Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mabilioni mengine yaokolewa na TAKUKURU

Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa  Nchini (TAKUKURU) imeokoa zaidi ya shilingi bilioni nne, baada ya kukamilika kwa awamu ya pili ya uchunguzi wa fedha ambazo ni  mali ya vyama vya ushirika ambazo hazijulikani zilipo.

Akitoa taarifa hiyo jijini Dar es salaam, Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU Brigedia Jenerali John Mbungo amesema kuwa,  kuokolewa kwa fedha hizo kunafikisha shilingi bilioni 8.5 zilizookolewa tangu taasisi hiyo ipewe jukumu la kuchunguza shilingi bilioni 124 mali ya...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Mabilioni ya nyara za Serikali yaokolewa Kia

Kampuni ya Maendeleo ya Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (Kadco) imeokoa mabilioni ya fedha kwa kipindi cha wiki moja kwa kukamata nyara za Serikali zilizokuwa zikitoroshwa kwenda nje ya nchi.     

 

9 years ago

Dewji Blog

Sasa ni Rasmi: Tanzania kupata mabilioni mengine ya MCC

Jakaya-Kikwete1

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete.

-Yafaulu mtihani wa kupata bilioni 992.8 za kuboresha sekta ya umeme

-Yafanikiwa baada ya kutimiza masharti yote likiwemo la kupambana na rushwa

-Zitaanza kutolewa mwakani baada ya kupigiwa kura na Bodi ya MCC

Tanzania imetimiza masharti yote ya kupatiwa raundi ya pili ya fedha za maendeleo kutoka Shirika la Maendeleo ya Milenia la Millennium Challenge Corporation (MCC) la Marekani na itaanza kupata na kunufaika na...

 

9 years ago

StarTV

Zaidi ya 50% ya maisha ya watoto wenye ugonjwa Saratani  yaokolewa

Katika kipindi cha miaka mitano, tangu Serikali kwa kushirikiana na wadau wa afya waanzishe kitengo cha ugonjwa wa Saratani kwa watoto kwenye Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, zaidi ya asilimia 50 ya maisha ya watoto wenye ugonjwa huo yameokolewa.

Awali katika wodi ya watoto wenye tatizo hilo kwenye taasisi ya Saratani ya Ocean Road ni asilimia 10 tu ya watoto hao walioweza kuokolewa maisha.

Umasikini na  uelewa mdogo katika ugonjwa  Saratani  ni miongoni mwa sababu zinazochangia ongezeko la...

 

11 years ago

BBCSwahili

Njaa na masaibu mengine Turkana

Kaunti ya Turkana kaskazini mwa Kenya inakabiliwa na ukame mbaya zaidi kuwahi kushuhudiwa katika miaka ya karibuni.

 

10 years ago

Habarileo

Mapendekezo mengine mazito ya PAC

KAMATI ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) ilitoa mapendekezo mengine bungeni mjini Dodoma yafuatayo:

Hukumu ya Jaji

Utamwa Kamati inaitaka Serikali kwenda mahakamani kuomba mapitio ya hukumu iliyoletwa na Jaji John Utamwa.

Kamati inaitaka Serikali kwa mujibu wa sheria na makubaliano ya mkataba, kuchukua mtambo wa IPTL na kuumilikisha kwa Tanesco Kamati inaielekeza Serikali kufanya uchunguzi kwanza kama malipo ya Capacity Charges yaliyolipwa kwa miaka minne kama kuhudumia mkopo kabla ya...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mapinduzi mengine yaandaliwa Burundi

Mmoja wa viongozi katika mapinduzi yaliyozimwa nchini Burundi hivi karibuni ya kumpindua Rais Piere Nkurunziza ameiambia BBC kuwa waasi wao wamekuwa wakiwapa mafunzo polisi na askari kwa ajili ya jaribio jingine la kumwondoa rais Pierre Nkurunziza.

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘Bunge limeyasahau makundi mengine’

MKUFUNZI wa Chuo cha Mafunzo ya Jinsia cha Mtandao wa Jinsia Tanzania (TGNP), Dorothy Mbilinyi, amesema Bunge limekuwa na malumbano ya serikali tatu, mbili na muungano wakati kuna makundi muhimu...

 

11 years ago

BBCSwahili

Mashambulizi mengine yatokea Lamu

Watu waliojihami wamevamia kijiji cha Pandanguo katika Kaunti ya Lamu Pwani ya Kenya na kuteketeza nyumba pamoja na shule.

 

10 years ago

GPL

MASTAA, MNAYOIGA MENGINE NI YA KIJINGA!

ULIMWENGU wa kisasa haukuweza kuiweka kando Tanzania, hasa baada ya teknolojia kufika na kutumiwa ipasavyo na jamii yetu. Hii imefanya kuzaliwa kwa ule msemo kuwa dunia imekuwa kijiji, kwa maana kwamba sasa unaweza kujua au kuona kila kitu kilichopo duniani kupitia simu yako iliyo kiganjani. Simu hizi, hasa kwa vijana, zimewasogeza karibu zaidi na wenzao duniani kote, kiasi kwamba siyo jambo la ajabu mtu akiwa Kariakoo,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani