Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Biashara Mwanza zasimama saa tano

MSUGUANO kati ya Wafanyabiara wadogo (Machinga), na Polisi mkoani Mwanza umezidi baada ya jana shughuli za biashara kusimama zaidi ya saa tano. Sakata hilo lililoanza kufukuta majira ya saa sita...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Uhuru Newspaper

Slaa abanwa kwa saa tano



Ni unyama aliofanyiwa Kagenzi na madai ya kutaka kudhuriwa
NA MWANDISHI WETU
SAKATA la kushambuliwa kwa aliyekuwa mlinzi wa Katibu Mkuu wa CHADEMA, Dk. Wilbroad Slaa, Khaild Kangezi, limechukua sura mpya baada ya kiongozi huyo kufika katika kituo kikuu cha polisi na kuandika maelezo kwa takriban saa tano.
Hivi karibuni,  Dk. Slaa kupitia kwa mmoja wa viongozi wa CHADEMA, Mabere Marando, alidai kuwepo kwa mpango wa kumdhuru, ambao unaratibiwa na maofisa usalama kwa kushirikiana na baadhi ya...

 

9 years ago

Mtanzania

Ukawa kumuaga Mawazo kwa saa tano

Mawazo* Wapigwa marufuku kula, kunywa wakati wa kuaga

*Lowassa, Mbowe na Sumaye kuongoza waombolezaji

 

NA BENJAMIN MASESE, MWANZA

HALMASHAURI ya Manispaa ya Ilemela imetoa saa tano kwa Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) kutumia Uwanja wa Furahisha kwa ajili ya kuaga mwili wa marehemu Alphonce Mawazo, kutokana na mlipuko wa ugonjwa wa kipindupindu.

Akitoa ratiba mpya ya kuaga mwili wa Mawazo, aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mkoa wa Geita mjini hapa jana, Kaimu...

 

10 years ago

GPL

BUNGE KUENDELEA LEO SAA TANO ASUBUHI

Ni baada ya kikao cha jana usiku kuvunjika kwa wajumbe kutoridhika na maazimio ya wenzao, Spika aahirisha shughuli za bunge mpaka saa 5 asubuhi.

 

9 years ago

Vijimambo

Kigogo wa Chadema ahojiwa polisi saa tano.

Mkurugenzi wa Fedha na Utawala wa chama hicho, Anthony Komu.
Jeshi la Polisi Mkoani Kilimanjaro limemshikilia na kumhoji kwa zaidi ya saa tano mgombea ubunge wa Jimbo la Moshi Vijijini kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) ambaye pia ni Mkurugenzi wa Fedha na Utawala wa chama hicho, Anthony Komu (pichani), kwa madai ya kumtisha kwa bastola Katibu wa chama hicho mkoani hapa, Basil Lema.

Hata hivyo, baada ya kuhojiwa jeshi hilo lilimwachia huru Komu na kisha kulifuta jalada la...

 

10 years ago

Vijimambo

MWISHO WA TICKET ZA BEI NAFUU YA $75 LEO USIKU SAA TANO @11:59 PM


NUNUA TICKET ONLINE ..INGIA HAPAWWW.DIAMONDUSATOUR.COM

 

11 years ago

Mwananchi

BIASHARA: Saa mbili ndani ya Machinjio ya Vingunguti

>Ukiwa unakaribia  katika eneo la machinjio lililopo Vingunguti jijini hapa kabla ya kuingia ndani salamu ya kwanza utakayopokelewa nayo ni “Karibu mteja   fungu  moja ni Sh 1,000 tu…dada karibu uboreshe ndoa…kaka karibu uboreshe ndoa,”hizo ni sauti za vijana waliopanga bidhaa zao kwenye meza pembezoni mwa Barabara ya Vingunguti, nje ya banda la kuchinjia mifugo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani