Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nyambui alilia riadha ifufuke upya nchini

MKURUGENZI wa Masoko wa Isere Sports, Abbas Ally Isere akionesha jezi zitakazotumiwa na wanariadha ikiwa ni makubaliano ya Kampuni yake kuagiza vifaa vya riadha na kuviuza kwa bei ya chini
==============================MAOFISA michezo na Maofisa Elimu wa mikoa ya Tanzania wameombwa kushirikiana na wenyeviti wa mchezo wa riadha kufufua mchezo huo kutoka ngazi ya shule za msingi na Sekondari.
Katibu Mkuu wa Shirikisho la Riadha Tanzania (RT), Suleiman Nyambui  (picha ndogo) akizungumza katika...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Nyambui awa kocha wa riadha - Brunei

Mshindi wa zamani wa medali ya fedha ya michuano ya Olimpiki, Suleiman Nyambui amepata kazi ya kuwa kocha mkuu wa Brunei.

 

10 years ago

Mwananchi

JK alilia soka la vijana nchini

Rais Jakaya Kikwete amesema maendeleo ya soka yanasuasua nchini kutokana na matatizo ya uongozi na kuachwa kwa jukumu la kuendeleza soka la vijana kwa ajili ya kuvumbua vipaji.

 

10 years ago

Michuzi

GAPCO YAPIGA TAFU MAENDELEO YA MICHEZO YA RIADHA NCHINI

Mkurugenzi mkuu wa GAPCO Afrika Mashariki Macharia Irungu akimpongeza Simon Mlewa mshindi wa kwanza mbio za walemavu kwa upande wa wanaume wanaotumia tricycle.Mkuu wa wilaya ya  Moshi Novatus Makunga akimkabidhi zawadi Joseph Mungure mshidi wa kwanza mbio za walemavu kwa upande wa wanaume wanaotumia wheelchair. Kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa GAPCO Tanzania Vijay Nair, Meneja Masoko Caroline Kakwezi na Mkurugenzi Mkuu wa GAPCO Afrika Mashariki Macharia Irungu. Kulia ni Katibu Mkuu wa...

 

10 years ago

Dewji Blog

GAPCO yaipiga tafu maendeleo ya michezo ya riadha nchini

Gapco2

Mkurugenzi mkuu wa GAPCO Afrika Mashariki Macharia Irungu akimpongeza Simon Mlewa mshindi wa kwanza mbio za walemavu kwa upande wa wanaume wanaotumia tricycle.

Mkuu wa wilaya ya  Moshi Novatus Makunga akimkabidhi zawadi Joseph Mungure mshidi wa kwanza mbio za walemavu kwa upande wa wanaume wanaotumia wheelchair. Kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa GAPCO Tanzania Vijay Nair, Meneja Masoko Caroline Kakwezi na Mkurugenzi Mkuu wa GAPCO Afrika Mashariki Macharia Irungu. Kulia ni Katibu Mkuu wa...

 

11 years ago

GPL

MAITI YAOMBEWA IFUFUKE, YAGOMA

Haruni Sanchawa na Gabriel Ng’osha
HIKI ni kioja! Ndugu wa marehemu Elitha Kaizilege ambaye alipatwa na mauti katika Hospitali ya Kairuki iliyopo Mikocheni jijini Dar wiki iliyopita, walifanya tukio la aina yake baada kutokukubali kama ndugu yao amefariki. Ndugu wa marehemu Elitha Kaizilege wakipeleka mwili wa ndugu yao kanisani kwa ajili ya maombi. Ndugu hao wa marehemu walizuia mwili huo kupelekwa mochwari na badala...

 

10 years ago

Michuzi

KLABU YA MICHEZO YA RIADHA YA DAR ES SALAAM ‘DAR RUNNING CLUB’ YAANDAA MASHINDANO YA RIADHA YA MARATHON 02 MAY 2015

Klabu ya michezo ya riadha ya Dar Es Salaam “Dar Running Club” (DRC) imeandaa mashindano  ya  mbio yajulikananyo kama “Mayday marathon” yatakayofanyika tarehe 02Mei 2015 yatakayoanza na kumalizika katika viwanja vya Bwalo la Maofisa wa Polisi Oysterbay (Police Officers Mess). Mgeni rasmi atakuwa ni Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania  Inspekta Generali wa Police Ernest Jumbe Mangu (IGP).
Akizungumza na waandishi wa habari Mlezi wa Klabu ya DRC Mkuu wa mkoa wa kipolisi wa Kinondoni bwana Camillus...

 

10 years ago

BBCSwahili

Vurugu zaanza upya nchini CAR

Taarifa za hivi punde kutoka katika Jamhuri ya Afrika ya Kati, zimeripoti kusikika kwa milio ya risasi katika mji mkuu Bangui.

 

11 years ago

Mwananchi

Sekta ya uchukuzi nchini iangaliwe upya

Sekta ya uchukuzi ni moja ya mishipa muhimu mikubwa ya damu kwa ustawi wa uchumi wa nchi yetu lakini imekatwa kiasi kwamba haifanyika kazi inayotakiwa.

 

9 years ago

StarTV

 Serikali kuangalia upya bei ya Sukari nchini

Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji Charles Mwijage amesema Serikali imejipanga kuhakikisha kunakuwepo na uwiano sawa kati ya bei ya sukari inayotokana na viwanda vya ndani na inayoagizwa nje ya nchi.

Waziri Mwijage amesema hilo linaweza kufanikiwa kwa kupunguza baadhi ya gharama za uzalishaji zisizo na tija kwa viwanda vya ndani.

Kiwanda cha sukari cha Kagera kilichopo katika wilaya ya Missenyi Mkoani Kagera, moja ya kiwanda kinachotegemewa mno katika uzalishaji wa sukari hapa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani