Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Askari magereza mbaroni kwa wizi

JESHI la Polisi Zanzibar linamshikilia askari wa Chuo cha Mafunzo sawa na Magereza kwa Tanzania Bara kwa tuhuma za wizi wa sh 1,635,000 alizoiba kutoka katika duka moja lililopo eneo...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

StarTV

Askari Magereza mbaroni Babati

Polisi mkoani Manyara inamshikilia askari mmoja wa jeshi la Magereza wilayani Babati mkoani Manyara kwa tuhuma za kuwashawishi wenzake 10 kuwavamia wakazi wa eneo la Kijiweni Mrara wilayani humo na kuwapiga pamoja na kuharibu mali zao.

Askari anayeshikiliwa na polisi ni Konstebo Jackson ambaye inasemekana aliwashawishi wenzake baada ya yeye kupigwa na wakazi hao wakati akiamua ugomvi wa vijana katika eneo hilo. Mwanahabari wetu Zacharia Mtigandi ametuandalia jicho letu mikoani ambalo...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mbaroni kwa wizi wa kutumia silaha

JESHI la Polisi Mkoa wa Tanga linawashikilia watu nane kwa tuhuma za unyang’anyi wa sh 978,600 kwa kutumia silaha katika Kijiji cha Jasini mpakani mwa Kenya na Tanzania. Akithibitisha kutokea...

 

10 years ago

Habarileo

Wakenya 4 mbaroni kwa wizi wa magari

Kamanda wa Polisi mkoa wa Kilimanjaro, Fulgence NgonyaniPOLISI Mkoa wa Kilimanjaro, inawashikilia wezi wanne wa magari akiwamo mwanamke mmoja wote raia wa Kenya, kwa tuhuma za wizi wa gari na kutaka kulificha nchini Tanzania.

 

10 years ago

Michuzi

KAMISHNA JENERALI WA MAGEREZA AMPANDISHA CHEO CHA SAJIN WA MAGEREZA ASKARI WA KIKE, MWANARIADHA WA KIMATAIFA JIJINI DAR

Kamishna Jenerali wa Jeshi la Magereza, John Casmir Minja akimvisha cheo cha Sajin wa Magereza, Askari Mwanariadha wa Kimataifa, CPL. Catherina Lange(hivi sasa cheo cha sajin) wa Gereza Kuu Arusha ambaye ambaye hushiriki mashindano mbalimbali ya riadha ya Kitaifa na Kimataifa hivyo kuliletea sifa Jeshi la Magereza na Taifa kwa ujumla. hafla hiyo imefanyika leo Januari 13, 2015 katika Ofisi za Makao Makuu ya Jeshi la Magereza, Jijini Da res Salaam.Kamishna Jenerali wa Jeshi la Magereza, John...

 

11 years ago

Mwananchi

Vigogo Barclays mbaroni kwa wizi wa fedha

>Hatimaye Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam limetoa taarifa ya wizi uliotokea katika Benki ya Barclays, Tawi la Kinondoni Aprili 15, mwaka huu, likisema tukio hilo lilipangwa ndani ya benki hiyo.

 

9 years ago

Habarileo

Katibu afya Singida mbaroni kwa wizi

POLISI mkoani Singida inamshikilia Katibu wa Afya wa Wilaya ya Mkalama, James Ndimbo kwa tuhuma ya wizi wa Sh milioni sita akiwa mtumishi wa umma.

 

10 years ago

GPL

MKE WA KIGOGO MBARONI KWA WIZI WA MAGARI

Stori: Na Makongoro Oging’ Nuru Ramadhani Nasibu (pichani), mkazi wa jijini Dar es Salaam aliyekuwa akitafutwa na polisi wa nchini na wa kimataifa (Interpol) kwa kuhusishwa na wizi wa kuaminiwa wa magari matatu mali ya Dk. Emmanuel Matech  ametiwa mbaroni. Nuru Ramadhani Nasibu, mkazi wa jijini Dar es Salaam anayetuhumiwa kwa wizi wa magari. Taarifa zilizopatikana ndani ya jeshi hilo juzi zinadai mwanamke huyo alitiwa...

 

5 years ago

BBCSwahili

Polisi mbaroni kwa kumburuza mwanamke umbali wa mita 200 kwa tuhuma za wizi

Viongozi na wanaharakati wa haki za binaadamu kutoka kaunti ya Nakuru nchini Kenya wamepaza sauti zao kukemea vitendo vya ukatili unaofanywa na polisi mjini humo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani