Haya ndiyo usiyoyajua kuhusu rapa Mmarekani T.I
Wakati siku za kuelekea tamasha la mwisho la Serengeti Fiesta 2014 zikihesabika, hakuna kinachowapa raha mashabiki wa tamasha hilo nchini zaidi ya kujiandaa na ujio wa mwanamuziki nyota Duniani katika miondoko ya hip hop.
Ama kwa hakika, si mwingine bali ni T.I aliyejipanga kuwashika vilivyo katika jukwaa wakati wa shoo ya tamasha la Serengeti Fiesta 2014 litakalofanyika katika viwanja vya leaders jijini Dar es Salaam hapo Oktoba 18, mwaka huu.
T.I ambye jina lake kamili ni Clifford Joseph...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog30 Nov
Haya ndiyo majibu ya Neymar kuhusu kutakiwa na Real Madrid!
Neymar
Na Rabi Hume,Modewjiblog
Baada ya kipigo cha goli 4 kwa bila kutoka kwa wapinzani wao Barcelona, habari za chini chini zilianza kusambaa kuwa Real Madrid inataka kuweka dau kwa staa wa Barcelona, Neymar.
Tetesi hizo zilidokeza kuwa rais wa Real Madrid, Florentino Perez alikuwa tayari kumuwekea mezani Neymar kitita cha Euro Milioni 190 ili kupata saini ya nyota huyo.
Baada ya tetesi hizo mtandao wa Espnfc umeripoti kuwa Neymar amesema hayupo tayari kujiunga na Real Madrid na jambo...
9 years ago
Dewji Blog07 Nov
Haya ndiyo aliyoyasema Neymar kuhusu kuwepo kwake katika orodha ya wachezaji wanaowania tuzo Za mchezaji bora duniani (Ballon D’or)
Mchezaji wa klabu ya Barcelona, Neymar.
Na Rabi Hume
Staa wa timu ya taifa ya Brazil na klabu ya Barcelona, Neymar Da Silva Santos maarufu kama Neymar mwishoni kwa wiki hii alizungumzia kuhusu kushiriki kwake katika tuzo za mchezaji bora duniani maarufu kama Ballon d’Or zinazotolewa na Shirikisho la Soka Duniani (FIFA).
Neymar amesema amekuwa akishiriki katika tuzo hizo lakini si kitu ambacho amekuwa akikipa nafasi katika maisha yake ya soka kutokana na kuwepo kwa wachezaji wengine ambao...
10 years ago
Mwananchi03 Feb
Mambo 13 usiyoyajua kuhusu kakuoana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rUrHnDSl8N-x8wwAHw8-Q7OuW9*RbsYatkjRR*m8K4RD0tCrpDvfIOokkQh9u-kiIxh*Lyj1OLhtNBmzRcDmL*j62BIip4T1/IMG_6706rose.jpg?width=750)
MAMBO 14 USIYOYAJUA KUHUSU ROSE MUHANDO
10 years ago
Mwananchi27 Mar
Usiyoyajua kuhusu nyuzinyuzi katika vyakula
9 years ago
Mtanzania19 Dec
Mambo 5 Usiyoyajua kuhusu MABESTE,LISA
NA CHRISTOPHER MSEKENA
MARA nyingi tunapenda kuwafahamu watu maarufu nje ya maisha yao ya sanaa, licha ya kutamani kuwafahamu
imekuwa ngumu kutokana na mastaa hao kutoonekana mara kwa mara kitaa kwa lengo la kuongeza mvuto
kwenye jamii.
Swaggaz wiki limetua maskani mwa nyota wa muziki wa rap, Venance maarufu kama Mabeste na ametuambia
mambo yake kumi ambayo hujawahi kuyasikia popote, kama uliyasikia basi hapa anakueleza vizuri.
ALIVYOJUANA NA PANCHO
Mabeste anasema yeye na Pancho walikuwa...
9 years ago
Bongo523 Nov
Video: Mambo Matatu Usiyoyajua kuhusu Malaika
![10617116_420678268131842_1583409129_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/10617116_420678268131842_1583409129_n-300x194.jpg)
Tazama video hii kujua mambo matatu usiyoyajua kuhusu Malaika.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!
9 years ago
Bongo519 Oct
Video: Mambo 3 usiyoyajua kuhusu Izzo Bizness
9 years ago
Bongo506 Jan
Video: Mambo 3 Usiyoyajua kuhusu Ernest wa Going Bongo
![11820519_180167015648391_1962079100_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2016/01/11820519_180167015648391_1962079100_n-300x194.jpg)
Haya ni mambo matatu Usiyoyajua kuhusu Ernest Napoleon wa filamu ya Going Bongo.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!