Wakenya 4 mbaroni kwa wizi wa magari
POLISI Mkoa wa Kilimanjaro, inawashikilia wezi wanne wa magari akiwamo mwanamke mmoja wote raia wa Kenya, kwa tuhuma za wizi wa gari na kutaka kulificha nchini Tanzania.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/2Tkrz8bmcYigzBIU5UtXa8XhmxA1O0MnZNtqvchgwBeQnZaKEV6fOXoqwhwnkfgMdpMsER-IEMwQ-U1mvRkjOAU-asYMpkqA/mke.jpg?width=650)
MKE WA KIGOGO MBARONI KWA WIZI WA MAGARI
11 years ago
Tanzania Daima11 Jun
Mbaroni kwa wizi wa kutumia silaha
JESHI la Polisi Mkoa wa Tanga linawashikilia watu nane kwa tuhuma za unyang’anyi wa sh 978,600 kwa kutumia silaha katika Kijiji cha Jasini mpakani mwa Kenya na Tanzania. Akithibitisha kutokea...
11 years ago
Tanzania Daima19 Jan
Askari magereza mbaroni kwa wizi
JESHI la Polisi Zanzibar linamshikilia askari wa Chuo cha Mafunzo sawa na Magereza kwa Tanzania Bara kwa tuhuma za wizi wa sh 1,635,000 alizoiba kutoka katika duka moja lililopo eneo...
11 years ago
Mwananchi29 Apr
Vigogo Barclays mbaroni kwa wizi wa fedha
9 years ago
Habarileo09 Dec
Katibu afya Singida mbaroni kwa wizi
POLISI mkoani Singida inamshikilia Katibu wa Afya wa Wilaya ya Mkalama, James Ndimbo kwa tuhuma ya wizi wa Sh milioni sita akiwa mtumishi wa umma.
5 years ago
BBCSwahili11 Jun
Polisi mbaroni kwa kumburuza mwanamke umbali wa mita 200 kwa tuhuma za wizi
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-huew_CtEXno/XoYE1Z1cLJI/AAAAAAAC85Y/64VzLVcjhpAXtCwI2UjzMC8CIiF2w9wDACLcBGAsYHQ/s72-c/2.png)
Magari ya kifahari Njombe yashikiliwa na polisi kwa kushtukiwa ni ya wizi
Jeshi la polisi mkoani Njombe limefanikiwa kukamata mtandao wa watu 23 wanaotuhumiwa kujihusisha na wizi wa mali mbalimbali yakiwemo magari matano,pikipiki 23 pamoja na vitu mbalimbali vya ndani zikiwemo tv.
Kaimu kamanda wa polisi mkoa wa Njombe Rashid Ngonyani mbele ya vyombo vya habari amesema ,kukamatwa kwa mali hizo kumekuja baada ya kufanyika kwa oparesheni mbalimbali za mitandao ya wizi.
“tunawashikilia watu 23 kwa makosa mbali mbali,watano kwa wizi wa...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-x-xe0PkHBO4/VVfE3CdoukI/AAAAAAAHXq8/IC03iwNBw50/s72-c/unnamed.jpg)
WATATU MBARONI KWA UVUNJAJI NA WIZI MKOANI DODOMA
![](http://1.bp.blogspot.com/-x-xe0PkHBO4/VVfE3CdoukI/AAAAAAAHXq8/IC03iwNBw50/s400/unnamed.jpg)
Jeshi la Polisi Mkoa wa Dodoma linamshikilia mtu mmoja aliyekamatwa huko katika nyumba ya kulala wageni iitwayo Yarabi Salama (Yarabi Salama guest house) katika Manispaa ya Dodoma.
Aliyekamatwa anafahamika kwa jina la MASAGARA S/O MESO, Mwenye miaka 40, Kabila Mzanaki wa Butiama, akiwa na funguo bandia 19, Master key 2, Bisibisi 2, Kisu kimoja, Tupa moja, Mikasi mitatu mikubwa ya kukatia vyuma, Msumeno ya kukatia vyuma mitano, Mitalimbo ya...
10 years ago
VijimamboWATU WATATU MBARONI KWA UVUNJAJI NA WIZI MKOANI DODOMA