Msanii wa Kenya atumia tshs milioni 12 kukodi helikopta kuhudhuria hafla za mwanae na mdogo wake, Nairobi na Eldoret kwa siku 1
Muimbaji wa Kenya, Esther Akoth maarufu kama Akothee ambaye hivi karibuni alikuwa nchini Tanzania, ametumia shilingi 700,000 za Kenya ambazo ni zaidi ya shilingi milioni 12 za Tanzania kuhudhuria hafla mbili ikiwemo ya mwanae wa kike zilizofanyika siku moja. Esther Akoth aka Akothee akiwa kwenye helikopta aliyokodi Akothee ambaye ni mkurugenzi wa kampuni ya Akothee […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo519 Dec
Kanye West atumia shilingi milioni 125 kumnunuliaa mwanae zawadi za Christmas
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Srh7h7cwtf0/Va1qT8H2jcI/AAAAAAAHqtA/yldXXen3rvc/s72-c/unnamed%2B%25281%2529.jpg)
MAMA SALMA AWASILI NAIROBI KUHUDHURIA MKUTANO WA WAKE WA MARAIS WA AFRIKA KUHUSU KANSA YA MATITI,SHINGO YA KIZAZI NA TEZI DUME
![](http://1.bp.blogspot.com/-Srh7h7cwtf0/Va1qT8H2jcI/AAAAAAAHqtA/yldXXen3rvc/s640/unnamed%2B%25281%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Ulixjj5K7DM/Va1qTxrdgqI/AAAAAAAHqtY/SeLh4JQ73sA/s640/unnamed%2B%25284%2529.jpg)
9 years ago
Mtanzania09 Sep
Wiz Khalifa atumia milioni 20 kwa bangi
NEW YORK, Marekani
MAMA wa msanii wa hip hop nchini Marekani, Wiz Khalifa, Katie Wimbush, amesema amechoshwa na tabia uvutaji wa bangi kila wakati unaofanywa na mwanawe.
Mama huyo alisema walikuwa wanavuta bangi na mwanaye tangu alipokuwa na umri mdogo hata kabla ya kuanza shule, lakini kwa sasa amezidisha matumizi ya dawa hizo kiasi cha kumkera mama huyo.
“Ilikuwa ni hali ya kawaida kabla sijaanza safari ya kwenda kazini na yeye kabla ya kuanza shule, tulikuwa tunavuta wote, lakini kwa sasa...
9 years ago
Bongo526 Oct
Adele avunja rekodi ya Youtube kwa wimbo wake mpya ‘Hello’ kupata views milioni 25 siku ya kwanza
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/HfULSMZVqrw/default.jpg)
10 years ago
Dewji Blog18 Jun
Nassari atumia Helikopta kuhamasisha wananchi kujitokeza kujiandikisha katika Daftari la Kudumu la Wapiga Kura jimboni kwake
![](http://4.bp.blogspot.com/-nthjGqrd-RA/VYHg27rg-kI/AAAAAAAARJs/5tND1sQl5dE/s640/E86A0545%2B%2528800x533%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-X66WMHKjTHA/VYHg2Gyks5I/AAAAAAAARJk/NiHifZm4vuc/s640/E86A0566%2B%2528800x533%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Zk8fNPYota0/VYHg2ok9miI/AAAAAAAARJo/Hq0wTj9yTWI/s640/E86A0568%2B%2528800x450%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-C2t5Z4fj5Ns/VYHg4xXaUZI/AAAAAAAARJ8/VS-Kwjw0OhM/s640/E86A0578%2B%2528800x533%2529.jpg)
11 years ago
GPL18 Dec
MAITI YAGOMA KUSAFIRISHWA ELDORET NCHINI KENYA
10 years ago
Bongo520 Mar
Msanii wa Kenya adhamini mradi wa maji kwenye shule wenye thamani ya shilingi milioni 36 za Tanzania
10 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/80128000/jpg/_80128336_photo5.jpg)