Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


RAIS OBAMA KUWASILI KENYA SIKU YA IJUMAA JIONI, BAADHI YA MITAA NA ANGA KUFUNGWA KWA MUDA

US President Barack Obama boards Air Force One at Andrews Air Force Base in Maryland. PHOTO | AFPUlinzi ni mkali kweli kweli zaidi na polisi 10,000 wamemwagwa jiji la Nairobi kwa ajili yakulinda usalama kwa ujio wa Rais wa Marekani Mhe. Barack Obama anayetarajiwa kuwasili jijini Nairobi siku ya Ijumaa kati ya saa 1;45 na 2;35 jioni ya siku hiyo ya July 24, 2015.
Baadhi ya barabara za jiji la Nairobi zimefungwa kwa ajili ya kuimarisha usalama wa jiji hilo wakati wa ujio wa Rais huyo wa Marekani.
Anga la nchi hiyo litafungwa siku ya Ijumaa mida hiyo ya Rais Obama atakapo wasili ni siku ya...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Ziara ya Obama:Anga ya Kenya kufungwa

Shirika linalosimamia safari za ndege nchini Kenya, KCAA, limetangaza kuwa anga ya Kenya itafungwa kwa muda wa dakika hamsini siku ya Ijumaa wiki hii ili kuruhusu ndege ya rais wa Marekani Barrack Obama kutua katika uwanja wa kimataifa wa ndege wa Jomo Ke

 

10 years ago

Vijimambo

10 years ago

Vijimambo

RAIS OBAMA ANAPOAMUA KUKATIZA MITAA YA DC KWA MIGUU


The President was heading over to the nearby Department of the Interior and decided to break with tradition and take a Springtime walk. On the way, he got a chance to meet with all sorts of folks, who weren't expecting to meet the President of the United States of America.

 

10 years ago

Bongo5

Ujio wa Obama nchini Kenya waacha historia, watoto waliozaliwa siku aliyowasili waitwa Barack Obama na wengine ‘AirForceOne’

Ujio wa Rais wa Marekani, Barack Obama umeacha historia ya mambo mengi kwa wananchi wa Kenya. Baadhi ya wazazi wa watoto waliozaliwa siku ambayo Obama alitua nchini Kenya Ijumaa ya July 24, wamewapa watoto wao majina yanayohusiana na Rais huyo. Mzazi mmoja aliyejifungua mtoto wa kiume siku hiyo aliamua kumpa mtoto wake jina la Rais […]

 

5 years ago

BBCSwahili

Christina Koch: Mwanamke aliyeishi kwenye anga za mbali kwa muda mrefu

Christina Koch: Mwana anga mwanamke aliyeishi kwenye anga za mbali kwa muda mrefu

 

5 years ago

BBCSwahili

Hali ya upashaji habari ilivyo baada ya kufungwa kwa baadhi ya vyombo vya habari Burundi

Baadhi ya vyombo vya habari vilivyopigwa marufuku kwa sasa hivi vimeanza kupeperusha matangazo yake mtandaoni.

 

10 years ago

Vijimambo

Balozi wa Tanzania nchini Marekani Mhe, Liberata Mulamula aanda chakula cha jioni kwa baadhi ya mabalozi wanaoziwakilisha nchi zao kwa ukanda wa Afrika Mashariki nyumbani kwake Bethesda ,Maryland tarehe 11/02/2015

 
Balozi wa Ethiopia nchini Marekani na mwenyekiti wa mabalozi wa kanda ya Afrika Mashariki Mhe, Girma Birru akisaini kitabu cha wageni nyumbani kwa Balozi, Mhe Liberata Mulamula.


Balozi wa Uganda nchini Marekani Oliver Wonekha ambaye ni mmoja  wa mabalozi kutoka kanda ya Afrika Mashariki akisaini kitabu cha wageni nyumbani kwa Balozi. Mhe  Liberata Mulamula.


 Balozi wa  Burundi nchini Marekani Mhe, Ernest Ndabashinze akisaini kitabu cha wageni nyumbani kwa Balozi Mhe, Liberata Mulamula.


 Balozi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani