Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WIZ KHALIFA AKAMATWA NA BANGI UWANJA WA NDEGE

Rapa wa muziki wa nchini Marekani Wiz Khalifa amedakwa na polisi katika uwanja wa ndege mjini Texas baada ya kukutwa na kitu kinachodaiwa kuwa ni bangi wakati wa zoezi la ukaguzi ndani ya mabegi yake.
Staa huyo anayetamba na ngoma yake ya “Black and Yellow” alikuwa akisafiri kutoka El Paso kwenda Dallas wakati maafisa wa uwanja wa ndege walipokuta mzigo huo ndani ya begi lake ambapo kwa mujibu wa sheria aliwekwa kizuizini na baadae kufikishwa kituo cha polisi.

Lakini Rapa huyo hakuonyesha...

CloudsFM

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Wiz Khalifa atumia milioni 20 kwa bangi

Wizkharifa na mama yakeNEW YORK, Marekani

MAMA wa msanii wa hip hop nchini Marekani, Wiz Khalifa, Katie Wimbush, amesema amechoshwa na tabia uvutaji wa bangi kila wakati unaofanywa na mwanawe.

Mama huyo alisema walikuwa wanavuta bangi na mwanaye tangu alipokuwa na umri mdogo hata kabla ya kuanza shule, lakini kwa sasa amezidisha matumizi ya dawa hizo kiasi cha kumkera mama huyo.

“Ilikuwa ni hali ya kawaida kabla sijaanza safari ya kwenda kazini na yeye kabla ya kuanza shule, tulikuwa tunavuta wote, lakini kwa sasa...

 

10 years ago

Bongo5

Wiz Khalifa akamatwa akijisaidia hadharani

Rapper Wiz Khalifa Jumamosi iliyoisha alijikuta matatani baada ya kukamatwa na polisi akijisaidia haja ndogo hadharani. Tukio hilo lilitokea mida ya saa nane na nusu usiku huko Pittsburgh, Marekani. Khalifa, ambaye jina lake halisi ni Cameron Jibril Thomaz, alikuwa ametoka kutumbuiza kwenye tamasha la Midnight Madness. Lil Wayne alitumbuiza pia. Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! […]

 

10 years ago

Mwananchi

Akamatwa uwanja wa ndege Dar na kobe 173

Jeshi la Polisi, Uwanja wa ndege wa Mwalimu Julius Nyerere (JNAI), linamshikilia, raia wa Kuwait, Hussein Mansoor, kwa kukutwa na kobe hai 173 aliokuwa akiwasafirisha kueleka nchini kwake.

 

10 years ago

Vijimambo

RAIA WA KUWAIT AKAMATWA UWANJA WA NDEGE DAR NA KOBE 173

 Jeshi la Polisi, Uwanja wa ndege wa Mwalimu Julius Nyerere (JNAI), linamshikilia, raia wa Kuwait, Hussein Mansoor, kwa kukutwa na kobe hai 173 aliokuwa akiwasafirisha kueleka nchini kwake.Kaimu Mkurugenzi wa Uwanja wa JNIA, Clemence Jingu alisema abiria huyo mwenye hati ya kusafiria yenye namba 003870237, alikamatwa usiku wa kuamkia jana akijitayarisha kupanda ndege ya Emirates iliyokuwa ikielekea Kuwait kupitia Dubai.

Jingu alisema raia huyo alikamatwa saa tano usiku katika eneo la abiria...

 

10 years ago

Bongo5

Video: Wiz Khalifa — Most of Us

Wiz Khalifa blazes up a video for a new song called “Most of Us.” The Taylor Gang chief gets high at a carnival, but abruptly stops shooting to tell someone off camera to get “that little skinny girl’s number for me.” Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata […]

 

10 years ago

Bongo5

Music: Wiz Khalifa — ‘Just Because’ + ‘Outsiders’

While touring through Europe with A$AP Rocky, Wiz Khalifa liberates two new tracks, “Just Because” and “Outsiders.” “2 jams I decided to drop cause I’m tired stoned and only ate a panini last night,” he tweeted. “Sorry I passed out on the weed but here they are.” On “Just Because,” Harry Fraud flips a sample […]

 

9 years ago

Bongo5

Video: Wiz Khalifa – King of Everything

wiz-lion

Baada ya kuahidi kuachia project mpya ‘Project Khalifa’ itakayotoka January 2016, hii ikiwa ni mkusanyiko wa nyimbo zake ambazo hazikuwahi kutoka, itakayofatiwa na studio album mpya ‘Rolling Papers 2’, rapper Wiz Khalifa anaufunga mwaka kwa kuachia video nyingine ‘KING OF EVERYTHING’. Itazame hapa

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka...

 

11 years ago

Bongo5

New Video: Wiz Khalifa — Promises

Hii ni Video Mpya kutoka kwa rapper Wiz Khalifa ambayo hii ngoma ya “Promises” itakuwa kwenye album ya tano ya Wiz ambayo itatoka August 19

 

10 years ago

Mtanzania

Wiz Khalifa, Amber Rose warudiana

amber-rose-wiz-khalifaBADI MCHOMOLO NA MTANDAO
MWANAMITINDO maarufu nchini Marekani, Amber Rose amejikuta akirudisha moyo kwa baba mtoto wake, Wiz Khalifa, baada ya kuusilikiza wimbo wa msanii huyo uitwao ‘See You Again’.
Taarifa za kurudiana kwao zinaeleza kwamba Amber Rose baada ya kuusikia wimbo huo ukipigwa kwenye filamu ya Furious 7, alionekana mnyonge akakumbuka maisha walipokuwa wawili baada ya hapo alimpigia simu Wiz Khalifa akamuomba warudiane.
“Sisi ni wazazi japokuwa kulikuwa na mgogoro, lakini...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani