Askari wawili mbaroni kwa fedha bandia
Jeshi la Polisi mkoani Simiyu linawashikilia askari wawili wa magereza na polisi kwa kukutwa na noti bandia ikiwa pamoja na sare za Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ).
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi05 Jan
Askari wawili mbaroni kwa kuteka magari
10 years ago
MichuziASKARI MAGEREZA ALIYEKAMATWA NA FEDHA ZA BANDIA AFUKUZWA KAZI
Kwa mujibu wa taarifa rasmi iliyotolewa jana Machi 28, 2015 na kusainiwa na Kamishna Jenerali wa Magereza nchini, John Casmir Minja, askari Na. B. 6499 Wdr. Edmund Masaga amefukuzwa kazi kwa fedheha kuanzia Machi 28, 2015 kwa kosa la kulidhalilisha Jeshi mbele ya Umma kinyume na Kanuni 22(xlix) ya Kanuni za Utumishi wa Jeshi...
11 years ago
Mwananchi04 Jan
Askari wa JWTZ mbaroni akituhumiwa kuua wawili
11 years ago
Habarileo09 Feb
Polisi washikilia vijana wawili kwa noti bandia
POLISI mkoani hapa inawashikilia vijana wawili kwa tuhuma za kukutwa na noti bandia zenye thamani ya Sh 285,000.
10 years ago
Tanzania Daima11 Oct
Mbaroni kwa tuhuma za kuua askari
JESHI la Polisi mkoani hapa, linawashikiliwa watu wawili wakazi wa Murubona Wilayani Kasulu kwa tuhuma za mauaji ya watu wawili akiwemo askari. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kigoma, Jaffar Mohamed,...
10 years ago
Habarileo25 Apr
20 mbaroni kwa kumpiga askari polisi
WATU 20 wamekamatwa na Polisi baada ya kumjeruhi askari aliyekuwa doria. Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Morogoro, Leonard Paulo alisema watu hao 20 wanatuhumiwa kumpiga na kitu butu kichwani Askari Polisi mwenye namba F 3328 Cpl Ramadhani akiwa kwenye doria na mwenzake.
11 years ago
Tanzania Daima19 Jan
Askari magereza mbaroni kwa wizi
JESHI la Polisi Zanzibar linamshikilia askari wa Chuo cha Mafunzo sawa na Magereza kwa Tanzania Bara kwa tuhuma za wizi wa sh 1,635,000 alizoiba kutoka katika duka moja lililopo eneo...
9 years ago
Mwananchi22 Dec
Askari sita mbaroni kwa mauaji
10 years ago
Habarileo02 Jan
Askari wa Wanyamapori mbaroni kwa mauaji
ASKARI wanne wa Wanyamapori wameshikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani Simiyu kwa madai ya kufanya mauaji kwa kumpiga risasi mchungaji wa ng’ombe aliyeingia katika eneo la hifadhi ya wanyama ndani ya eneo tengefu la Maswa wilayani Meatu.