KAZI ZASIMAMA JIJINI DAR KUPISHA LOWASSA ACHUKUE FOMU YA KUWANIA URAIS
![](http://4.bp.blogspot.com/-W1VLfdyw1ys/VcjxoPAkWWI/AAAAAAAHv1E/eNWhhDZrjd4/s72-c/MMGL0137.jpg)
MGOMBEA wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa amechukua fomu ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) ya kuwania nafasi hiyo leo Jumatatu Agosti 10, 2015.
Msafara wa Mgombea huyo ulioanzia kwenye Ofisi za Chama cha Wananchi CUF Buguruni na kuishia kwenye Ofisi za CHADEMA Kinondoni Jijini Dar es salaam na kupelekea msongamano mkubwa wa watu ambao wengi wao ni wafuasi wakuu wa vyama vinavyounda...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-WhVxbUxL99o/Vbn9gOoC7XI/AAAAAAAHspA/AVwk9W_eWTY/s72-c/_MG_1504.jpg)
LOWASSA AWASILI MAKAO MAKUU YA CHADEMA KUCHUKUA FOMU YA KUWANIA URAIS NDANI YA CHAMA HICHO HIVI PUNDE JIJINI DAR
![](http://3.bp.blogspot.com/-WhVxbUxL99o/Vbn9gOoC7XI/AAAAAAAHspA/AVwk9W_eWTY/s640/_MG_1504.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Ou-kZyolRWs/Vbn9ezO31CI/AAAAAAAHsos/7_9hJctistg/s640/_MG_1408.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Ju65Khad3OM/VQRWA88cqUI/AAAAAAAHKVk/TsgpujtjNkY/s72-c/unnamed5.jpg)
Machinga wamtaka Lowassa achukue fomu ya urais
![](http://1.bp.blogspot.com/-Ju65Khad3OM/VQRWA88cqUI/AAAAAAAHKVk/TsgpujtjNkY/s1600/unnamed5.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-qkMAc5kR5Y0/VQRV9N8R1NI/AAAAAAAHKVc/IUUAYVw3NdU/s1600/unnamed6.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-MYpFpAbrK-U/VcC_9uDs29I/AAAAAAAC9TE/8ud3J2l-TxY/s72-c/124.jpg)
MAGUFULI ACHUKUA FOMU KUWANIA URAIS TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI JIJINI DAR LEO,VIFIJO NA NDEREMO VYATAWALA
![](http://2.bp.blogspot.com/-MYpFpAbrK-U/VcC_9uDs29I/AAAAAAAC9TE/8ud3J2l-TxY/s640/124.jpg)
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM),Dkt John Pombe Magufuli na Mgombea Mwenza Ndugu Samia Suluhu Hassan wakionesha fomu zao za kuomba kugombea urais mara baada ya kuchukua kwenye ofisi za Tume ya Taifa ya Uchaguzi jijini Dar es salaam leo, ambapo walisindikizwa na viongozi mbalimbali pamoja na wanachama wa CCM na wananchi kwa ujumla wakiwa wamepanda kwenye gari maalum.
![](http://4.bp.blogspot.com/-SzMabWcsAjE/VcCx_glCXcI/AAAAAAAC9Sc/xRhZj5YQC0Y/s640/6.jpg)
10 years ago
BBCSwahili10 Aug
Lowassa achukua fomu za kuwania urais
10 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/08/LOWASA-2.jpg)
LOWASSA ARUDISHA FOMU ZA KUWANIA URAIS CHADEMA
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-b8F85fuLZrw/Vb3Oo5KI9DI/AAAAAAABTAE/VtEnFm5Cai0/s72-c/1.jpg)
LOWASSA ARUDISHA FOMU ZA KUWANIA URAIS KUPITIA CHADEMA
![](http://2.bp.blogspot.com/-b8F85fuLZrw/Vb3Oo5KI9DI/AAAAAAABTAE/VtEnFm5Cai0/s640/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-qdEX4XPJnFo/Vb3OosTgmBI/AAAAAAABTAI/d9IN476eGRo/s640/2.jpg)
10 years ago
Mwananchi31 Jul
Lowassa achukua fomu ya kuwania urais kupitia Chadema
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/ql4_IZVgXvI/default.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-jn2FqhWtTaQ/Vcj4oQx1xTI/AAAAAAAHv4s/7zX2K1lYxWY/s72-c/MMGL1282.jpg)
LOWASSA ACHUKUA FOMU YA TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI KUWANIA URAIS WA TANZANIA
![](http://4.bp.blogspot.com/-jn2FqhWtTaQ/Vcj4oQx1xTI/AAAAAAAHv4s/7zX2K1lYxWY/s640/MMGL1282.jpg)
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa na Mgombea Mwenza wake, Dkt. Juma Haji Duni wakiwapingua maelfu ya wafuasi wa vyama vya Siasa vinavyounda UKAWA, jijini Dar es salaam, Augusti 10, 2015, walipokuwa wakielekea Tume ya Taifa ya Uchaguzi kuchukua Fomu ya kuwania Urais wa Tanzania kwenye Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Octoba 25, mwaka huu.
![](http://4.bp.blogspot.com/-059c9__0dIg/VckRaTDYUUI/AAAAAAAAtts/ISPFUZQyb-k/s640/edo4.jpg)