Vurugu zaanza upya nchini CAR
Taarifa za hivi punde kutoka katika Jamhuri ya Afrika ya Kati, zimeripoti kusikika kwa milio ya risasi katika mji mkuu Bangui.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili14 Jan
CAR: Je vurugu zimekwisha?
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-bbMcK5KN-BU/Xo8Ejy-NScI/AAAAAAALmpY/ZE-MwAuyrtAi0EtJdHAe60INyxptisUtQCLcBGAsYHQ/s72-c/SIRRO1.jpg)
KUFUATIA VURUGU ZINAZOENDELEA NCHINI MSUMBIJI, HALI YA USALAMA YAIMARISHWA HAPA NCHINI,
![](https://1.bp.blogspot.com/-bbMcK5KN-BU/Xo8Ejy-NScI/AAAAAAALmpY/ZE-MwAuyrtAi0EtJdHAe60INyxptisUtQCLcBGAsYHQ/s640/SIRRO1.jpg)
11 years ago
Mwananchi27 May
Sekta ya uchukuzi nchini iangaliwe upya
9 years ago
StarTV07 Jan
 Serikali kuangalia upya bei ya Sukari nchini
Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji Charles Mwijage amesema Serikali imejipanga kuhakikisha kunakuwepo na uwiano sawa kati ya bei ya sukari inayotokana na viwanda vya ndani na inayoagizwa nje ya nchi.
Waziri Mwijage amesema hilo linaweza kufanikiwa kwa kupunguza baadhi ya gharama za uzalishaji zisizo na tija kwa viwanda vya ndani.
Kiwanda cha sukari cha Kagera kilichopo katika wilaya ya Missenyi Mkoani Kagera, moja ya kiwanda kinachotegemewa mno katika uzalishaji wa sukari hapa...
11 years ago
BBCSwahili26 May
Kura kuhesabiwa upya leo nchini Malawiu
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-nAF0Ev2OBb8/VOvhmyGzG0I/AAAAAAAHFho/AqN3YY6ioCQ/s72-c/unnamed%2B(46).jpg)
Nyambui alilia riadha ifufuke upya nchini
![](http://4.bp.blogspot.com/-nAF0Ev2OBb8/VOvhmyGzG0I/AAAAAAAHFho/AqN3YY6ioCQ/s1600/unnamed%2B(46).jpg)
==============================
![](http://1.bp.blogspot.com/-xWmTlGHrwDA/VOvirLIyBpI/AAAAAAAHFhw/Ux2S9yzy70E/s1600/images.jpg)
Katibu Mkuu wa Shirikisho la Riadha Tanzania (RT), Suleiman Nyambui (picha ndogo) akizungumza katika...
10 years ago
BBCSwahili22 Jan
Vurugu zakithiri nchini DRC
10 years ago
Habarileo09 Dec
Pinda ataka waumini nchini kukataa vurugu
WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda, amewataka Watanzania na waumini wa madhehebu ya dini zote kutokubali kuiingiza nchi katika vurugu na kukataa vishawishi vitakavyosababisha uvunjifu wa amani.
9 years ago
StarTV02 Oct
Jeshi la Polisi nchini lajipanga kukabili vurugu
Jeshi la polisi nchini limejipanga kuchukua hatua kwa kikundi ama chama chochote cha siasa kinachotarajia kufanya vurugu wakati wa kutangazwa kwa matokeo ya ubunge, udiwani na urais Oktoba 25 mwaka huu kutokana na kuwepo kwa kauli za baadhi ya watu kuanza kuwahamasisha vijana kutokukubaliana na matokeo kabla muda wa kupiga kura haujafika.
Akizungumza na wadau wa amani mjini Musoma mkoani Mara, mkuu wa jeshi la polisi nchini Kamishina wa jeshi la polisi Ernest Mangu ametoa tahadhari hiyo kwa...