Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mama abebwa akiwa ndani ya choo

Mwanamke aliyekuwa akitumia choo cha muda alibebwa na kupelekwa kwingine baada ya choo hicho kubebwa juu na tracta kimakosa

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Kichanga chaokolewa ndani ya shimo la choo

Mtoto mchanga mwenye umri wa siku mbili amenusurika kufa baada ya mama yake mzazi, Hadija Pangani (29) Mkazi wa Kijiji cha Mpiruka Wilaya Nachingwea, Lindi kumfunga kwenye kiroba na kumtumbukiza chooni.

 

10 years ago

Vijimambo

MH. NYALANDU AKIWA NA MAMA MWENYE NYUMBA WAKE



Mh. Nyalandu akiwa na mke wake ni mambo ya Valentine's Day hayo Vijimambo inakupongeza Mh. Kwa Upendo wako kwa familia yako.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mtoto abebwa sandukuni na kusafirishwa

Mtoto mmoja wa miaka 8 amesafirishwa hadi nchini Uhispania kutoka Morroco akiwa ndani ya sanduku

 

10 years ago

Vijimambo

MPWA AKIWA NA CEO WA BAMA BONGO NDANI YA BIRMINGHAM, AL

CEO wa Bama Bongo akiwa na mpwa ndani Birmingham Jimbo la Alabama  wakiangalia mchezo wa kikapu kati Wizard na Miami 

 

9 years ago

Bongo Movies

Picha: Wema Sepetu Akiwa na Team ya ‘Mama Ongea na Mwanao’

Hizi ni baadhi ya picha za mastaa wa bongo movies wanaokiunga mkono chama cha mapinduzi na kushiriki katika kwampeni za chama hicho kupitia kampeni yao ya MAMA ONGEA NA MWANAO.

“Dah Tunashinda kwa Kishindo kikubwa mjue.. John Pombe Magufuli na Mama Samia mpaka Ikulu....”-Wema aliandika kwenye moja ya picha hizo hapo juu.

 

10 years ago

Michuzi

mdau mama mutaki akiwa malta kula nomndozzz ya sheria ya maritime

 Mdau Mrs Leticia Mutaki (wa pili kushoto) akiwa na wanafunzi wenzake wanawake kwenye ufunguzi wa kula nondozzzz  ya  sheria ya Masters in  maritime law jijini Malta. Mdau Mrs Leticia Mutaki (wa pili kushoto) akijidai na bendera ya Tanzania kwenye ufunguzi wa mafunzo ya nondozzz  ya sheria ya Masters in  Maritime law jijini Malta.

 

10 years ago

Bongo5

Baba Levo apata ajali akiwa ndani ya basi la AM lililogongana na Coaster

Msanii wa kundi la 2mbili wa Town, Baba Levo amepata ajali baada ya basi la kampuni ya AM Coach alilokuwa amepanda kugongana na Coaster. Kwa mujibu wa Millardayo.com, ajali hiyo imetokea kwenye pori la kijiji cha Uluwila ambapo alikuwa anatokea Tabora kwenda Mpanda. Inadaiwa kuwa dereva wa Coaster alikuwa akikwepa barabara mbovu na hivyo kuhamia […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani