Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Elly G:Wivu Wa Kijinga Unatuumiza Wasanii

MSANII wa filamu wa kiume Elia Daniel ‘Elly G’ amefunguka kwa kusema kuwa baadhi ya wasanii wana wivu katika tasnia ya filamu kwa kiwango kikubwa hata kufikia kuwaroga wale ambao wanaonyesha juhudi zao katika fani hiyo, Elly G anadai kuwa kuna wakati ambao wawapo Lokeshini hutokewa mauzauza.


“Kuna baadhi ya wasanii hawataki kabisa kuona unafakiwa katika tasnia ya filamu Bongo, utaona msanii akiona tu kila wakati upo Lokesheni unashuti halafu kazi nzuri zinakubalika na jamii tatizo na...

Bongo Movies

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

MPENZI WAKO AKIKULALAMIKIA UNA WIVU WA KIJINGA KWAKE... UJUE ANAKUSALITI-2

NAAM! Ni Jumanne tena. Naamini wasomaji wangu mnaendelea kuhesabu siku kuifikia Oktoba 25, mwaka huu ambapo itakuwa siku ya kupiga kura kumchagua rais wa awamu ya tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Lakini pia kuna kuwachagua madiwani na wabunge. Kwa upande wangu nashukuru sana kwamba pamoja na harakati za uchaguzi mkuu, bado napata meseji nyingi sana kutoka kwenu. Hii inaashiria kwamba, mnanisoma vizuri. Wiki iliyopita mada...

 

5 years ago

Bongo5

Marehemu Mh. Elly Macha aagwa rasmi

Waziri mkuu Mh. Kassim Majaliwa pamoja na wabunge mbalimbali wameshiriki kuuaga mwili wa aliyekua mbunge wa Viti Maalum (CHADEMA) Dkt Elly Macha, aliyefariki nchini Uingereza alipokuwa akipatiwa matibabu.

Mwili huo umewasili alfajiri leo, katika uwanja wa Mwalimu Nyerere ambapo mapokezi yaliongozwa na Naibu spika wa Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dk Tulia Ackson na kusafirishwa tena mpaka Dodoma ambapo viongozi wa bunge wamepata fursa ya kuuaga Mheshimiwa Macha kwenye viwanja...

 

10 years ago

Bongo Movies

Elly G:Nasimama Mwenye na Kampuni Yangu

Mwigizaji na muongozaji wa filamu hapa Bongo Movie, Elia Daniel ‘Elly G’ amesema kwa sasa ameamua kusimama mwenyewe katika filamu zake katika kuimarisha kampuni yake mpya ya filamu, akiongea na FC msanii huyo amesema kuwa tayari ana filamu moja mkononi ambayo anatarajia kuitoa mwezi huu.

“Tatizo la kazi zetu niusambazaji tu, unahangaika location lakini ukimalizima mtihani unaipeleka wapi? Lakini nashukru kwa sasa nipo na mkataba na Mpwapwa Entertainment na wanaanza na filamu yangu ya Sadaka...

 

10 years ago

GPL

MASTAA, MNAYOIGA MENGINE NI YA KIJINGA!

ULIMWENGU wa kisasa haukuweza kuiweka kando Tanzania, hasa baada ya teknolojia kufika na kutumiwa ipasavyo na jamii yetu. Hii imefanya kuzaliwa kwa ule msemo kuwa dunia imekuwa kijiji, kwa maana kwamba sasa unaweza kujua au kuona kila kitu kilichopo duniani kupitia simu yako iliyo kiganjani. Simu hizi, hasa kwa vijana, zimewasogeza karibu zaidi na wenzao duniani kote, kiasi kwamba siyo jambo la ajabu mtu akiwa Kariakoo,...

 

10 years ago

Michuzi

9 years ago

Bongo Movies

JB: Sitaki Watu Wenye Ushabiki wa Kijinga…

Staa wa bongo Movies, Jacob Stephen ‘JB’ ambaye alikuwa ni moja ya wasanii wa bongo movies ambao walikuwa wakikipigia kampeni chama cha mapinduzi (CCM) kwenye uchaguzi uliyopita, amewafungukia baadhi ya mashabiki kwenye ukurasa wake wa Instagram ambao wamekuwa wakiendeleza siasa hadi kwenye kazi yake ya sanaa.

Narudia kwa mara ya mwisho kwenye acc yangu sitaki watu wenye ushabiki wa kijinga....sitaki matusi...hivi unaposema tutaburn cd hatununui tena unafikiri unanikomoa mimi peke...

 

9 years ago

Raia Mwema

Ushabiki wa kijinga dalili za umasikini wa akili

NINAKUMBUKA enzi zile tukiwa shule ya msingi, tulikuwa tukiimba juu ya maadui watatu wa taifa let

Privatus Karugendo

 

9 years ago

Bongo5

New Video: Drew Elly & Kay Lee – Love and Hustle

Watch DREW ELLY(From Tanzania) & KAY LEE(From Mozambique) performing “Love & Hustle. They are upcoming artists who “create and love good Music.” They are currently students at the University of Dar es Salaam(UDSM),Tanzania. Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube […]

 

10 years ago

Habarileo

Jaji Mutungi: Redio jamii msikubali kutumiwa ‘kijinga’ na wanasiasa

MSAJILI wa Vyama vya Siasa nchini, Jaji Francis Mutungi amezitaka redio za jamii kutokubali kutumiwa na vyama vya siasa vinavyotumia unyonge wa Watanzania kiuchumi kujinufaisha kisiasa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani