MASTAA, MNAYOIGA MENGINE NI YA KIJINGA!
![](http://api.ning.com:80/files/dzn4ICuAlE7KzDbfdnmDkOu5FHXDrYqDe4FvQlsPrKWbmom777TZ8NPEVPZvmWY-O9LuWdeNVNfQUGZYnygu8ZVZkDww7rOw/MAMAWEMAh1.jpg?width=650)
ULIMWENGU wa kisasa haukuweza kuiweka kando Tanzania, hasa baada ya teknolojia kufika na kutumiwa ipasavyo na jamii yetu. Hii imefanya kuzaliwa kwa ule msemo kuwa dunia imekuwa kijiji, kwa maana kwamba sasa unaweza kujua au kuona kila kitu kilichopo duniani kupitia simu yako iliyo kiganjani. Simu hizi, hasa kwa vijana, zimewasogeza karibu zaidi na wenzao duniani kote, kiasi kwamba siyo jambo la ajabu mtu akiwa Kariakoo,...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Raia Mwema25 Nov
Ushabiki wa kijinga dalili za umasikini wa akili
NINAKUMBUKA enzi zile tukiwa shule ya msingi, tulikuwa tukiimba juu ya maadui watatu wa taifa let
Privatus Karugendo
9 years ago
Bongo Movies01 Nov
JB: Sitaki Watu Wenye Ushabiki wa Kijinga…
Staa wa bongo Movies, Jacob Stephen ‘JB’ ambaye alikuwa ni moja ya wasanii wa bongo movies ambao walikuwa wakikipigia kampeni chama cha mapinduzi (CCM) kwenye uchaguzi uliyopita, amewafungukia baadhi ya mashabiki kwenye ukurasa wake wa Instagram ambao wamekuwa wakiendeleza siasa hadi kwenye kazi yake ya sanaa.
Narudia kwa mara ya mwisho kwenye acc yangu sitaki watu wenye ushabiki wa kijinga....sitaki matusi...hivi unaposema tutaburn cd hatununui tena unafikiri unanikomoa mimi peke...
10 years ago
Bongo Movies14 Jul
Elly G:Wivu Wa Kijinga Unatuumiza Wasanii
MSANII wa filamu wa kiume Elia Daniel ‘Elly G’ amefunguka kwa kusema kuwa baadhi ya wasanii wana wivu katika tasnia ya filamu kwa kiwango kikubwa hata kufikia kuwaroga wale ambao wanaonyesha juhudi zao katika fani hiyo, Elly G anadai kuwa kuna wakati ambao wawapo Lokeshini hutokewa mauzauza.
“Kuna baadhi ya wasanii hawataki kabisa kuona unafakiwa katika tasnia ya filamu Bongo, utaona msanii akiona tu kila wakati upo Lokesheni unashuti halafu kazi nzuri zinakubalika na jamii tatizo na...
10 years ago
Habarileo18 Oct
Jaji Mutungi: Redio jamii msikubali kutumiwa ‘kijinga’ na wanasiasa
MSAJILI wa Vyama vya Siasa nchini, Jaji Francis Mutungi amezitaka redio za jamii kutokubali kutumiwa na vyama vya siasa vinavyotumia unyonge wa Watanzania kiuchumi kujinufaisha kisiasa.
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ge9WkNua4ToGidVhNGCmHOnxKb0l5EZAcmp7crKk8l66zh06sVPWI1*kbqfmHTRj-DmA1tsLcbSTql4qIxMgftvY*WHYpOFx/wapendanao.jpg?width=650)
MPENZI WAKO AKIKULALAMIKIA UNA WIVU WA KIJINGA KWAKE... UJUE ANAKUSALITI-2
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/OcxvxG4wHxY86mIhSd1SkilbzSd1sHMUhbJLy3nt4AkE-9m2oiCzgzDfjO5mZUemaejGaS1vIRh-d9BPEXH*Ma5pOUp424Oj/CATHY.jpg?width=650)
ISHU YA MASTAA KUJIUZA CATHY AWALAUMU MASTAA WA KIUME
11 years ago
BBCSwahili10 Mar
Njaa na masaibu mengine Turkana
11 years ago
BBCSwahili11 Jul
Mashambulizi mengine yatokea Lamu
10 years ago
BBCSwahili10 Jul
Mapinduzi mengine yaandaliwa Burundi