WIZ KHALIFA AKAMATWA NA BANGI UWANJA WA NDEGE
Rapa wa muziki wa nchini Marekani Wiz Khalifa amedakwa na polisi katika uwanja wa ndege mjini Texas baada ya kukutwa na kitu kinachodaiwa kuwa ni bangi wakati wa zoezi la ukaguzi ndani ya mabegi yake.
Staa huyo anayetamba na ngoma yake ya “Black and Yellow” alikuwa akisafiri kutoka El Paso kwenda Dallas wakati maafisa wa uwanja wa ndege walipokuta mzigo huo ndani ya begi lake ambapo kwa mujibu wa sheria aliwekwa kizuizini na baadae kufikishwa kituo cha polisi.
Lakini Rapa huyo hakuonyesha...
CloudsFM
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania09 Sep
Wiz Khalifa atumia milioni 20 kwa bangi
NEW YORK, Marekani
MAMA wa msanii wa hip hop nchini Marekani, Wiz Khalifa, Katie Wimbush, amesema amechoshwa na tabia uvutaji wa bangi kila wakati unaofanywa na mwanawe.
Mama huyo alisema walikuwa wanavuta bangi na mwanaye tangu alipokuwa na umri mdogo hata kabla ya kuanza shule, lakini kwa sasa amezidisha matumizi ya dawa hizo kiasi cha kumkera mama huyo.
“Ilikuwa ni hali ya kawaida kabla sijaanza safari ya kwenda kazini na yeye kabla ya kuanza shule, tulikuwa tunavuta wote, lakini kwa sasa...
10 years ago
Bongo512 Oct
Wiz Khalifa akamatwa akijisaidia hadharani
10 years ago
Mwananchi25 Jun
Akamatwa uwanja wa ndege Dar na kobe 173
10 years ago
Vijimambo
RAIA WA KUWAIT AKAMATWA UWANJA WA NDEGE DAR NA KOBE 173

10 years ago
Bongo519 Oct
Video: Wiz Khalifa — Most of Us
10 years ago
Bongo524 Oct
Music: Wiz Khalifa — ‘Just Because’ + ‘Outsiders’
9 years ago
Bongo529 Dec
Video: Wiz Khalifa – King of Everything

Baada ya kuahidi kuachia project mpya ‘Project Khalifa’ itakayotoka January 2016, hii ikiwa ni mkusanyiko wa nyimbo zake ambazo hazikuwahi kutoka, itakayofatiwa na studio album mpya ‘Rolling Papers 2’, rapper Wiz Khalifa anaufunga mwaka kwa kuachia video nyingine ‘KING OF EVERYTHING’. Itazame hapa
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka...
11 years ago
Bongo506 Aug
New Video: Wiz Khalifa — Promises
10 years ago
Mtanzania01 Apr
Wiz Khalifa, Amber Rose warudiana
BADI MCHOMOLO NA MTANDAO
MWANAMITINDO maarufu nchini Marekani, Amber Rose amejikuta akirudisha moyo kwa baba mtoto wake, Wiz Khalifa, baada ya kuusilikiza wimbo wa msanii huyo uitwao ‘See You Again’.
Taarifa za kurudiana kwao zinaeleza kwamba Amber Rose baada ya kuusikia wimbo huo ukipigwa kwenye filamu ya Furious 7, alionekana mnyonge akakumbuka maisha walipokuwa wawili baada ya hapo alimpigia simu Wiz Khalifa akamuomba warudiane.
“Sisi ni wazazi japokuwa kulikuwa na mgogoro, lakini...