Vurugu zakithiri nchini DRC
Serikali ya jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo imekanusha kuwauwa waandamanaji waliokuwa wakigoma kupinga mapendekezo ya kubadilisha sheria za uchaguzi mkuu.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili20 Jan
Vurugu kumpinga Rais Kabila DRC
10 years ago
StarTV21 Jan
Vurugu za kumpinga Rais Kabila zaendelea DRC.
Polisi katika Jamuhuri ya kidemokrasi ya Congo, wamefyatua risasi hewani ili kuwatawanya waandamanaji waliokuwa wamekusanyika katika mji mkuu Kinshasa kupinga sheria mpya ya uchaguzi.
Serikali inasema kuwa watu wanne walifariki katika vurugu za Jumatatu ingawa upinzani unasema idadi huo huenda ikwa kujuu kuliko iliyonakiliwa.
Wanafunzi wameweka vizuizi barabarani na pia wameshuhjudiwa wakichoma magurudumu, katika barabara zinazoelekea katika chuo kikuu mjini humo.
Wanatuhumu wanasia...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/OsG-NixX39cGWAhwTCD5R58q6JwWKkBLHOg*tl6GSCaTUV038fQJvyoMG0TINzpN9UNd7kZH7P*LeuydgLO4jIEHOXrD7AGi/VURUGU.jpg)
VURUGU UWANJANI: 15 WAPOTEZA MAISHA WAKATI WA MECHI DRC
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-bbMcK5KN-BU/Xo8Ejy-NScI/AAAAAAALmpY/ZE-MwAuyrtAi0EtJdHAe60INyxptisUtQCLcBGAsYHQ/s72-c/SIRRO1.jpg)
KUFUATIA VURUGU ZINAZOENDELEA NCHINI MSUMBIJI, HALI YA USALAMA YAIMARISHWA HAPA NCHINI,
![](https://1.bp.blogspot.com/-bbMcK5KN-BU/Xo8Ejy-NScI/AAAAAAALmpY/ZE-MwAuyrtAi0EtJdHAe60INyxptisUtQCLcBGAsYHQ/s640/SIRRO1.jpg)
10 years ago
Habarileo16 Feb
Kampuni za Canada zakithiri kwa rushwa
NCHI ya Canada imetajwa kuwa moja ya nchi yenye idadi kubwa ya kampuni zilizowekewa vikwazo na Benki ya Dunia, kutokana na kujihusisha na vitendo vya rushwa.
11 years ago
Habarileo13 Apr
Ndoa za utotoni zakithiri Kanda ya Ziwa
MIKOA ya Kanda ya Ziwa na Magharibi ina huduma zisizoridhisha za uzazi wa mpango, kutokana na kuwa na viashiria vingi vya ndoa za utotoni.
11 years ago
BBCSwahili26 Apr
21 wafariki nchini DRC Congo
10 years ago
BBCSwahili09 Oct
Vurugu zaanza upya nchini CAR
9 years ago
StarTV02 Oct
Jeshi la Polisi nchini lajipanga kukabili vurugu
Jeshi la polisi nchini limejipanga kuchukua hatua kwa kikundi ama chama chochote cha siasa kinachotarajia kufanya vurugu wakati wa kutangazwa kwa matokeo ya ubunge, udiwani na urais Oktoba 25 mwaka huu kutokana na kuwepo kwa kauli za baadhi ya watu kuanza kuwahamasisha vijana kutokukubaliana na matokeo kabla muda wa kupiga kura haujafika.
Akizungumza na wadau wa amani mjini Musoma mkoani Mara, mkuu wa jeshi la polisi nchini Kamishina wa jeshi la polisi Ernest Mangu ametoa tahadhari hiyo kwa...