Waandamanaji wapewa saa 48 Burundi
Serikali ya Burundi imewaagiza waandamanaji katika mji mkuu wa Burundi Bujumbura kusitisha maandamano yao
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili16 Feb
Burundi yawaonya waandamanaji
Serikali ya Burundi imewaonya watakaofanya maandamano nchini humo kupinga rais wa sasa watachukuliwa hatua kama wachochezi.
9 years ago
BBCSwahili08 Dec
Waandamanaji waachiliwa huru Burundi
Takriban watu 100 waliokamatwa kwa makosa ya kuandamana kupinga muhula wa tatu wa rais Nkurunzinza wameachiliwa huru
10 years ago
BBCSwahili10 May
Waandamanaji wapuuza agizo Burundi
Wapinzani wa raisi wa Burundi wamepuuza agizo la serikali la kuwataka wasitishe maandamano ya wiki mbili
10 years ago
BBCSwahili18 May
Polisi wakabiliana na waandamanaji Burundi
Polisi leo wamefyatua hewani risasi za moto katika kukabiliana na maandamano mapya ambayo yameanza maeneo kadhaa ya mji wa Bujumbura
10 years ago
BBCSwahili15 Feb
Rais wa Burundi awaonya waandamanaji
Rais wa Burundi ameonya kuwa watu wanaofanya maandamano watachukuliwa hatua kuwa wachochezi.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zXzp3DhECP4KhsSV0fWXZNmYUtzFUbEJrx3KnbCz0*2rog4jANWTgoQrPjokpYeuBjG0LL6fLDxFYn-kuHq5KSGxYuY5CEhB/150504132535_burundi_moto_640x360_bbc_nocredit.jpg)
MMOJA WA WAANDAMANAJI AFARIKI DUNIA NCHINI BURUNDI
Waandamanaji nchini Burundi wakifanya vurugu kupinga hatua ya Rais Pierre Nkurunziza kuwania urais wa awamu ya tatu. Raia mmoja amefariki dunia na wengine tisa kujeruhiwa katika maandamano yanayoendelea kupamba moto nchini Burundi kupinga hatua ya Rais Pierre Nkurunziza kuwania urais kwa muhula wa tatu. Rais wa Burundi Pierre Nkurunziza anayetarajia kuwania urais wa awamu ya tatu nchini… ...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Oi8IGTb-jSIK*NKsuMwT3**ER6sTuipLpg8mnVoxd9AO*9qJxbTcilbm23HUQEcIOKwqdjPeIheihTTqDRJLsrpuqNfwYsvt/12.jpg?width=650)
BASI LACHOMWA MOTO NA WAANDAMANAJI MJINI BUJUMBURA, BURUNDI
Vurugu za kuchoma moto vitu mbalimbali zikiendelea. Waandamanaji wakiendeleza maandamano mjini Bujumbura. Magurudumu yakichomwa moto, barabara ikiwa imefungwa na waandamanaji. Bujumbura,…
10 years ago
Vijimambo13 May
MACHAFUKO YA BURUNDI NI MZIGO WAWAKIMBIZI TANZANIA POLISI WAZIDIWA NGUVU NA WAANDAMANAJI WENYE JAZBA
![](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2015/05/12/15/2895A51A00000578-3078438-image-a-46_1431442534670.jpg)
Waandamanaji wakimkimbiza polisi wa kike baada ya kukimbiwa na polisi wenzake pale polisi walivyozidiwa nguvu na waandamanaji.
![](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2015/05/12/15/2895C13D00000578-3078438-image-a-47_1431442534692.jpg)
Waandamanaji wamesha mkamata polisi wa kike na kumbeba mzobe mzobe amani imetoweka kabisa kwa ndugu zetu hawa.
![](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2015/05/12/15/2895B5BD00000578-3078438-image-a-55_1431442615764.jpg)
Wakimburuza chini uku wakimshutumu kwanini wanawashuti na wao sasa watalipiza kisasi kwa kumuua kwa mikono yao.
![](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2015/05/12/15/2895BBA000000578-3078438-image-a-45_1431442534656.jpg)
Baati mzuri kulikuwa na wasamalia wema ambao walikuwa na roho ya utu na walimuokoa kabla ya mabaya zaidi kumkuta hii yote inatokea polisi wenzie...
10 years ago
Habarileo16 Oct
Wakimbizi 162 wa Burundi wapewa uraia
RAIS Jakaya Kikwete ametoa hati za uraia wa Tanzania kwa wakimbizi 162 kutoka nchi jirani ya Burundi na ambao wameishi nchini kwa miaka 42, tangu mwaka 1972. Alitoa hati hizo juzi mjini Tabora, ikiwa nisehemu ya ziara yake ya kikazi ya siku mbili kukagua na kuzindua miradi ya maendeleo.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania