Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


mdau leticia mutaki alamba nondozzzz nchini Malta

Mdau wa Globu ya Jamii Leticia Mutaki (kati) wa SUMATRA Dar es salaam akifurahia na wadau baada ya kulamba nondozzzz yake ya Master of Law in Martime International huko nchini MALTA hivi karibuni. Hongera sana mdau Leticia.

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

mdau mama mutaki akiwa malta kula nomndozzz ya sheria ya maritime

 Mdau Mrs Leticia Mutaki (wa pili kushoto) akiwa na wanafunzi wenzake wanawake kwenye ufunguzi wa kula nondozzzz  ya  sheria ya Masters in  maritime law jijini Malta. Mdau Mrs Leticia Mutaki (wa pili kushoto) akijidai na bendera ya Tanzania kwenye ufunguzi wa mafunzo ya nondozzz  ya sheria ya Masters in  Maritime law jijini Malta.

 

10 years ago

Michuzi

mdau deo alamba nondozzzz

Mdau mkongwe wa Globu ya Jamii Deogratius Dotto jana kalamba nondozzz ya  Elimu ya Jamii katika Utawala wa Umma (Master of Arts in Public Administration) katika Chuo Kikuu cha Dar es salaam. Nasi hapa chumba cha habari tunampa pongezi sana sana na kumtakia safari njema kuelekea PhD ambayo tayari  amekwishaianza...Hongera mdau Deo!

 

10 years ago

Michuzi

MDAU MISANYA BINGI ALAMBA NONDOZZZZ YA PHD

Aliyepata kuwa mtangazaji mahiri wa ITV ambaye sasa ni mhadhiri katika Chuo Kikuu cha Dar es salaam jana kala nondozzzz yake ya PhD na sasa anajulikana kama Dkt Misanya Bingi. Globu ya Jamii inakupongeza kwa hatua hiyo na kukuombea wepesi huko kwenye Uprofesa unakoelekea, hasa baada ya kutetea vyema andiko lako la "Female Circumcision" kwenye thesis yako. Nadhani wanafunzi wako wote hapo Sociology Dept. wanafurahi.

 

10 years ago

Michuzi

mdau Zainab Rajab Mwinyijuma alamba nondozzzz uingereza

 Zainab Rajab Mwinyijuma akiwa anasubiria kuitwa kupokea nondozzz yake ya   "BACHELOR OF SCIENCE IN NURSING" katika  Chuo Kikuu cha The University Of Northampon Uingerezea akiwa na wahatimu wenziwe wikiendi hii  Zainab Rajab Mwinyijuma akiwa na mai hazbendi wake Mbegu Diego na familia yao baada ya kulamba nondozzzz yake Zainab Rajab Mwinyijuma akiwa na mama yake mzazi baada ya kulamba nondozzzz yake

 

10 years ago

Michuzi

mdau Peter Samanya Msacky alamba nondozzzz Chuo Kikuu Mzumbe

Katika mahafali ya 13 katika chuo kikuu Mzumbe yaliyofanyika Ijumaa katika kampasi kuu Mzumbe, Morogoro mdau Peter Samanya Msacky alilamba nondozzz ya Uzamili ya Uhasibu na Fedha (MSc in Accounting and Finance) ya Chuo Kikuu Mzumbe (MU). Bwana Msacky akipongezwa na mke wake mpendwa Judith mara tu baada ya kutunukiwa Shahada ya UzamiliGlad akimpongeza baba yake kwa mafanikio aliyopata kwa kutunukiwa Shahada ya Uzamili, anaonekana akimhakikishia baba yake kuwa hata yeye atajitahidi katika...

 

10 years ago

Michuzi

Mdau Nzumbe Nyanduga alamba Nondozzz yake ya nternational Master (MA) in Management, Law and Humanities in Sports nchini Uswiss

Bwana Nzumbe Nyanduga (kushoto) amekuwa Mtanzania wa kwanza kupata stashahada ya “International Master (MA) in Management, Law and Humanities in Sports” inayodhaminiwa na FIFA. Pichani ni Bw. Nzumbe Nyanduga anaonekana akipokea stashahada hiyo kwenye Chuo Kikuu cha Neuchatel, Uswiss kutoka kwa Mkuu wa Chuo mbele ya Mchezaji wa zamani wa Real Madrid, Bw. Christian Karambeu ambae alikuwa ndio Patron wa darasa la 2014. Bw. Nyanduga amepata stashahada hiyo yenye distinction akiwa...

 

10 years ago

Michuzi

Mdau Salum Mpenda alamba nondozz yake katika Chuo Kikuu cha South Wales,nchini Uingereza

 Mdau Salum Mpenda akiwa kapozz kwa picha mara baada ya kulamba Nondozz yake ya Mastars of International Law katika Chuo Kikuu cha South Wales,nchini Uingereza. Mdau Salum Mpenda (kati) akiwa na Marcina Charles (shoto) na Mariam Ibrahim wakiwa ni wenye furaha tele kwa mufanikiwa kulamza nondozz zao za Mastars of International Law katika Chuo Kikuu cha South Wales,nchini Uingereza.Furaha ya Nondozz: Mdau Salum Mpenda akiwa kwenye picha ya pamoja na Wazazi wake Dkt. Mpenda na Mama Pili Mpenda...

 

10 years ago

Michuzi

Mdau Ephrahim Mushi alamba Nondozz yake ya Masters degree in Environmental Science katika Chuo Kikuu cha Wageningen University nchini Uholanzi

Mhandisi Ephrahim Mushi wa Wizara ya Nishati na Madini akiwa ameshika Nondozz yake ya Uzamili ya Sayansi ya Mazingira (Masters degree in Environmental Science) mara baada ya kuipokea katika chuo kikuu cha Wageningen University nchini Uholanzi siku ya Alhamisi tarehe 26 Septemba, 2014 na baadae kulifanyika tafrija ya mkia wa jogoo (Cocktail Party) ya kupongezana iliyofanyika katika hoteli ya De Werled katika mji wa Wageningen,nchini humo.Mhandisi Ephrahim Mushi wa Wizara ya Nishati na Madini...

 

10 years ago

Michuzi

mdau saidi mkwawa atetea utafiti wake, ala nondozzzz...kiulainiiiii....

Mdau  Mhandisi Saidi Mkwawa wa wakala wa ukaguzi Madini Tanzania (TMAA) akiwa anatetea utafiti wake ili apate nondozz ya Master of Engineering Science (Metallurgy) katika Chuo kikuu cha curtin university, campus ya  Western Australia School of Mine hivi karibuni. Utetezi ulipita kwa mafanikio Mdau Mhandisi Mkwawa wa wakala wa ukaguzi wa Madini Tanzania (TMAA) akitoa neno  la shukrani kwa wafadhili kwa niaba ya wenzake mara baada ya kutunikiwa nondozzzz ya Master of Engineering Science...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani