ACHA HARAKA, JIFUNZE KUSUBIRI?
![](http://api.ning.com:80/files/jNrZ7iSqItYYToKe0zW3cQn9mhTeWMIbJXo7KmxUXJkAeYpWIiZz3CJ2ggRUT51znZt5jgh2QUJM28DDyEsMLwItb3mnEekF/MAHABA.jpg)
NIANZE kwa kuwatakia siku njema ya Jumatano ya kwanza kabisa ya Desemba, ikiwa ni ishara kwamba mwisho wa mwaka unakaribia. Ni jambo la kumshukuru Mungu kwamba tumekuwa miongoni mwa waliochaguliwa kuuona mwezi huu, ingawa yatupasa tuombe sana ili tuumalize. Maana mnajua kwa kiasi gani wapendwa wetu walivyopotea na hatutawaona tena. Mada yangu leo kama unavyoweza kuiona hapo juu kwenye kichwa chake cha habari, inawazungumzia zaidi...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi27 Oct
Shughuli zasimama kusubiri matokeo
10 years ago
Uhuru Newspaper26 Mar
Wanaojipitisha kusaka uongozi watakiwa kusubiri
NA MWANDISHI WETU
MJUMBE wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC), ya CCM, Dk. Edmund Mndolwa, amesema viongozi wanaojipitisha kwa ajili ya kutaka uongozi ndani ya chama, wanawachanganya wananchi, hivyo wasubiri muda ufike.
Aidha, amewataka baadhi ya viongozi wa CCM, wanaowatumia viongozi wa dini kuwatetea wakati wanapokosolewa, kuacha mara moja tabia hiyo.
Dk. Mndolwa alisema hayo mjini Dar es Salaam, jana, alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari.
Alisema muda wa kupata wagombea ndani ya chama...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-L6ApIXnQGIg/Xuoc6XxfWYI/AAAAAAALuPc/qn52mXkkUy4mdBmzbreIdZEgsIq_k3SXACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-17%2Bat%2B4.37.19%2BPM.jpeg)
Kusubiri Kumekwisha, Ligi ya Primia Imerejea!
![](https://1.bp.blogspot.com/-L6ApIXnQGIg/Xuoc6XxfWYI/AAAAAAALuPc/qn52mXkkUy4mdBmzbreIdZEgsIq_k3SXACLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-17%2Bat%2B4.37.19%2BPM.jpeg)
Ni kwa Meridianbet pekee, utapata mechi 92 za SOKA BORA UINGEREZA ambazo zitachezwa mwezi ujao na nusu. Na...
10 years ago
Habarileo16 Jan
Wafanyakazi Tazara wasota kortini kusubiri hukumu
SAKATA la mgomo wa wafanyakazi 1,500 wa Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia (TAZARA), ulioingia katika siku ya sita, limechukua sura mpya baada ya wafanyakazi hao waliofunguliwa kesi katika Mahakama ya Kazi, kusota kwa siku nzima wakisubiri hukumu yao.
10 years ago
Habarileo12 Mar
Wanawake wajipanga foleni ya kitanda kusubiri kujifungua
WANAWAKE wa kijiji cha Ibihwa Wilaya ya Bahi mkoani Dodoma wameomba kuongezewa vitanda vya kujifungulia kutokana na zahanati wanayotumia kuwa na kitanda kimoja na kulazimika kupanga foleni ili wapate nafasi pindi wanapopatwa na uchungu.
9 years ago
BBCSwahili02 Nov
Wachina kusubiri hadi Machi kupata watoto wawili
9 years ago
Mwananchi15 Oct
HOJA YA UCHUMI: Hatuhitaji kusubiri rais mpya kuiokoa shilingi
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-Q-4y4Xb6hfY/VhibwbnxooI/AAAAAAAEAJ4/p3IVfiGfRg4/s72-c/FullSizeRender_1.jpg)
#HAPA NI KAZI TU# WEWE ENDELEA KUSUBIRI MABADIRIKO WATOTO WASIENDE CHOONI
![](http://4.bp.blogspot.com/-Q-4y4Xb6hfY/VhibwbnxooI/AAAAAAAEAJ4/p3IVfiGfRg4/s1600/FullSizeRender_1.jpg)
DR TEMBA WA TEMBA ENGINEERING SERVICE AKIWA KAZINI KUDUMISHA USEMI WA MGOMBEA URAISI KUPITIA CCM DR MAGUFULI #HAPA KAZI TU#
![](http://2.bp.blogspot.com/-rLZbZWuG9-A/VhGPcTnK-6I/AAAAAAAD_74/tnj0wwncL3o/s640/DSC_9697.jpg)
Dr Temba akitoa maelezo mbele ya wageni waliotembelea kwenye viunga vya chuo cha UDC, Dr Temba amedesign machine ya kukaushia samaki na matunda kwa ajili ya chuo hicho na wageni hawa walitembelea ili kujionea jinsi machine hiyo inavyofanya kazi.Hii ni video ya machine hiyo ilivyowashwa kwa majaribio. Ukiwa na swali binafsi kwenda kwa Dr Temba unaweza kumwandikia email:...
10 years ago
Mwananchi14 Aug
Chifu Adam Sapi Mkwawa wa Pili, kusubiri miaka 7 aongoze Wahehe