Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ashikiliwa kwa nyara za Serikali

Polisi Mkoa wa Singida, wanamshikilia Jafari Hamisi (23),Mkazi wa Ukombozi mjini Singida,kwa tuhuma ya kumilki kinyume cha sheria vipande 16 vya meno ya ndovu vyenye thamani ya zaidi ya Sh17milioni.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Wawili mbaroni kwa nyara za Serikali

Polisi mkoani Rukwa inawashikilia watu wawili akiwemo dereva wa gari mali ya Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Rukwa wakiwa na mizoga miwili ya nyamapori aina ya swala kinyume cha sheria.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ofisa wanyamapori kortini kwa nyara za serikali

OFISA Muhifadhi Wanyamapori Halmashauri ya Wilaya ya Rufiji, Rashidi Ndimbe, amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam kwa tuhuma za kukutwa na nyara za serikali. Mbele...

 

5 years ago

Michuzi

POLISI MKOANI ARUSHA ASHIKILIWA KWA UBAKAJI



Na Ahmed Mahmoud Arusha

Katibu wa ccm Tawi la Jamhuri kata ya Daraja mbili jijini Arusha,Aron Sanare Kivuyo anashikiliwa na jeshi la Polisi Jijini hapa kwa kosa la kumbaka na kumpatia ujauzito mwanafunzi wa kituo cha Compassion Mwenye umri wa miaka 15 baada ya kumrubuni kwa fedha na mahitaji mbalimbali aliyokuwa akimpatia.
Aroni Mwenye umri wa miaka 56 mkazi mtaa wa Sanare,Daraja mbili anadaiwa kumpachika ujauzito mwanafunzi huyo baada ya kumrubuni kwa kumpatia fedha na mahitaji mengine...

 

11 years ago

Michuzi

ASHIKILIWA NA JESHI LA POLISI KWA KUJIFANYA AFISA USALAMA WA TAIFA

Kijana aliyetambulika kwa jina la Musa Mbeko(24) anayedaiwa kuwa ni mwandishi wa habari mkoani Tabora akiwa mikononi mwa Jeshi la Polisi mkoani humo baada ya kujifanya kuwa ni afisa kutoka idara ya usalama wa taifa (TISS).kijana huyo inadaiwa aliwahi kufanya kazi kituo cha radio cha Voice of Tabora (VOT) kinachomilikiwa na mbunge wa Jimbo la Tabora mjini,Ismail Rage,hata hivyo Uongozi wa VOT umekana kijana huyo kuwa ni mwandishi wao na kwamba ulikwisha mfukuza kutokana na makosa...

 

9 years ago

Mwananchi

Mabilioni ya nyara za Serikali yaokolewa Kia

Kampuni ya Maendeleo ya Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (Kadco) imeokoa mabilioni ya fedha kwa kipindi cha wiki moja kwa kukamata nyara za Serikali zilizokuwa zikitoroshwa kwenda nje ya nchi.     

 

10 years ago

Habarileo

Raia wapya wakamatwa na nyara za serikali

POLISI mkoani Katavi imewakamata raia wapya watatu waliokuwa wakimbizi kutoka Burundi kwa kujihusisha na biashara haramu ya meno ya tembo.

 

9 years ago

GPL

POLISI YAKAMATA BUNDUKI, BANGI, NYARA ZA SERIKALI

Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai CP, Diwan Athuman, akitoa taarifa yake. Wanahabari wakichukua matukio. CP Athuman akifanua jambo. Wanahabari wakisikiliza kwa makini kilichokuwa kikiendelea kwenye hafla hiyo. JESHI la polisi nchini kwa kushirikiana na ofisi za polisi wa kimataifa,…

 

11 years ago

GPL

WATATU WAKAMATWA NA NYARA ZA SERIKALI MBAGALA, DAR

Ngozi ya chui na nyara nyingine zilizokamatwa.
Meno ya tembo yaliyopatikana kwa watuhumiwa.
Kamishna  Kova akionyesha baadhi ya nyara walizozikamata. WANAWAKE…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani