WAJUE WATU 10 WENYE NGUVU TANZANIA
![](http://api.ning.com:80/files/mhrng7eeJg2CXSI-vcS4eCVEgbit9fhx0TwlblhoOPi1LB35s*TrQybPZONTUFy8Nrzske3DgCq2HIHk07DPDHgNiuxnnaoq/10.jpg?width=650)
KWA muda wa miezi miwili , magazeti ya Global Publishers Ltd yaliendesha zoezi la kuwashirikisha wasomaji wake juu ya mtu gani mwenye nguvu zaidi ya ushawishi katika jamii ya Watanzania. Rais Jakaya Kikwete. Jumla ya Watanzania 438,726 walipiga kura kupendekeza majina mbalimbali. Watu 10 waling’ara zaidi kwa kugawana jumla ya kura asilimia 97.4, huku wengine ambao hawakuweza kuchomoza wakiambulia mgawo wa asilimia 2.6. ...
GPL
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-6NUTDXOWsS4/XnOUOMoTFmI/AAAAAAALkek/vDBppIQbJTMQaXyyu2qXENuiYmi5aVcqwCLcBGAsYHQ/s72-c/99b625c4-e539-4c8c-a622-78ad9c5d861f.jpg)
SHIRIKISHO LA VYAMA VYA WATU WENYE ULEMAVU TANZANIA WAIOMBA SERIKALI KUSAIDIA WATU WENYE UZIWI KUPATA TAARIFA SAHIHI KUHUSU CORONA
Na Said Mwishehe,Michuzi Globu ya jamii
UONGOZI wa Shirikisho la Vyama vya Watu wenye Ulemavu Tanzania (SHIVYAWATA )lumesema kwamba uwepo wa tishio la virusi vya Corona (COVID-19) nchini umesababisha hofu kubwa kwa watu wenye uziwi kwani imekuwa ngumu kwao kupata maelekezo na miongozo ya Serikali pamoja na Wizara ya Afya,Maendeleo ya Jamii,Jisinsia, Wazee na Watoto.
Umesema kuwa matangazo mengi ambayo yametolewa na Wizara ya Afya yanashindwa kuwafikia watu wenye uziwi kwani hakuna watalaam wa...
9 years ago
BBCSwahili05 Nov
Watu wenye nguvu na ushawishi zaidi duniani
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vZjCFErHAhy5NXdhuGOol5494AYOhaWbFxJubPUj3P1eFywr0ji71Oia-hAzzExsegbt40S*iMZ51d1MfaqE73DtdKMu8tN1/Genevive.jpg?width=650)
WAJUE MASTAA WANANE WA NIGERIA WENYE MAJUMBA YA KIFAHARI
10 years ago
Vijimambo13 May
MACHAFUKO YA BURUNDI NI MZIGO WAWAKIMBIZI TANZANIA POLISI WAZIDIWA NGUVU NA WAANDAMANAJI WENYE JAZBA
![](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2015/05/12/15/2895A51A00000578-3078438-image-a-46_1431442534670.jpg)
Waandamanaji wakimkimbiza polisi wa kike baada ya kukimbiwa na polisi wenzake pale polisi walivyozidiwa nguvu na waandamanaji.
![](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2015/05/12/15/2895C13D00000578-3078438-image-a-47_1431442534692.jpg)
Waandamanaji wamesha mkamata polisi wa kike na kumbeba mzobe mzobe amani imetoweka kabisa kwa ndugu zetu hawa.
![](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2015/05/12/15/2895B5BD00000578-3078438-image-a-55_1431442615764.jpg)
Wakimburuza chini uku wakimshutumu kwanini wanawashuti na wao sasa watalipiza kisasi kwa kumuua kwa mikono yao.
![](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2015/05/12/15/2895BBA000000578-3078438-image-a-45_1431442534656.jpg)
Baati mzuri kulikuwa na wasamalia wema ambao walikuwa na roho ya utu na walimuokoa kabla ya mabaya zaidi kumkuta hii yote inatokea polisi wenzie...
9 years ago
MillardAyo17 Dec
Wajue wasanii watano wenye ushawishi mkubwa Africa kwa mwaka 2015… Mtanzania yupo mmoja tu!
Nimekutana na jarida la New African Magazine toleo ya December 2015 na ndani ya jarida hilo nikakutana na list ya watu waliotajwa kama watu wenye ushawishi mkubwa zaidi Africa kwa mwaka huu wa 2015… kwa upande wa burudani nimekutana na mastaa watano huku Mtanzania akiwemo mmoja tu! Hawa ndio Africa Most Influencial Africans in Media, […]
The post Wajue wasanii watano wenye ushawishi mkubwa Africa kwa mwaka 2015… Mtanzania yupo mmoja tu! appeared first on TZA_MillardAyo.
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-qC-WN9hEgy0/VicD-sc1DiI/AAAAAAAIBa4/mjfbYrj9LhQ/s72-c/unnamed%2B%252814%2529.jpg)
TANZANIA NA MALAWI ZAWASILISHA AZIMIO KUHUSU WATU WENYE UALIBINO
10 years ago
VijimamboTANZANIA YASISITIZA AZIMIO KUHUSU WATU WENYE ULEMAVU WA NGOZI LIWE NA TIJA