Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


JK alilia soka la vijana nchini

Rais Jakaya Kikwete amesema maendeleo ya soka yanasuasua nchini kutokana na matatizo ya uongozi na kuachwa kwa jukumu la kuendeleza soka la vijana kwa ajili ya kuvumbua vipaji.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Nyambui alilia riadha ifufuke upya nchini

MKURUGENZI wa Masoko wa Isere Sports, Abbas Ally Isere akionesha jezi zitakazotumiwa na wanariadha ikiwa ni makubaliano ya Kampuni yake kuagiza vifaa vya riadha na kuviuza kwa bei ya chini
==============================MAOFISA michezo na Maofisa Elimu wa mikoa ya Tanzania wameombwa kushirikiana na wenyeviti wa mchezo wa riadha kufufua mchezo huo kutoka ngazi ya shule za msingi na Sekondari.
Katibu Mkuu wa Shirikisho la Riadha Tanzania (RT), Suleiman Nyambui  (picha ndogo) akizungumza katika...

 

10 years ago

Michuzi

Vijana nchini watakiwa kujitokeza katika maadhimisho ya Siku ya Vijana Dunia

Na Frank Shija, WHVUM
Vijana watakiwa kujitokeza katika maadhimisho ya Siku ya Vijana Duniani ambayo kitaifa yatafanyika tarehe 12 Agosti jijini Dar es Salaam huku kauli mbiu ya mwaka huu ikiwa ni “Ushiriki wa Vijana katika masuala ya Kiraia”
Wito huo umetolewa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bibi. Sihaba Nkinga alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari jana jijini Dar es Salaam.
Bibi Sihaba amesema kuwa maadhimisho hayo yamekuwa yakifanyika kila mwaka...

 

10 years ago

Michuzi

Vijana nchini watakiwa kuzingatia vigezo ili kunufaika na Mikopo ya Mfuko wa Maendeleo ya Vijana (YDF)

Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bibi Concilia Niyibitanga akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusu Mfuko wa Maendeleo ya Vijana leo jijini Dar es Salaam.Kuliani Mkurugenzi Msaidizi wa Maendeleo ya Vijana Dkt. Steven Kissui na kushoto ni Afisa Habari wa Idara ya Habari MAELEZO Bw. Frank Mvungi. Mkurugenzi Msaidizi wa Maendeleo ya Vijana Dkt. Steven Kissui akionyesha Kitabu cha Sera ya Maendeleo ya...

 

11 years ago

Mwananchi

Soka la vijana lapigwa ‘tafu’

Kampuni ya Symbion Power Tanzania itatumia Dola 3 milioni (Sh4.b bilioni) kwa ajili ya ujenzi wa vituo vyake viwili ya kuibua na kuendelea vipaji vya soka nchini.

 

9 years ago

BBCSwahili

Soka yatumia kubadili vijana gerezani

Serikali ya Nigeria imeanzisha mpango wa kutumia kandanda kubadili mienendo na fikra ya wafuasi wa Boko Haram walioko gerezani

 

10 years ago

Mwananchi

Soka la vijana lianzie walipoishia wengine

Katikati ya mwezi huu, tasnia ya michezo ilipoteza mmoja wa watu muhimu. Aliyekuwa kocha msaidizi wa timu ya Taifa, Sylvester Marsh. Aalifariki dunia katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili alikokuwa akitibiwa kwa muda mrefu.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Bila uwekezaji soka ya vijana kazi bure

SOKA ya Tanzania bado inakabiliwa na changamoto nyingi ambazo kwa hakika zimeifanya ishindwe kupiga hatua kimataifa kuanzia ngazi ya klabu hadi timu za taifa. Zipo sababu nyingi zinazochangia hali hiyo,...

 

10 years ago

Mwananchi

Figo: Soka la vijana ndiyo dawa pekee

Mwanasoka bora wa dunia wa mwaka 2001 na winga wa zamani wa Real Madrid, Luis Figo amesema ili Tanzania ipate maendeleo katika soka la kimataifa inapaswa kutumia njia sahihi za kukuza vipaji vya vijana nchini.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani