Askari wa JWTZ mbaroni akituhumiwa kuua wawili
Polisi Mkoa wa Ilala inamshikilia askari wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ), mwenye cheo cha meja wa Kikosi Miguu Kibaha kwa tuhuma za kuwaua kwa kuwapiga risasi vijana wawili wakazi wa eneo la Pugu Kinyamwezi, wakati wa shamrashamra za mkesha wa mwaka mpya.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo28 Jun
Mbaroni akituhumiwa kuua Polisi
MAKACHERO wa Jeshi la Polisi Zanzibar, wamefanikiwa kumkamatammoja wa watuhumiwa hatari wa mauaji ya askari Poli-si mmoja na askari mgambo katika kituo cha polisi Kimanzichana Mkuranga Mkoani Pwani.
10 years ago
Habarileo07 May
Waasi waua askari wawili wa JWTZ
WANAJESHI wawili wa Tanzania ambao wako kwenye jeshi la kulinda amani la Umoja wa Mataifa Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), wameuawa katika vita na waasi wa eneo hilo.
11 years ago
Tanzania Daima11 Oct
Mbaroni kwa tuhuma za kuua askari
JESHI la Polisi mkoani hapa, linawashikiliwa watu wawili wakazi wa Murubona Wilayani Kasulu kwa tuhuma za mauaji ya watu wawili akiwemo askari. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kigoma, Jaffar Mohamed,...
11 years ago
Mwananchi05 Jan
Askari wawili mbaroni kwa kuteka magari
10 years ago
Mwananchi26 Mar
Askari wawili mbaroni kwa fedha bandia
11 years ago
Habarileo25 Sep
Mbaroni akituhumiwa kulawiti mtoto
POLISI mkoani Kagera inamshikilia mkazi wa Manispaa ya Bukoba, Jovin Kasuno (22) kwa tuhuma za kulawiti mtoto mwenye umri wa miaka sita na kumuumiza.
11 years ago
Mwananchi01 Jan
Binti mbaroni akituhumiwa kutupa mtoto
11 years ago
GPL
MEJA JWTZ ADAIWA KUUA MADENTI
11 years ago
Mwananchi06 Oct
JWTZ yamtimua kazi askari