VIDEO:SAKATA LA KUFUNGWA KWA MIPAKA TANZANIA NA KENYA . UBALOZI WA KENYA NCHINI WALONGA
![](https://img.youtube.com/vi/Temig0z8Mco/default.jpg)
CCM Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili16 May
Virusi vya corona: Kenya yafunga mipaka yake Tanzania na Somalia kwa siku 30
Rais Uhuru Kenyatta ametangaza kufungwa kwa mipaka ya nchi yake kwa kipindi cha muda wa siku 30
9 years ago
Mwananchi17 Sep
Tanzania, Kenya kuhakiki mipaka
Nchi za Tanzania na Kenya zimekutana kutengeneza mpango kazi na bajeti vitakavyotumika kuhakiki na kuweka alama katika mipaka ya nchi zao.
11 years ago
Ykileo![](http://2.bp.blogspot.com/-zDGdzXASjGs/U3sVzygzP9I/AAAAAAAAAgs/vfjDOdjiu2g/s72-c/12345.jpg)
WANAOTUMA JUMBE ZA NGONO KUPITIA SIMU KUFUNGWA JELA NCHINI KENYA
![](http://2.bp.blogspot.com/-zDGdzXASjGs/U3sVzygzP9I/AAAAAAAAAgs/vfjDOdjiu2g/s1600/12345.jpg)
Adhabu hiyo itawahusu wale wanaotuma ujumbe wenye picha za watu walio uchi na zenye mada ya ngono nchini humo. Maafisa wakuu wa serikali wanasema kuwa yeyote atakayepatikana na hatia atafungwa jela kifungo cha miezi mitatu kwenda chini.
Afisa mkuu kutoka tume ya mawasiliano ya Kenya , Christopher Wambua,...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-XbHnMGMJulw/Vfm0oVC8jAI/AAAAAAAH5ac/xAiNC6cX-fA/s72-c/unnamed%2B%252853%2529.jpg)
MKUTANO WA UIMARISHAJI NA UHAKIKI WA MIPAKA KATI YA TANZANIA NA KENYA
Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi inafanya mkutano wa siku tano kati ya Serikali ya jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Jamhuri ya Kenya ili kuimarisha na kuhakiki mipaka kati ya nchi hizo. Kikao hicho cha wajumbe maalumu kutoka nchi hizo mbili kinafanyika katika Hoteli ya Kilimanjaro jijini Dar es salaam kuanzia tarehe 14 hadi 18 septemba 2015.
Mkurugenzi Idara ya upimaji na Ramani Bw. Justo Lyamuya, Mkurugenzi wa Nyumba Bw. Charles Mafuru kutoka Wizara ya Ardhi,...
![](http://1.bp.blogspot.com/-XbHnMGMJulw/Vfm0oVC8jAI/AAAAAAAH5ac/xAiNC6cX-fA/s1600/unnamed%2B%252853%2529.jpg)
10 years ago
BBCSwahili08 Apr
Wasomali walalama kufungwa kwa Hawala Kenya
Wasomali nchini Kenya wamelalamikia vikali hatua ya serikali nchini humo kufunga mashirika 13 ya ubadilishaji wa sarafu za kigeni
10 years ago
Vijimambo22 Jul
RAIS OBAMA KUWASILI KENYA SIKU YA IJUMAA JIONI, BAADHI YA MITAA NA ANGA KUFUNGWA KWA MUDA
![US President Barack Obama boards Air Force One at Andrews Air Force Base in Maryland. PHOTO | AFP](http://nairobinews.co.ke/wp-content/uploads/2015/07/048708-01-02-524x350.gif)
Baadhi ya barabara za jiji la Nairobi zimefungwa kwa ajili ya kuimarisha usalama wa jiji hilo wakati wa ujio wa Rais huyo wa Marekani.
Anga la nchi hiyo litafungwa siku ya Ijumaa mida hiyo ya Rais Obama atakapo wasili ni siku ya...
5 years ago
BBCSwahili12 May
Virusi vya corona: Watanzania 2 wazuiwa kuingia nchini Kenya huku idadi ya wagonjwa Kenya ikifikia 715
Raia wawili wa Tanzania wamezuiwa kuingia nchini Kenya katika mpaka wa Isibania baada ya kukutwa na virusi vya corona, kulingana na wizara ya afya nchini humo.
9 years ago
Michuzi14 Oct
KEYNOTE ADDRESS BY HIS EXCELLENCY JAKAYA MRISHO KIKWETE, PRESIDENT OF THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA, AT THE KENYA - TANZANIA BUSINESS FORUM IN NAIROBI, KENYA, 6TH OCTOBER 2015
KEYNOTE ADDRESS BY HIS EXCELLENCY JAKAYA MRISHO KIKWETE, PRESIDENT OF THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA, AT THE KENYA - TANZANIA BUSINESS FORUM IN NAIROBI, KENYA, 6THOCTOBER 2015
Ladies and Gentlemen;I thank you President Uhuru Kenyatta for including this meeting in my itinerary and for what you have just said emphasizing the importance of promoting business relations between our two countries. I thank Mr. Kiprono Kittony the Chairman of the Kenya Chamber of Commerce and Industry for organising...
Ladies and Gentlemen;I thank you President Uhuru Kenyatta for including this meeting in my itinerary and for what you have just said emphasizing the importance of promoting business relations between our two countries. I thank Mr. Kiprono Kittony the Chairman of the Kenya Chamber of Commerce and Industry for organising...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania