Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MACHAFUKO YA BURUNDI NI MZIGO WAWAKIMBIZI TANZANIA POLISI WAZIDIWA NGUVU NA WAANDAMANAJI WENYE JAZBA



Waandamanaji wakimkimbiza polisi wa kike baada ya kukimbiwa na polisi wenzake pale polisi walivyozidiwa nguvu na waandamanaji.
Waandamanaji wamesha mkamata polisi wa kike na kumbeba mzobe mzobe amani imetoweka kabisa kwa ndugu zetu hawa.
Wakimburuza chini uku wakimshutumu kwanini wanawashuti na wao sasa watalipiza kisasi kwa kumuua kwa mikono yao.
Baati mzuri kulikuwa na wasamalia wema ambao walikuwa na roho ya utu na walimuokoa kabla ya mabaya zaidi kumkuta hii yote inatokea polisi wenzie...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Polisi wakabiliana na waandamanaji Burundi

Polisi leo wamefyatua hewani risasi za moto katika kukabiliana na maandamano mapya ambayo yameanza maeneo kadhaa ya mji wa Bujumbura

 

11 years ago

GPL

WAJUE WATU 10 WENYE NGUVU TANZANIA

KWA muda wa miezi miwili , magazeti ya Global Publishers Ltd yaliendesha zoezi la kuwashirikisha wasomaji wake juu ya mtu gani mwenye nguvu zaidi ya ushawishi katika jamii ya Watanzania. Rais Jakaya Kikwete. Jumla ya Watanzania 438,726 walipiga kura kupendekeza majina mbalimbali. Watu 10 waling’ara zaidi kwa kugawana jumla ya kura asilimia 97.4, huku wengine ambao hawakuweza kuchomoza wakiambulia mgawo wa asilimia 2.6.
...

 

10 years ago

BBCSwahili

Burundi yawaonya waandamanaji

Serikali ya Burundi imewaonya watakaofanya maandamano nchini humo kupinga rais wa sasa watachukuliwa hatua kama wachochezi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Waandamanaji wapewa saa 48 Burundi

Serikali ya Burundi imewaagiza waandamanaji katika mji mkuu wa Burundi Bujumbura kusitisha maandamano yao

 

10 years ago

BBCSwahili

Waandamanaji wapuuza agizo Burundi

Wapinzani wa raisi wa Burundi wamepuuza agizo la serikali la kuwataka wasitishe maandamano ya wiki mbili

 

9 years ago

BBCSwahili

Waandamanaji waachiliwa huru Burundi

Takriban watu 100 waliokamatwa kwa makosa ya kuandamana kupinga muhula wa tatu wa rais Nkurunzinza wameachiliwa huru

 

10 years ago

BBCSwahili

Rais wa Burundi awaonya waandamanaji

Rais wa Burundi ameonya kuwa watu wanaofanya maandamano watachukuliwa hatua kuwa wachochezi.

 

10 years ago

Mwananchi

JK aweka mkakati kuepusha machafuko nchini Burundi

>Katika kuhakikisha Burundi inaendelea kuwa na amani, Rais Jakaya Kikwete ameishauri nchini hiyo kutekeleza mambo manne ili kuepuka kuingia katika machafuko ya kisiasa.

 

10 years ago

GPL

MACHAFUKO YA BURUNDI YANATUGUSA; NKURUNZIZA AELEZWE UKWELI

Rais Pierre Nkurunziza. NIANZE makala haya kwa kumsifu Mungu aliyeumba vitu vyote vinavyoonekana na visivyoonekana, aliyeumba mbingu na nchi, hakika ahimidiwe daima. Baba wa Taifa Mwalimu Julius  Nyerere aliposema kuwa vita vya karne ya 21 havitakuwa tena baina ya mataifa bali wenyewe kwa wenyewe aliona mbali sana. Tangu kauli hiyo ya  busara  ilipotamkwa tumeshuhudia kuchinjana kwa wananchi wa  Burundi, Congo, Rwanda...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani