeibuliwa baada ya kufichwa chini ya uvungu wa kitanda kwa muda wa miezi mitatu huko Matongolo, Dumila,Tarafa ya Magole wilayani Kilosa limeibua mambo mapya, baada ya kubaini kuwa aliyesababisha kuokolewa ni mume wa mama wa binti huyo. Mtoto Devota Malole mwenye umri wa miaka mitano, ambaye ni mlemavu aliyeibuliwa...

 

10 years ago

Mwananchi

Pacha wanaoshirikiana mwanamume, kazi, gari, kitanda

Pacha waliozaliwa kwa kupishana dakika moja, wanashirikiana kila kitu maishani. Maisha ya kawaida, gari, akaunti ya facebook, benki, mshahara, kazi hata rafiki wa kiume, yote hayo wanafanya kwa kushirikiana.

 

11 years ago

CloudsFM

HILI NDILO KABURI LILILOVUNJA REKODI,MAITI YAWEKEWA KITANDA,TV,VINYWAJI N.K.

Sasa uachane na stori zote za watu maarufu na wasio maarufu, matajiri na masikini waliokufa na kuzikwa ndani ya majeneza mazuri na yaliyo na thamani kubwa, hayo tulikwisha yazoea kitambo sana.Kiboko cha yaote mtu aliyezikwa katika kaburi lililotengenezwa kama chumba cha kulala kilicho na samani tofauti za thamani kubwa sana kama vile flat screen, dreassing table, kitanda na vitu vingine vingi mpaka mvinyo, perfumes na vingine vingi, hii ndio top katika dunia hii, angalia picha zaidi za tukio...

 

10 years ago

Vijimambo

HIKI NDO KITANDA CHA MTOTO MTARAJIWA WA DIAMOND NI MADINI TUPU!!.


Crib la mtoto wa Diamond na Zari pande za Ikulu ya wasafi.

 

11 years ago

CloudsFM

HUYU NDIYE MTOTO ALIYEFICHWA UVUNGUNI MWA KITANDA MIAKA SITA

SAKATA la mtoto Devota Malole mwenye umri wa miaka mitano, ambaye ni mlemavu aliyeibuliwa baada ya kufichwa chini ya uvungu wa kitanda kwa muda wa miezi mitatu huko Matongolo, Dumila,Tarafa ya Magole wilayani Kilosa limeibua mambo mapya, baada ya kubaini kuwa aliyesababisha kuokolewa ni mume wa mama wa binti huyo.
Mashuhuda waliokuwepo wakati wa kufichuliwa kwa mtoto huyo, wakiwemo majirani na wapangaji wa nyumba aliyokuwa akiishi, walisema mpangaji wa chumba hicho, Masumbuko Mkwama (25),...

 

10 years ago

Vijimambo

MSICHANA WA MIAKA 21 AUAWA NA MPENZI WAKE KISHA KUMFUKIA CHINI YA KITANDA





Tukio moja lilimeibua hisia kubwa kwa wakazi wa kijiji cha Isyongo kaunti ya nyamira nchini Kenya, baada ya Polisi kufukua maiti ya msichana mmoja Feidhi Omega 21, iliyokuwa imezikwa chini ya uvungu wa kitanda.

Taarifa zinasema kuwa binti huyo alimtembelea mpenzi wake wiki mbili zilizopita lakini hakurudi nyumbani kwao ndipo mama yake alipoanza kumtafuta na kuelekezwa kwa mpenzi wake Daniel Nyabuti, huku akiwa na matumaini ya kumkuta mtoto wake akiwa hai, walipofika nyumbani kwa kijana huyo...

 

10 years ago

Mwananchi

Shughuli zasimama kusubiri matokeo

Shughuli mbalimbali za kibiashara jana zilisimama katikati ya Jiji la Mwanza baada ya wafanyabiashara kufunga maduka wakihofia kutokea vurugu wakati wa kutangaza matokeo ya wagombea ubunge wa Jimbo la Nyamagana na Ilemela.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani