mdau mama mutaki akiwa malta kula nomndozzz ya sheria ya maritime
![](http://4.bp.blogspot.com/-GtUwa-qtNaY/VF-wJOT-9eI/AAAAAAAGwRs/uqlVYMCRpK8/s72-c/unnamed%2B(5).jpg)
Mdau Mrs Leticia Mutaki (wa pili kushoto) akiwa na wanafunzi wenzake wanawake kwenye ufunguzi wa kula nondozzzz ya sheria ya Masters in maritime law jijini Malta.
Mdau Mrs Leticia Mutaki (wa pili kushoto) akijidai na bendera ya Tanzania kwenye ufunguzi wa mafunzo ya nondozzz ya sheria ya Masters in Maritime law jijini Malta.
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-GE_K1I8GLLs/Vd8z3FtW1lI/AAAAAAAH0dk/Gtc-ikhYFlk/s72-c/unnamed%2B%252812%2529.jpg)
mdau leticia mutaki alamba nondozzzz nchini Malta
![](http://3.bp.blogspot.com/-GE_K1I8GLLs/Vd8z3FtW1lI/AAAAAAAH0dk/Gtc-ikhYFlk/s640/unnamed%2B%252812%2529.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bdOTGlbNKtr1cdVx9tk-ZbNWOxYi05WgkjzV9wU-RTMz9vEPaeNenlkACwbpi2FPah6SXq4YWp5k3WyzAJm0g-u-XDb1wOou/MAMAKANUMBA.jpg?width=650)
MAMA LULU, MAMA KANUMBA WAENDA KULA KIAPO
Stori: Mwandishi Wetu
ULE udugu wa ukubwani kati ya wazazi wa mastaa wa filamu Bongo, Lucresia Karugila ‘Mama Lulu’ na Flora Mtegoa ‘Mama Kanumba’ umezidi kukua kufuatia kwenda Bukoba, Kagera kwa ajili ya kula kiapo cha kuimarisha undugu huo. Kutoka kushoto: Flora Mtegoa, Lulu na Lucresia Karugila katika pozi. Wazazi hao wawili walijikuta katika undugu kufuatia Elizabeth Michael...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-aOZyRCj_RZs/U2Mt4ybmUII/AAAAAAAFewg/Cq0xsRLDlhk/s72-c/unnamed+(2).jpg)
Mdau Mzee wa Kipepeo Tours akiwa vakesheni New York
![](http://2.bp.blogspot.com/-aOZyRCj_RZs/U2Mt4ybmUII/AAAAAAAFewg/Cq0xsRLDlhk/s1600/unnamed+(2).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-CulpoXfM-Jc/U2Mt46-KU-I/AAAAAAAFewk/GEzitld1ClM/s1600/unnamed+(3).jpg)
11 years ago
Michuzi11 Feb
MDAU KIZITO ASHINDA MILIONI 10 ZA 'CHAMPIONI MAHELA' AKIWA KWENYE DALADALA
BAADA ya kusubiri kwa muda mrefu hatimaye, mshindi wa milioni 10 amepatikana kupitia droo ya Shinda Mahela na Championi ambaye ni Kizito George Chuka.
Droo hiyo iliyochezeshwa mbele ya Msimamizi wa Bodi ya Bahati Nasibu, Mrisho Milao kwenye Viwanja vya Mbagala- Zakhem jana Jumanne.
Akizungumza Kizito ambaye ni makazi wa Kawe jijini Dar alipopigiwa simu na muendeshaji wa shughuli hiyo MC Chaku, mshindi huyo alikuwa ndani ya daladala hivyo hakuwa na mengi ya kuongeza zaidi ya kushukuru kwa...
Droo hiyo iliyochezeshwa mbele ya Msimamizi wa Bodi ya Bahati Nasibu, Mrisho Milao kwenye Viwanja vya Mbagala- Zakhem jana Jumanne.
Akizungumza Kizito ambaye ni makazi wa Kawe jijini Dar alipopigiwa simu na muendeshaji wa shughuli hiyo MC Chaku, mshindi huyo alikuwa ndani ya daladala hivyo hakuwa na mengi ya kuongeza zaidi ya kushukuru kwa...
10 years ago
Michuzi30 Mar
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-AIfhDTQS7d0/Uv2yRGBef-I/AAAAAAAFNEg/OUrhPkGMTko/s72-c/r.jpg)
Mdau Ruger Kahwa akiwa na Balozi wa Papua New Guinea katika Umoja wa Mataifa
![](http://1.bp.blogspot.com/-AIfhDTQS7d0/Uv2yRGBef-I/AAAAAAAFNEg/OUrhPkGMTko/s1600/r.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-1jD8zVFc2cQ/VRhHzRY8gkI/AAAAAAAAILI/AVAHsit0y5Q/s72-c/unnamed.jpg)
WATU 15 WAKAMATWA NA JESHI LA POLISI KWA TUHUMA ZA KULA NJAMA NA KUJARIBU KUMTOROSHA ASKOFU GWAJIMA AKIWA HOSPITALINI
![](http://2.bp.blogspot.com/-1jD8zVFc2cQ/VRhHzRY8gkI/AAAAAAAAILI/AVAHsit0y5Q/s640/unnamed.jpg)
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linawashikilia na kuwahoji watu 15 ambao wanatuhumiwa kwa makosa ya kula njama pamoja na kujaribu kumtorosha Askofu Josephat Mathias Gwajima ambaye amelazwa katika Hospitali ya TMJ kwa matibabu
Mnamo tarehe 29/03/2015 majira ya saa tisa na dakika thelathini usiku watu hao 15 katika hali isiyo ya kawaida walifika hospitalini hapo wakidai kwamba walikuwa wanataka kwenda kumuona mgonjwa huyo. Askari ambao wapo katika lindo hilo waliwatilia mashaka...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-1JmUnR4Z2cE/VRnDbsKGSGI/AAAAAAAHOd8/Ik-DtqiZEco/s72-c/unnamedg.jpg)
UPDATES: TAARIFA YA NYONGEZA/UFAFANUZI YA TUKIO LA KULA NJAMA NA KUJARIBU KUMTOROSHA ASKOFU JOSEPHAT GWAJIMA AKIWA HOSPITALI
![](http://1.bp.blogspot.com/-1JmUnR4Z2cE/VRnDbsKGSGI/AAAAAAAHOd8/Ik-DtqiZEco/s1600/unnamedg.jpg)
Ufafanuzu ni kama ifuatavyo:
Uchunguzi wa kina na wa kitaalam sasa umethibitisha kwamba silaha hiyo inamilikiwa kihalali na Askofu Josephat Gwajima. Kuhusu risasi 17 za Short Gun ni kwamba Askofu Gwajima anamiliki Bunduki...
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-pihtLkzYk90/VhGiZUANexI/AAAAAAAD__0/_ZbZtsc1GXA/s72-c/FullSizeRender_1.jpg)
MDAU WA VIJIMAMBO AKIWA KIJIJI KWAO MKATAA KWAO MTUMWA
![](http://1.bp.blogspot.com/-pihtLkzYk90/VhGiZUANexI/AAAAAAAD__0/_ZbZtsc1GXA/s640/FullSizeRender_1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-G9zPTFn7vBM/VhGiZkaa0lI/AAAAAAAD__4/KcoSS-_deYU/s640/FullSizeRender_2.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania