Vurugu za kumpinga Rais Kabila zaendelea DRC.
Polisi katika Jamuhuri ya kidemokrasi ya Congo, wamefyatua risasi hewani ili kuwatawanya waandamanaji waliokuwa wamekusanyika katika mji mkuu Kinshasa kupinga sheria mpya ya uchaguzi.
Serikali inasema kuwa watu wanne walifariki katika vurugu za Jumatatu ingawa upinzani unasema idadi huo huenda ikwa kujuu kuliko iliyonakiliwa.
Wanafunzi wameweka vizuizi barabarani na pia wameshuhjudiwa wakichoma magurudumu, katika barabara zinazoelekea katika chuo kikuu mjini humo.
Wanatuhumu wanasia...
StarTV
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili20 Jan
Vurugu kumpinga Rais Kabila DRC
9 years ago
VijimamboRais Kikwete afanya Mazungumzo na Rais Kabila wa DRC Dar es Salaam
9 years ago
MichuziRAIS KIKWETE AFANYA MAZUNGUMZO NA RAIS KABILA WA DRC JIJINI DAR ES SALAAM
10 years ago
BBCSwahili28 Sep
Maandamano ya kumpinga kabila yafanyika
10 years ago
StarTV26 May
Vurugu zaendelea Burundi, Basi lachomwa moto.
Basi lachomwa Burundi
Basi moja la uchukuzi limechomwa moto mjini Bujumbura Burundi na waandamanaji waliorejea mabarabarani kupinga uamuzi wa rais Pierre Nkurunziza kuwania muhula wa tatu.
Waandamanaji wanachoma moto magurudumu haswa katika eneo la Kanyosha.
Kitongoji hicho kimekuwa kitovu cha maandamano haya dhidi ya awamu ya tatu ya rais Nkurunziza.
Maandamano mjini Bujumbura
Mwandishi wa BBC mjini Bujumbura Ismael Misigaro amesema milio ya risasi inasikika mjini humo.
Maandamano haya...
10 years ago
BBCSwahili19 Jan
Wampinga Kabila kuwania urais nchini DRC
10 years ago
Daily News19 Oct
Kabila hails Dar's role in empowering DRC army
Daily News
Kabila hails Dar's role in empowering DRC army
Daily News
PRESIDENT Joseph Kabila of the Democratic Republic of Congo (DRC) has praised Tanzania for her peacemaking role in the Great Lakes Region, and empowering his soldiers who have just graduated from the Tanzania Military Academy (TMA) in Monduli, ...
10 years ago
MichuziRais Kikwete azungumza na Rais Zuma na Rais Kabila Zimbabwe
10 years ago
BBCSwahili22 Jan
Vurugu zakithiri nchini DRC