JB: Sitaki Watu Wenye Ushabiki wa Kijinga…
Staa wa bongo Movies, Jacob Stephen ‘JB’ ambaye alikuwa ni moja ya wasanii wa bongo movies ambao walikuwa wakikipigia kampeni chama cha mapinduzi (CCM) kwenye uchaguzi uliyopita, amewafungukia baadhi ya mashabiki kwenye ukurasa wake wa Instagram ambao wamekuwa wakiendeleza siasa hadi kwenye kazi yake ya sanaa.
Narudia kwa mara ya mwisho kwenye acc yangu sitaki watu wenye ushabiki wa kijinga....sitaki matusi...hivi unaposema tutaburn cd hatununui tena unafikiri unanikomoa mimi peke...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
9 years ago
Raia Mwema25 Nov
Ushabiki wa kijinga dalili za umasikini wa akili
NINAKUMBUKA enzi zile tukiwa shule ya msingi, tulikuwa tukiimba juu ya maadui watatu wa taifa let
Privatus Karugendo
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-6NUTDXOWsS4/XnOUOMoTFmI/AAAAAAALkek/vDBppIQbJTMQaXyyu2qXENuiYmi5aVcqwCLcBGAsYHQ/s72-c/99b625c4-e539-4c8c-a622-78ad9c5d861f.jpg)
SHIRIKISHO LA VYAMA VYA WATU WENYE ULEMAVU TANZANIA WAIOMBA SERIKALI KUSAIDIA WATU WENYE UZIWI KUPATA TAARIFA SAHIHI KUHUSU CORONA
Na Said Mwishehe,Michuzi Globu ya jamii
UONGOZI wa Shirikisho la Vyama vya Watu wenye Ulemavu Tanzania (SHIVYAWATA )lumesema kwamba uwepo wa tishio la virusi vya Corona (COVID-19) nchini umesababisha hofu kubwa kwa watu wenye uziwi kwani imekuwa ngumu kwao kupata maelekezo na miongozo ya Serikali pamoja na Wizara ya Afya,Maendeleo ya Jamii,Jisinsia, Wazee na Watoto.
Umesema kuwa matangazo mengi ambayo yametolewa na Wizara ya Afya yanashindwa kuwafikia watu wenye uziwi kwani hakuna watalaam wa...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-__HPM9naugk/VXBojbaIo8I/AAAAAAAHcCo/hhFUzx1q2jo/s72-c/5.jpg)
KINANA AWATAKA WANANCHI KUACHA USHABIKI BADALA YAKE WACHAGUE VIONGOZI WENYE SIFA NA WANAOFAA KULIONGOZA TAIFA
![](http://3.bp.blogspot.com/-__HPM9naugk/VXBojbaIo8I/AAAAAAAHcCo/hhFUzx1q2jo/s640/5.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-mf4yF_p6FbA/VXBoaua3oBI/AAAAAAAHcBs/gjb6uCW_lN8/s640/1.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mhrng7eeJg2CXSI-vcS4eCVEgbit9fhx0TwlblhoOPi1LB35s*TrQybPZONTUFy8Nrzske3DgCq2HIHk07DPDHgNiuxnnaoq/10.jpg?width=650)
WAJUE WATU 10 WENYE NGUVU TANZANIA
10 years ago
BBCSwahili06 Aug
Mitindo ya watu wenye miili mikubwa
9 years ago
Mwananchi23 Sep
Ndoto za watu wenye ulemavu zinapotimia
9 years ago
BBCSwahili05 Nov
Watu wenye nguvu na ushawishi zaidi duniani
10 years ago
Tanzania Daima07 Nov
Tamwa kuzindua jarida la watu wenye ulemavu
SHIRIKISHO la Vyama vya Watu Wenye Ulemavu Tanzania (Shivyawata), leo linatarajiwa kuzindua jarida linalojulikana kama ‘Sauti ya Siti’. Jarida hilo maalumu kwa watu wenye ulemavu, limeandaliwa na Chama cha Wanahabari...
9 years ago
Mtanzania24 Nov
Watu 829 wauawa na wananchi wenye hasira
ASIFIWE GEORGE NA KOKU DAVID, DAR ES SALAAM
WATU 829 wameuawa katika kipindi cha Januari hadi Oktoba mwaka huu kutokana na wananchi kujichukulia sheria mkononi.
Akizungumza Dar es Salaam jana, Msemaji wa Jeshi la Polisi, Advera Bulimba, alisema matukio ya watu kujichukulia sheria mkononi yameongezeka, ikilinganishwa na mwaka jana katika kipindi kama hicho ambapo watu 785 waliuawa kwa matukio kama hayo.
Alisema takwimu zinaonyesha kuwa tabia hiyo inaendelea kujengeka na kuonekana kama ni...