Elly G:Wivu Wa Kijinga Unatuumiza Wasanii
MSANII wa filamu wa kiume Elia Daniel ‘Elly G’ amefunguka kwa kusema kuwa baadhi ya wasanii wana wivu katika tasnia ya filamu kwa kiwango kikubwa hata kufikia kuwaroga wale ambao wanaonyesha juhudi zao katika fani hiyo, Elly G anadai kuwa kuna wakati ambao wawapo Lokeshini hutokewa mauzauza.
“Kuna baadhi ya wasanii hawataki kabisa kuona unafakiwa katika tasnia ya filamu Bongo, utaona msanii akiona tu kila wakati upo Lokesheni unashuti halafu kazi nzuri zinakubalika na jamii tatizo na...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ge9WkNua4ToGidVhNGCmHOnxKb0l5EZAcmp7crKk8l66zh06sVPWI1*kbqfmHTRj-DmA1tsLcbSTql4qIxMgftvY*WHYpOFx/wapendanao.jpg?width=650)
MPENZI WAKO AKIKULALAMIKIA UNA WIVU WA KIJINGA KWAKE... UJUE ANAKUSALITI-2
5 years ago
Bongo514 Feb
Marehemu Mh. Elly Macha aagwa rasmi
Waziri mkuu Mh. Kassim Majaliwa pamoja na wabunge mbalimbali wameshiriki kuuaga mwili wa aliyekua mbunge wa Viti Maalum (CHADEMA) Dkt Elly Macha, aliyefariki nchini Uingereza alipokuwa akipatiwa matibabu.
Mwili huo umewasili alfajiri leo, katika uwanja wa Mwalimu Nyerere ambapo mapokezi yaliongozwa na Naibu spika wa Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dk Tulia Ackson na kusafirishwa tena mpaka Dodoma ambapo viongozi wa bunge wamepata fursa ya kuuaga Mheshimiwa Macha kwenye viwanja...
10 years ago
Bongo Movies04 Apr
Elly G:Nasimama Mwenye na Kampuni Yangu
Mwigizaji na muongozaji wa filamu hapa Bongo Movie, Elia Daniel ‘Elly G’ amesema kwa sasa ameamua kusimama mwenyewe katika filamu zake katika kuimarisha kampuni yake mpya ya filamu, akiongea na FC msanii huyo amesema kuwa tayari ana filamu moja mkononi ambayo anatarajia kuitoa mwezi huu.
“Tatizo la kazi zetu niusambazaji tu, unahangaika location lakini ukimalizima mtihani unaipeleka wapi? Lakini nashukru kwa sasa nipo na mkataba na Mpwapwa Entertainment na wanaanza na filamu yangu ya Sadaka...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dzn4ICuAlE7KzDbfdnmDkOu5FHXDrYqDe4FvQlsPrKWbmom777TZ8NPEVPZvmWY-O9LuWdeNVNfQUGZYnygu8ZVZkDww7rOw/MAMAWEMAh1.jpg?width=650)
MASTAA, MNAYOIGA MENGINE NI YA KIJINGA!
10 years ago
Michuzi20 Dec
9 years ago
Bongo Movies01 Nov
JB: Sitaki Watu Wenye Ushabiki wa Kijinga…
Staa wa bongo Movies, Jacob Stephen ‘JB’ ambaye alikuwa ni moja ya wasanii wa bongo movies ambao walikuwa wakikipigia kampeni chama cha mapinduzi (CCM) kwenye uchaguzi uliyopita, amewafungukia baadhi ya mashabiki kwenye ukurasa wake wa Instagram ambao wamekuwa wakiendeleza siasa hadi kwenye kazi yake ya sanaa.
Narudia kwa mara ya mwisho kwenye acc yangu sitaki watu wenye ushabiki wa kijinga....sitaki matusi...hivi unaposema tutaburn cd hatununui tena unafikiri unanikomoa mimi peke...
9 years ago
Raia Mwema25 Nov
Ushabiki wa kijinga dalili za umasikini wa akili
NINAKUMBUKA enzi zile tukiwa shule ya msingi, tulikuwa tukiimba juu ya maadui watatu wa taifa let
Privatus Karugendo
9 years ago
Bongo524 Sep
New Video: Drew Elly & Kay Lee – Love and Hustle
10 years ago
Habarileo18 Oct
Jaji Mutungi: Redio jamii msikubali kutumiwa ‘kijinga’ na wanasiasa
MSAJILI wa Vyama vya Siasa nchini, Jaji Francis Mutungi amezitaka redio za jamii kutokubali kutumiwa na vyama vya siasa vinavyotumia unyonge wa Watanzania kiuchumi kujinufaisha kisiasa.