Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAITI YAOMBEWA IFUFUKE, YAGOMA

Haruni Sanchawa na Gabriel Ng’osha
HIKI ni kioja! Ndugu wa marehemu Elitha Kaizilege ambaye alipatwa na mauti katika Hospitali ya Kairuki iliyopo Mikocheni jijini Dar wiki iliyopita, walifanya tukio la aina yake baada kutokukubali kama ndugu yao amefariki. Ndugu wa marehemu Elitha Kaizilege wakipeleka mwili wa ndugu yao kanisani kwa ajili ya maombi. Ndugu hao wa marehemu walizuia mwili huo kupelekwa mochwari na badala...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

MAITI YAGOMA KUSAFIRISHWA ELDORET NCHINI KENYA

Jiji la Eldoret kaunti ya Uasin Gishu nchini Kenya leo lilishuhudia tukio la kushangaza baada ya maiti iliyokuwa inasafirishwa kwa maziko kukataa safari hiyo. Kizaazaa kilizuka pale gari lililokuwa limelibeba jeneza lenye mwili wa marehemu kupata hitilafu na licha ya kubadilishwa gari jingine, nalo pia lilikataa kuwaka. Hapo ndipo marafiki na jamaa ya marehemu walipochukua fursa ya kuirai maiti hiyo ili ipate kufikishwa eneo la...

 

10 years ago

Michuzi

Nyambui alilia riadha ifufuke upya nchini

MKURUGENZI wa Masoko wa Isere Sports, Abbas Ally Isere akionesha jezi zitakazotumiwa na wanariadha ikiwa ni makubaliano ya Kampuni yake kuagiza vifaa vya riadha na kuviuza kwa bei ya chini
==============================MAOFISA michezo na Maofisa Elimu wa mikoa ya Tanzania wameombwa kushirikiana na wenyeviti wa mchezo wa riadha kufufua mchezo huo kutoka ngazi ya shule za msingi na Sekondari.
Katibu Mkuu wa Shirikisho la Riadha Tanzania (RT), Suleiman Nyambui  (picha ndogo) akizungumza katika...

 

10 years ago

BBCSwahili

Yanga yaombewa dua

Rais wa TFF Jamal Malinzi ameitakia kila la kheri timu ya Yanga katika mchezo wa Kombe la Shirikisho barani Afrika.

 

10 years ago

Dewji Blog

Katiba inayopendekezwa yaombewa dua njema

PIX 1.

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Mhe. Dkt. Rehema Nchimbi akihutubia wakati wa dua ya kuiombea Katiba mpya inayopendekezwa.

Na Benedict Liwenga, Maelezo-Dodoma.

DUA ya shukurani ya kuiombea Katiba mpya Inayopendekezwa imefanyika jana mjini Dodoma na viongozi mbalimbali wa dini toka madhehebu mbalimbai yakiwemo ya Kiislamu, Kikristo, Wasabato, Wahamadiya, Jamaat Khan, Singh Temple na CCT-Dodoma.

Akiongea wakati wa dua hiyo, Mkuu wa Mkoa wa Dodoma ambaye ndiye alikuwa mgeni rasmi, Mhe. Dkt. Rehema...

 

10 years ago

Habarileo

Sumatra 'yagoma' kushusha nauli

Abiriaq wakigombania kuingia ndani ya daladala. Pamoja na shida hii lakini Sumatra imeshindwa kushusha nauli.MAMLAKA ya Udhibiti wa Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (SUMATRA) imetangaza kushusha nauli za mabasi ya Masafa Marefu huku ikiacha kabisa kuzigusa nauli za mabasi katika miji mikubwa, maarufu kama daladala.

 

10 years ago

Habarileo

Serikali yagoma kuahirisha kura za maoni

Waziri Mkuu, Mizengo PindaSERIKALI imesema haitaahirisha kufanyika kwa kura ya maoni Aprili mwakani kwa Katiba mpya Inayopendekezwa ili fedha zilizopangwa kwa kazi hiyo zitumike kuwapa mikopo wanafunzi 8,000 wa vyuo vya elimu ya juu, walioshindwa kupewa mikopo hiyo kwa ukosefu wa fedha.

 

9 years ago

Mtanzania

Yanga yagoma kuifuata Simba Zanzibar

katibu+yangaNA JUDITH PETER, DAR ES SALAAM

TIMU ya soka ya Yanga ni kama inawakwepa watani wao wa jadi Simba, baada ya kuachana na mpango wake wa kuweka kambi visiwani Zanzibar kujiandaa na michuano ya Ligi Kuu Tanzania Bara itakayoanza Jumamosi hii.

Awali mabingwa hao wa Ligi Kuu walipanga kuifuata Simba Zanzibar, lakini ghafla wamebadili msimamo wao na kuamua kubaki jijini Dar es Salaam kwa madai huenda wakapata tabu ya uwanja wa kufanyia mazoezi wakiwa Zanzibar.

Katibu Mkuu wa Yanga, Jonas Tiboroha,...

 

10 years ago

Dewji Blog

Breaking News!!! Mabasi Ubungo yagoma asubuhi

 

1

Na Andrew Chale wa Modewji blog

Habari zilizotufikia hivi punde ni kuwa umati mkubwa wa abiria wameanza kupata taabu ya usafiri baada ya baadhi ya mabasi kuanza mgomo baridi.

Mgomo huo umeanza muda huu katika kituo cha mabasi cha Ubungo, hata hivyo baadhi ya mabasi yaliyokuwa yakielekea safari zake nje ya nchi ya Tanzania na baadhi yao yalibahatika kuanza safari yakitokea katika kituo hicho kikuu cha Mabasi yaendayo Mikoani na nchi jirani..

Taarifa zaidi zitaendelea kuwajia hivi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani