JK alilia soka la vijana nchini
Rais Jakaya Kikwete amesema maendeleo ya soka yanasuasua nchini kutokana na matatizo ya uongozi na kuachwa kwa jukumu la kuendeleza soka la vijana kwa ajili ya kuvumbua vipaji.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-nAF0Ev2OBb8/VOvhmyGzG0I/AAAAAAAHFho/AqN3YY6ioCQ/s72-c/unnamed%2B(46).jpg)
Nyambui alilia riadha ifufuke upya nchini
![](http://4.bp.blogspot.com/-nAF0Ev2OBb8/VOvhmyGzG0I/AAAAAAAHFho/AqN3YY6ioCQ/s1600/unnamed%2B(46).jpg)
==============================
![](http://1.bp.blogspot.com/-xWmTlGHrwDA/VOvirLIyBpI/AAAAAAAHFhw/Ux2S9yzy70E/s1600/images.jpg)
Katibu Mkuu wa Shirikisho la Riadha Tanzania (RT), Suleiman Nyambui (picha ndogo) akizungumza katika...
11 years ago
Michuzi19 Apr
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-K9hO7wVjFwk/VcNL4ePXoVI/AAAAAAAHuko/ZynudJvddmA/s72-c/unnamed%2B%252849%2529.jpg)
Vijana nchini watakiwa kujitokeza katika maadhimisho ya Siku ya Vijana Dunia
Na Frank Shija, WHVUM
Vijana watakiwa kujitokeza katika maadhimisho ya Siku ya Vijana Duniani ambayo kitaifa yatafanyika tarehe 12 Agosti jijini Dar es Salaam huku kauli mbiu ya mwaka huu ikiwa ni “Ushiriki wa Vijana katika masuala ya Kiraia”
Wito huo umetolewa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bibi. Sihaba Nkinga alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari jana jijini Dar es Salaam.
Bibi Sihaba amesema kuwa maadhimisho hayo yamekuwa yakifanyika kila mwaka...
Vijana watakiwa kujitokeza katika maadhimisho ya Siku ya Vijana Duniani ambayo kitaifa yatafanyika tarehe 12 Agosti jijini Dar es Salaam huku kauli mbiu ya mwaka huu ikiwa ni “Ushiriki wa Vijana katika masuala ya Kiraia”
Wito huo umetolewa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bibi. Sihaba Nkinga alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari jana jijini Dar es Salaam.
Bibi Sihaba amesema kuwa maadhimisho hayo yamekuwa yakifanyika kila mwaka...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-j7UlM9JEi8w/VCAmhRW7StI/AAAAAAAGk_8/CJ1N5Vowkc8/s72-c/unnamed%2B(48).jpg)
Vijana nchini watakiwa kuzingatia vigezo ili kunufaika na Mikopo ya Mfuko wa Maendeleo ya Vijana (YDF)
![](http://4.bp.blogspot.com/-j7UlM9JEi8w/VCAmhRW7StI/AAAAAAAGk_8/CJ1N5Vowkc8/s1600/unnamed%2B(48).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-JRAjNtc9ddI/VCAmgtfPoUI/AAAAAAAGk_4/djFywTB9NdU/s1600/unnamed%2B(49).jpg)
11 years ago
Mwananchi27 Feb
Soka la vijana lapigwa ‘tafu’
Kampuni ya Symbion Power Tanzania itatumia Dola 3 milioni (Sh4.b bilioni) kwa ajili ya ujenzi wa vituo vyake viwili ya kuibua na kuendelea vipaji vya soka nchini.
9 years ago
BBCSwahili11 Sep
Soka yatumia kubadili vijana gerezani
Serikali ya Nigeria imeanzisha mpango wa kutumia kandanda kubadili mienendo na fikra ya wafuasi wa Boko Haram walioko gerezani
10 years ago
Mwananchi30 Mar
Soka la vijana lianzie walipoishia wengine
Katikati ya mwezi huu, tasnia ya michezo ilipoteza mmoja wa watu muhimu. Aliyekuwa kocha msaidizi wa timu ya Taifa, Sylvester Marsh. Aalifariki dunia katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili alikokuwa akitibiwa kwa muda mrefu.
11 years ago
Tanzania Daima24 Feb
Bila uwekezaji soka ya vijana kazi bure
SOKA ya Tanzania bado inakabiliwa na changamoto nyingi ambazo kwa hakika zimeifanya ishindwe kupiga hatua kimataifa kuanzia ngazi ya klabu hadi timu za taifa. Zipo sababu nyingi zinazochangia hali hiyo,...
10 years ago
Mwananchi24 Aug
Figo: Soka la vijana ndiyo dawa pekee
Mwanasoka bora wa dunia wa mwaka 2001 na winga wa zamani wa Real Madrid, Luis Figo amesema ili Tanzania ipate maendeleo katika soka la kimataifa inapaswa kutumia njia sahihi za kukuza vipaji vya vijana nchini.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania