Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BASI LACHOMWA MOTO NA WAANDAMANAJI MJINI BUJUMBURA, BURUNDI

Vurugu za kuchoma moto vitu mbalimbali zikiendelea. Waandamanaji wakiendeleza maandamano mjini Bujumbura. Magurudumu yakichomwa moto, barabara ikiwa imefungwa na waandamanaji. Bujumbura,…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

StarTV

Vurugu zaendelea Burundi, Basi lachomwa moto.


Basi lachomwa Burundi

Basi moja la uchukuzi limechomwa moto mjini Bujumbura Burundi na waandamanaji waliorejea mabarabarani kupinga uamuzi wa rais Pierre Nkurunziza kuwania muhula wa tatu.

Waandamanaji wanachoma moto magurudumu haswa katika eneo la Kanyosha.

Kitongoji hicho kimekuwa kitovu cha maandamano haya dhidi ya awamu ya tatu ya rais Nkurunziza.


Maandamano mjini Bujumbura

Mwandishi wa BBC mjini Bujumbura Ismael Misigaro amesema milio ya risasi inasikika mjini humo.

Maandamano haya...

 

10 years ago

BBCSwahili

Basi lachomwa Burundi

Waandamanaji wamechoma basi moja la uchukuzi mjini Bujumbura

 

10 years ago

GPL

MAANDAMANO YAIBUKA UPYA MJINI BUJUMBURA, BURUNDI

Waandamanaji mjini Bujumbura wakikimbia hovyo baada ya kurushiwa risasi za moto na polisi.
Waandamanaji wakionesha msimamo wao wa kumtaka Rais Pierre Nkurunziza kutogombea tena nafasi hiyo muhula ujao.
Jeshi la Polishi na wanajeshi…

 

10 years ago

GPL

MAREKANI YAFUNGA UBALOZI WAKE MJINI BUJUMBURA-BURUNDI

Jengo la ubalozi wa Marekani nchini Burundi lililopo mjini Bujumbura. Ubalozi wa malekani nchini Burundi. Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani, Jeff Rathke. Serikali ya Marekani kupitia Wizara yake ya Mambo ya Nje imetangaza kufunga ubalozi wake wa mjini Bujumbura,…

 

10 years ago

Habarileo

Shamba la miwa lachomwa moto

SHAMBA la miwa inayokadiriwa kufikia tani 6,000 baada ya kuvunwa lenye ukubwa wa hekta 240, limechomwa moto na watu wasiojulikana na kusababisha hasara ya Sh milioni 280.2, mali ya wakulima wa wilaya ya Missenyi mkoani Kagera.

 

10 years ago

GPL

BUNGE LA BURKINA FASO LACHOMWA MOTO

Waandamanaji wakilitazama bunge la Burkina Faso likiteketea kwa moto. Waandamanaji hao wakishangilia baada ya kuchoma bunge.…

 

10 years ago

BBCSwahili

Burundi yawaonya waandamanaji

Serikali ya Burundi imewaonya watakaofanya maandamano nchini humo kupinga rais wa sasa watachukuliwa hatua kama wachochezi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Polisi wakabiliana na waandamanaji Burundi

Polisi leo wamefyatua hewani risasi za moto katika kukabiliana na maandamano mapya ambayo yameanza maeneo kadhaa ya mji wa Bujumbura

 

9 years ago

BBCSwahili

Waandamanaji waachiliwa huru Burundi

Takriban watu 100 waliokamatwa kwa makosa ya kuandamana kupinga muhula wa tatu wa rais Nkurunzinza wameachiliwa huru

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani