Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Usiyoyajua kuhusu uchunguzi wa miili ya maiti nchini Tanzania

>Maiti ya Adrian Louis iliokotwa kando ya barabara kuu ya kwenda Lukuledi wilayani Masasi katika Mkoa wa Mtwara.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Mambo 13 usiyoyajua kuhusu kakuoana

Aina hizo nane za kakakuona zimetoka katika familia inayofahamika kama manidae. Aina hizo za kakakuona zipo duniani kwa zaidi ya miaka 80 milioni ya mabadiliko yao.

 

10 years ago

Mwananchi

Usiyoyajua kuhusu nyuzinyuzi katika vyakula

Vyakula vya watu wengi wanaoishi katika miji hapa Tanzania ni vile vinavyotokana na wanyama kama nyama, maziwa, samaki, kuku, mayai, dagaa, soseji na vyakula vilivyotengenezwa kwa kutumia nafaka zilizokobolewa. Vyakula hivi havina nyuzinyuzi za kutosha.

 

10 years ago

GPL

MAMBO 14 USIYOYAJUA KUHUSU ROSE MUHANDO

Msanii maarufu wa muziki wa injili, Rose Muhando. JE, Rose Muhando nini nani hasa?  Hilo ni swali ambalo watu wengi wanaweza kujiuliza.  Yafuatayo ni mambo kadhaa yanayohusiana na nyota huyo mzaliwa wa Tanzania anayeng’ara katika uimbaji wa nyimbo za Injili kwa lugha ya Kiswahili katika Afrika ya Mashariki. Mwanamke huyo alizaliwa mwaka 1976 katika kijiji cha Dumila, Wilaya ya Kilosa, Mkoa wa Morogoro akiwa mfuasi...

 

9 years ago

Mtanzania

Mambo 5 Usiyoyajua kuhusu MABESTE,LISA

mabesteNA CHRISTOPHER MSEKENA

MARA nyingi tunapenda kuwafahamu watu maarufu nje ya maisha yao ya sanaa, licha ya kutamani kuwafahamu
imekuwa ngumu kutokana na mastaa hao kutoonekana mara kwa mara kitaa kwa lengo la kuongeza mvuto
kwenye jamii.
Swaggaz wiki limetua maskani mwa nyota wa muziki wa rap, Venance  maarufu kama Mabeste na ametuambia
mambo yake kumi ambayo hujawahi kuyasikia popote, kama uliyasikia basi hapa anakueleza vizuri.

ALIVYOJUANA NA PANCHO

Mabeste anasema yeye na Pancho walikuwa...

 

9 years ago

Bongo5

Video: Mambo 3 Usiyoyajua kuhusu Ernest wa Going Bongo

11820519_180167015648391_1962079100_n

Haya ni mambo matatu Usiyoyajua kuhusu Ernest Napoleon wa filamu ya Going Bongo.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

10 years ago

Bongo Movies

Mambo kadhaa Usiyoyajua kuhusu Flora mvungi.

ELIMU

Dada nakukubali sana, vipi kuhusu kiwango chako cha elimu? Fura, Hedaru, 0714403227

FLORA: Nina elimu ya kidato cha sita na Diploma ya Uandishi wa habari.

 

NDOA NA UIGIZAJI

Hivi dada Flora unawezaje kuitumikia ndoa yako kikamilifu huku ukijishughulisha na uigizaji? Amiri Salumu, Dar, 0653252416

FLORA: Ni kujipanga tu, yote yanawezekana.

 

MPANGO

Flora wewe ni msanii mahiri wa filamu Bongo, je, una mpango gani wa kujiendeleza kuhusiana na uigizaji? Salim Liundi, Dar,...

 

9 years ago

Bongo5

Video: Mambo Matatu Usiyoyajua kuhusu Malaika

10617116_420678268131842_1583409129_n

Tazama video hii kujua mambo matatu usiyoyajua kuhusu Malaika.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

10 years ago

Dewji Blog

Haya ndiyo usiyoyajua kuhusu rapa Mmarekani T.I

1

Wakati siku za kuelekea tamasha la mwisho la Serengeti Fiesta 2014 zikihesabika, hakuna kinachowapa raha mashabiki wa tamasha hilo nchini zaidi ya kujiandaa na ujio wa mwanamuziki nyota Duniani katika miondoko ya hip hop.

Ama kwa hakika, si mwingine bali ni T.I aliyejipanga kuwashika vilivyo katika jukwaa wakati wa shoo ya tamasha la Serengeti Fiesta 2014 litakalofanyika katika viwanja vya leaders jijini Dar es Salaam hapo Oktoba 18, mwaka huu.

T.I ambye jina lake kamili ni Clifford Joseph...

 

9 years ago

Bongo5

Mambo 22 usiyoyajua kuhusu Chris Brown (Mpya)

Muimbaji wa Marekani, Chris Brown ambaye yupo kwenye ziara ya ‘One Hell of a Nite Tour’ ameshare mambo kadhaa kupitia mtandao wa Us Weekly ambayo wengi hawayafahamu. Nayo ni: 1. Ni mtu anayependa sana usafi (neat freak) 2. Ni msanii pekee aliyekuwa jela lakini akawa na wimbo uliokamata nafasi ya kwanza kwenye chart 3. Amejifunza […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani