Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mtoto abebwa sandukuni na kusafirishwa

Mtoto mmoja wa miaka 8 amesafirishwa hadi nchini Uhispania kutoka Morroco akiwa ndani ya sanduku

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Mama abebwa akiwa ndani ya choo

Mwanamke aliyekuwa akitumia choo cha muda alibebwa na kupelekwa kwingine baada ya choo hicho kubebwa juu na tracta kimakosa

 

10 years ago

GPL

MWILI WA JAJI MAKAME WAAGWA NA KUSAFIRISHWA LEO

Waziri Mkuu Mizengo Pinda, akisaini kitabu cha maombolezo.
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulahman Kinana akisaini kitabu cha maombolezo.
Familia ya Jaji Makame wakiwa na huzuni.…

 

10 years ago

Michuzi

MWILI WA MUFTI KUSAFIRISHWA KESHO MKOANI SHINYANGA

Mufti ,Alhaj Sheikh Shaban Issa Bin Simba enzi za uhai wake.Na Chalila Kibuda.MWILI wa  Mufti ,Alhaj Sheikh Shaban Issa Bin Simba unatarajiwa kusafirishwa kesho mkoani Shinyanga.Akizungumza na waandishi wa habari leo Makao Makuu ya Baraza Kuu la Waislam Tanzania (Bakwata),Sheikh wa Mkoa wa Dar es Salaam,Alhaj Alhad Mussa Salum amesema mwili wa marehemu utaswaliwa kesho katika Msikiti wa Msilimu ,viongozi mbalimbali wa dini na serikali watakuwepo.Amesema marehem alikuwa akisumbuliwa na...

 

11 years ago

GPL

MAITI YAGOMA KUSAFIRISHWA ELDORET NCHINI KENYA

Jiji la Eldoret kaunti ya Uasin Gishu nchini Kenya leo lilishuhudia tukio la kushangaza baada ya maiti iliyokuwa inasafirishwa kwa maziko kukataa safari hiyo. Kizaazaa kilizuka pale gari lililokuwa limelibeba jeneza lenye mwili wa marehemu kupata hitilafu na licha ya kubadilishwa gari jingine, nalo pia lilikataa kuwaka. Hapo ndipo marafiki na jamaa ya marehemu walipochukua fursa ya kuirai maiti hiyo ili ipate kufikishwa eneo la...

 

10 years ago

Vijimambo

MWILI WA EDDIE MALCOLM UMEAGWA TAYARI HILI KUSAFIRISHWA NYUMBANI ZANZIBAR TANZANIA


Imamu wa wa msikiti wa Masjid Ihsan Brooklyn, Ny akiongoza sala ya kuuombea mwili wa Eddie pamoja na Watanzania waliojitokeza msikitini hapo.
Ndugu wa marehemu Eddie kutoka Canada, California na Seattle wakiwa mbele ya jeneza kuaga mwili wa ndugu yao.
Bwana Hajji Khamis Mwenyekiti wa New York Tanzania Community akiongea mbele ya Watanzania msikitini hapo, Bwana Hajji alikuwa msitari wa mbele kuakikisha kila kitu kinafanikiwa.

Mhe. Ramadhani Mwinyi Balozi Mwakilishi wa kudumu wa Tanzania...

 

10 years ago

Vijimambo

EMMANUEL ELISA NYITI AAGWA KANSAS CITY JUMAPILI, MWILI KUSAFIRISHWA KESHO JUMATANO

Picha ni Emmanuel Elisa Nyiti enzi ya uhai wake.Jeneza lililobeba mwili wa marehemu Emmanule Nyiti likishushwa kanisani kwa ajili ya ibada ya kumuaga mpendwa Emmanuel Nyiti siku ya Jumapili June 28, 2015 Kansas City jimbo la MissouriJeneza likiwa kanisani.Ndugu, jamaa na jamaa wakifuatilia ibada ya kumbukumbu na kuaga mwili wa mpendwa Emmanule Nyiti siku ya Jumapili June 28, 2015 Kansas City.

 

10 years ago

GPL

MAENDELEO YA MSIBA WA MAMA KULWA, DOTTO NA NICO MWAIBALE JIJINI DAR, KUSAFIRISHWA KESHO KWENDA MBEYA KWA MAZISHI

 Meneja Mkuu  wa Global Publishers Limited Bwana. Abdalah Mrisho akitoa mkono wa pole kwa  Dada mkubwa wa kina Mwaibale Mwalimu Mary Anyitike

Mwanahabari Kulwa Mwaibale (mwenye Fulana nyekundu) akiwatambulisha wafanyakazi wenzake wa Kampuni ya Global Publisher kwa wanafamilia.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani