Mabilioni ya nyara za Serikali yaokolewa Kia
Kampuni ya Maendeleo ya Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (Kadco) imeokoa mabilioni ya fedha kwa kipindi cha wiki moja kwa kukamata nyara za Serikali zilizokuwa zikitoroshwa kwenda nje ya nchi. Â Â Â
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV23 Dec
Utoroshaji Nyara Za Serikali, Tanzanite  Maafisa sita KIA, askari matatani Â
Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Amos Makalla ameagiza kusimamishwa kazi maafisa sita wa idara ya usalama katika uwanja wa ndege wa Kimataifa KIA pamoja na askari mmoja wa kituo kidogo cha polisi cha KIA sanjenti Edward Myaga baada ya kuhusishwa na tuhuma za kushirikiana na watoroshaji wa nyara za Serikali na madini aina ya Tanzanite yenye thamani zaidi ya shilingi bilioni 2.
Maafisa waliosimamishwa kazi ni pamoja na Kefa Langia, Tumaini Mkojera, Recho Shayo na Debora Komba.
Wengine ni Frank...
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/m7XiImNo3Rk/default.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-OOrbJB3Q4ig/Xmzf3iLaFgI/AAAAAAALjpI/HQdsuuafSYAiF1yCKN-Ynsq2lpgLHHr5wCLcBGAsYHQ/s72-c/f54598d4-24be-49b6-b282-480cc00ee3a1.jpg)
Mabilioni mengine yaokolewa na TAKUKURU
![](https://1.bp.blogspot.com/-OOrbJB3Q4ig/Xmzf3iLaFgI/AAAAAAALjpI/HQdsuuafSYAiF1yCKN-Ynsq2lpgLHHr5wCLcBGAsYHQ/s400/f54598d4-24be-49b6-b282-480cc00ee3a1.jpg)
Akitoa taarifa hiyo jijini Dar es salaam, Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU Brigedia Jenerali John Mbungo amesema kuwa, kuokolewa kwa fedha hizo kunafikisha shilingi bilioni 8.5 zilizookolewa tangu taasisi hiyo ipewe jukumu la kuchunguza shilingi bilioni 124 mali ya...
11 years ago
Mwananchi21 Feb
Ashikiliwa kwa nyara za Serikali
10 years ago
Habarileo17 May
Raia wapya wakamatwa na nyara za serikali
POLISI mkoani Katavi imewakamata raia wapya watatu waliokuwa wakimbizi kutoka Burundi kwa kujihusisha na biashara haramu ya meno ya tembo.
11 years ago
Mwananchi01 Jan
Wawili mbaroni kwa nyara za Serikali
11 years ago
Tanzania Daima02 Aug
Ofisa wanyamapori kortini kwa nyara za serikali
OFISA Muhifadhi Wanyamapori Halmashauri ya Wilaya ya Rufiji, Rashidi Ndimbe, amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam kwa tuhuma za kukutwa na nyara za serikali. Mbele...
11 years ago
GPLWATATU WAKAMATWA NA NYARA ZA SERIKALI MBAGALA, DAR
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/1..jpg?width=650)
POLISI YAKAMATA BUNDUKI, BANGI, NYARA ZA SERIKALI