Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wiz Khalifa atumia milioni 20 kwa bangi

Wizkharifa na mama yakeNEW YORK, Marekani

MAMA wa msanii wa hip hop nchini Marekani, Wiz Khalifa, Katie Wimbush, amesema amechoshwa na tabia uvutaji wa bangi kila wakati unaofanywa na mwanawe.

Mama huyo alisema walikuwa wanavuta bangi na mwanaye tangu alipokuwa na umri mdogo hata kabla ya kuanza shule, lakini kwa sasa amezidisha matumizi ya dawa hizo kiasi cha kumkera mama huyo.

“Ilikuwa ni hali ya kawaida kabla sijaanza safari ya kwenda kazini na yeye kabla ya kuanza shule, tulikuwa tunavuta wote, lakini kwa sasa...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

CloudsFM

WIZ KHALIFA AKAMATWA NA BANGI UWANJA WA NDEGE

Rapa wa muziki wa nchini Marekani Wiz Khalifa amedakwa na polisi katika uwanja wa ndege mjini Texas baada ya kukutwa na kitu kinachodaiwa kuwa ni bangi wakati wa zoezi la ukaguzi ndani ya mabegi yake.
Staa huyo anayetamba na ngoma yake ya “Black and Yellow” alikuwa akisafiri kutoka El Paso kwenda Dallas wakati maafisa wa uwanja wa ndege walipokuta mzigo huo ndani ya begi lake ambapo kwa mujibu wa sheria aliwekwa kizuizini na baadae kufikishwa kituo cha polisi.

Lakini Rapa huyo hakuonyesha...

 

10 years ago

Bongo5

Nimewasamehe Wiz Khalifa na Kanye West kwa matusi waliyonitukana — Amber Rose

Mrembo na mke wa zamani wa Wiz Khalifa, Amber Rose alijikuta akibubujikwa na machozi wakati akiongea na umati wa watu kwenye tukio la SlutWalk jijini Los Angeles, Jumamosi iliyopita. Rose, 31, aliandaa tukio hilo ambalo pia mama yake alimuunga mkono ambapo kwenye hotuba yake aliuambia umati kuwa imemchukua muda mrefu kuweza kuwasamehe maex wake Kanye […]

 

11 years ago

Bongo5

Amber Rose aamua kujisafisha kwa kukana kumsaliti mumewe Wiz Khalifa

Baada ya Amber Rose kudai talaka kwa mumewe na baby dady wake Wiz Khalifa, sababu ambazo zimekuwa zikitajwa kuwa chanzo ni kuwa wawili hao walisalitiana na kupelekea ndoa yao iliyodumu kwa mwaka mmoja kufika ukingoni. Amber Rose ameamua kuweka mambo sawa upande wake kwa kujitetea kuwa hakuwahi kumsaliti mumewe. “Please stop with the fake stories. […]

 

10 years ago

Bongo5

Video: Wiz Khalifa — Most of Us

Wiz Khalifa blazes up a video for a new song called “Most of Us.” The Taylor Gang chief gets high at a carnival, but abruptly stops shooting to tell someone off camera to get “that little skinny girl’s number for me.” Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata […]

 

11 years ago

Bongo5

New Video: Wiz Khalifa — Promises

Hii ni Video Mpya kutoka kwa rapper Wiz Khalifa ambayo hii ngoma ya “Promises” itakuwa kwenye album ya tano ya Wiz ambayo itatoka August 19

 

9 years ago

Bongo5

Video: Wiz Khalifa – King of Everything

wiz-lion

Baada ya kuahidi kuachia project mpya ‘Project Khalifa’ itakayotoka January 2016, hii ikiwa ni mkusanyiko wa nyimbo zake ambazo hazikuwahi kutoka, itakayofatiwa na studio album mpya ‘Rolling Papers 2’, rapper Wiz Khalifa anaufunga mwaka kwa kuachia video nyingine ‘KING OF EVERYTHING’. Itazame hapa

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka...

 

10 years ago

Bongo5

Music: Wiz Khalifa — ‘Just Because’ + ‘Outsiders’

While touring through Europe with A$AP Rocky, Wiz Khalifa liberates two new tracks, “Just Because” and “Outsiders.” “2 jams I decided to drop cause I’m tired stoned and only ate a panini last night,” he tweeted. “Sorry I passed out on the weed but here they are.” On “Just Because,” Harry Fraud flips a sample […]

 

9 years ago

Bongo5

Music: Wiz Khalifa — Fucc Day

wiz-smoke

Wiz Khalifa starts off the week by blazing up some new music. On “Fucc Day,” produced by Ricky P, the Taylor Gang chief comes through and breaks off his girl anytime, anyplace.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

10 years ago

Bongo5

Wiz Khalifa akamatwa akijisaidia hadharani

Rapper Wiz Khalifa Jumamosi iliyoisha alijikuta matatani baada ya kukamatwa na polisi akijisaidia haja ndogo hadharani. Tukio hilo lilitokea mida ya saa nane na nusu usiku huko Pittsburgh, Marekani. Khalifa, ambaye jina lake halisi ni Cameron Jibril Thomaz, alikuwa ametoka kutumbuiza kwenye tamasha la Midnight Madness. Lil Wayne alitumbuiza pia. Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani