Vurugu zaendelea Burundi, Basi lachomwa moto.
Basi lachomwa Burundi
Basi moja la uchukuzi limechomwa moto mjini Bujumbura Burundi na waandamanaji waliorejea mabarabarani kupinga uamuzi wa rais Pierre Nkurunziza kuwania muhula wa tatu.
Waandamanaji wanachoma moto magurudumu haswa katika eneo la Kanyosha.
Kitongoji hicho kimekuwa kitovu cha maandamano haya dhidi ya awamu ya tatu ya rais Nkurunziza.
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/624/amz/worldservice/live/assets/images/2015/05/24/150524032622_burundi_protest_624x351_epa.jpg)
Maandamano mjini Bujumbura
Mwandishi wa BBC mjini Bujumbura Ismael Misigaro amesema milio ya risasi inasikika mjini humo.
Maandamano haya...
StarTV
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Oi8IGTb-jSIK*NKsuMwT3**ER6sTuipLpg8mnVoxd9AO*9qJxbTcilbm23HUQEcIOKwqdjPeIheihTTqDRJLsrpuqNfwYsvt/12.jpg?width=650)
BASI LACHOMWA MOTO NA WAANDAMANAJI MJINI BUJUMBURA, BURUNDI
10 years ago
BBCSwahili25 May
10 years ago
Habarileo22 Mar
Shamba la miwa lachomwa moto
SHAMBA la miwa inayokadiriwa kufikia tani 6,000 baada ya kuvunwa lenye ukubwa wa hekta 240, limechomwa moto na watu wasiojulikana na kusababisha hasara ya Sh milioni 280.2, mali ya wakulima wa wilaya ya Missenyi mkoani Kagera.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6ovfEf3pFLeig2G29BDKJrhGn1hzaO9*Il5Xg8h4xqkv1P1n56cuIoLSf61PCz4hN8akKw6C*xAN8-ZQaOeUmsuLu6vZUUPP/1.jpg)
BUNGE LA BURKINA FASO LACHOMWA MOTO
10 years ago
StarTV21 Jan
Vurugu za kumpinga Rais Kabila zaendelea DRC.
Polisi katika Jamuhuri ya kidemokrasi ya Congo, wamefyatua risasi hewani ili kuwatawanya waandamanaji waliokuwa wamekusanyika katika mji mkuu Kinshasa kupinga sheria mpya ya uchaguzi.
Serikali inasema kuwa watu wanne walifariki katika vurugu za Jumatatu ingawa upinzani unasema idadi huo huenda ikwa kujuu kuliko iliyonakiliwa.
Wanafunzi wameweka vizuizi barabarani na pia wameshuhjudiwa wakichoma magurudumu, katika barabara zinazoelekea katika chuo kikuu mjini humo.
Wanatuhumu wanasia...
10 years ago
VijimamboDEREVA WA BASI LA SHABIBY AWEKWA KITI MOTO NA ABIRIA BAADA YA BASI HILO KUHARIBIKA NA YEYE KUWAKIMBIA ABIRIA
Leo hii asubuhi nikitokea Singida kwenda Dar kwa basi la Shabiby Line, lenye nambari za usajili T607 CVL iliondoka stendi ya Misuna Singida mnaomo saa 12.48(moja kasoro 12) za asubuhi. Safari ilikuwa nzuri mpaka gari ilipofika nje kidogo ya Manyoni kuelekea Dodoma mnamo saa 2.30 kwa muda wa sekunde chache mpaka dkk moja hivi ulisikika mlio usio wa kawaida ingawa dereva wa gari hilo aliendelea...
5 years ago
BBCSwahili06 May
Uchaguzi wa Burundi 2020: Vurugu na mauaji yakumba kampeini za uchaguzi Burundi
10 years ago
Habarileo13 Apr
Moto waua abiria 18 wa basi Morogoro
WATU 18 wamekufa papo hapo kwa kuteketea kwa moto na wengine 11 wamejeruhiwa vibaya kutokana na basi walilokuwa wakisafiria kugongana na lori aina ya Mitsubishi Fuso, katika kijiji cha Msimba tarafa ya Mikumi, barabara kuu ya Morogoro – Mbeya.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/TiGlW1XckRYRzvH-TO7UvVPwQtyS4CXTRo7JsqBB-sGYoe8ON62MgHXRn1r2ykaQjKpPF8KpCWrj8IBVTbHRT-P5NpicJ3dQ/basi.jpg)
MASHABIKI BRAZIL WACHOMA MOTO BASI