Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAITI YAGOMA KUSAFIRISHWA ELDORET NCHINI KENYA

Jiji la Eldoret kaunti ya Uasin Gishu nchini Kenya leo lilishuhudia tukio la kushangaza baada ya maiti iliyokuwa inasafirishwa kwa maziko kukataa safari hiyo. Kizaazaa kilizuka pale gari lililokuwa limelibeba jeneza lenye mwili wa marehemu kupata hitilafu na licha ya kubadilishwa gari jingine, nalo pia lilikataa kuwaka. Hapo ndipo marafiki na jamaa ya marehemu walipochukua fursa ya kuirai maiti hiyo ili ipate kufikishwa eneo la...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

MAITI YAOMBEWA IFUFUKE, YAGOMA

Haruni Sanchawa na Gabriel Ng’osha
HIKI ni kioja! Ndugu wa marehemu Elitha Kaizilege ambaye alipatwa na mauti katika Hospitali ya Kairuki iliyopo Mikocheni jijini Dar wiki iliyopita, walifanya tukio la aina yake baada kutokukubali kama ndugu yao amefariki. Ndugu wa marehemu Elitha Kaizilege wakipeleka mwili wa ndugu yao kanisani kwa ajili ya maombi. Ndugu hao wa marehemu walizuia mwili huo kupelekwa mochwari na badala...

 

10 years ago

BBC

Kenya ICC witness killing haunts Eldoret family

Was Kenyan killed over ICC testimony?

 

10 years ago

Bongo5

Msanii wa Kenya atumia tshs milioni 12 kukodi helikopta kuhudhuria hafla za mwanae na mdogo wake, Nairobi na Eldoret kwa siku 1

Muimbaji wa Kenya, Esther Akoth maarufu kama Akothee ambaye hivi karibuni alikuwa nchini Tanzania, ametumia shilingi 700,000 za Kenya ambazo ni zaidi ya shilingi milioni 12 za Tanzania kuhudhuria hafla mbili ikiwemo ya mwanae wa kike zilizofanyika siku moja. Esther Akoth aka Akothee akiwa kwenye helikopta aliyokodi Akothee ambaye ni mkurugenzi wa kampuni ya Akothee […]

 

11 years ago

Mwananchi

Gavana Kenya aanzisha ushuru wa kuaga maiti

>Kenya ilizindua Katiba mpya Agosti 27 mwaka 2010 kwenye sherehe iliyojaa mbwembwe katika bustani ya Uhuru, Nairobi.

 

11 years ago

Mwananchi

Usiyoyajua kuhusu uchunguzi wa miili ya maiti nchini Tanzania

>Maiti ya Adrian Louis iliokotwa kando ya barabara kuu ya kwenda Lukuledi wilayani Masasi katika Mkoa wa Mtwara.

 

10 years ago

BBCSwahili

wanariadha wa Tanzania wajifua Eldoret

Wanariadha wa Tanzania wajifua Eldoret, nchini Kenya kwa michezo ya Afrika itakayofanyika nchini Congo Brazzaville,Septemba.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mtoto abebwa sandukuni na kusafirishwa

Mtoto mmoja wa miaka 8 amesafirishwa hadi nchini Uhispania kutoka Morroco akiwa ndani ya sanduku

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Watanzania 2 wazuiwa kuingia nchini Kenya huku idadi ya wagonjwa Kenya ikifikia 715

Raia wawili wa Tanzania wamezuiwa kuingia nchini Kenya katika mpaka wa Isibania baada ya kukutwa na virusi vya corona, kulingana na wizara ya afya nchini humo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani