Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


mdau Peter Samanya Msacky alamba nondozzzz Chuo Kikuu Mzumbe

Katika mahafali ya 13 katika chuo kikuu Mzumbe yaliyofanyika Ijumaa katika kampasi kuu Mzumbe, Morogoro mdau Peter Samanya Msacky alilamba nondozzz ya Uzamili ya Uhasibu na Fedha (MSc in Accounting and Finance) ya Chuo Kikuu Mzumbe (MU). Bwana Msacky akipongezwa na mke wake mpendwa Judith mara tu baada ya kutunukiwa Shahada ya UzamiliGlad akimpongeza baba yake kwa mafanikio aliyopata kwa kutunukiwa Shahada ya Uzamili, anaonekana akimhakikishia baba yake kuwa hata yeye atajitahidi katika...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

wadau hassan na Emmanuel walamba nondozzzz Chuo Kikuu Mzumbe

Wadau wakipozi  Hassan  Kindole (kulia) na Emmanuel Gasper    baada ya kula nondozzzz zao katika mahafali ya 13 ya Chuo Kikuu cha Mzumbe mjini Morogoro Ijumaa. Wadau wamelamba nomndozzz za  shahada ya menejimenti ya Rasilimali witu (Bachelor of Human Resource Management) 

 

10 years ago

Michuzi

Eng. Ahmed Dau Alamba Nondozzzz ya Masters of Science Degree in Petroleum, Energy, Economics and Finance katika Chuo Kikuu cha Aberdeen

 Eng. Ahmed Dau akila pozi baada ya kulamba Nondozzzz ya Masters of Science Degree in Petroleum, Energy, Economics and Finance katika Chuo Kikuu cha Aberdeen Eng. Ahmed na Wazazi wake Dr Ramadhani K Dau na Mrs Zeinab Dau Kwenye mahafari Chuo Kikuu cha Aberdeen Waliosimama kutoka kushoto Meya wa London Haruna Mbeyu, Abdul Dau, Mohamed Janguo, Kheri Mahimbali (MSc oil and gas class of Feb 2014 Aberdeen). Walioketi kutoka kushoto Dr Ramadhani K Dau, Eng. Ahmed Dau na Mrs Zeinab Dau. Kwa picha...

 

10 years ago

Michuzi

Mdau Lusekelo Ambokile alamba nondozz katika Chuo Kikuu cha Middlesex, UK

 Mdau Lusekelo Ambokile akionekana ni mwenye furaha sana mara baada ya kulamba Nondozz yake ya BA-Marketing katika Chuo Kikuu cha Middlesex University, nchini Uingereza.Mdau Lusekelo Ambokile akiwa na Dada zake mara baada ya kulamba Nondozz yake ya BA-Marketing katika Chuo Kikuu cha Middlesex University, nchini Uingereza.Mdau Lusekelo Ambokile akiwa na Mama yake mzazi.

 

10 years ago

Michuzi

MDAU DATIUS JOVIT ALAMBA NONDOZ YA ELIMU YA CHUO KIKUU KISHIRIKI CHA DUCE

 Kijana Datius akiwa katika Picha ya Pamoja na Baba yake Mzazi (nyuma ya babu yake aliyevaa miwani) Babu zake na dada zake wakati alipotunukiwa nondo yake ya elimu kutoka Chuo Kikuu Kishiriki cha DUCE hapo jana Datius Akiwa katika picha ya pamoja na Baba yake Mzazi (Kushoto) pamoja na Babu yake mdogo (kulia) Akivishwa taji na Dada yake aitwaye NeemaAkiwa na Dada mara baada ya kulamba nondoz.Picha Zote na Josephat Lukaza wa http://www.josephatlukaza.com

 

10 years ago

Michuzi

MDAU NGULI CHIEF MKWAWA ALAMBA NONDOZZZ INGINE YA UZAMILI KUTOKA CHUO KIKUU HURIA

MDAU NGULI WA GLOBU YA JAMII MHANDISI MKWAWA AKA CHIEF AMELAMBA NONDOZZZ YA SHAHADA YA UZAMILI KTK UONGOZI WA BIASHARA-MBA (FINANCE) KUTOKA CHUO KIKUU HURIA CHA TANZANIA. HII NI SHAHADA YA PILI YA UZAMILI KUTUNUKIWA MWAKA HUU WA 2014, BAADA YA ILE YA MASTER OF ENGINEERING SCIENCE (METALLURGY) KUTOKA CHUO KIKUU CHA CURTIN (WASM) NCHINI AUSTRALIA MWEZI AUGUST 2014. Mhandisi Mkwawa akivalishwa shada la maua na mai waifu  wake mamaa Warda muda mfupi baada ya kutunukiwa Shahada ya Uzamili...

 

10 years ago

Michuzi

Mdau Anne Kivembele alamba Nondozz yake katika Chuo Kikuu Huria jijini Dar

Mdau Anne Kivembele ambaye ni Mhariri na Mchanganya picha wa Kituo cha Televisheni cha ITV akiwa kapozi kwa picha mara baada ya kulamba nondozz yake ya Uzamili ya Uchumi na Maendeleo ya Jamii katika Chuo Kikuu Huria jijini Dar es Salaam,mwishoni mwa wiki iliyopita. Mdau Anne Kivembele akiwa na marafiki zake mara baada ya kulamba Nondooz zao katika Chuo Kikuu Huria,jijini Dar es Salaam.

 

10 years ago

Michuzi

Mdau Meshack Ndoje alamba nondozz yake Chuo Kikuu cha Dar es salaam University

 Mdau Meshack Ndoje jana Novemba 15, 2014 kwenye mahafali ya arobaini na nne (44) ya chuo kikuu cha Dar es Salaam katika ukumbi wa mlimani city alikuwa ni mmoja wa walamba nondozz waliotunukiwa Nondozz zao,Mdau Meshack amelamba nondozzz ya Takwimu yaani B.A. Statistics.
Mdau Meshack Ndoje akiwa na baadhi ya ndugu zake waliofika kumsapoti kwenye mahafali hayo.

 

10 years ago

Michuzi

mdau deo alamba nondozzzz

Mdau mkongwe wa Globu ya Jamii Deogratius Dotto jana kalamba nondozzz ya  Elimu ya Jamii katika Utawala wa Umma (Master of Arts in Public Administration) katika Chuo Kikuu cha Dar es salaam. Nasi hapa chumba cha habari tunampa pongezi sana sana na kumtakia safari njema kuelekea PhD ambayo tayari  amekwishaianza...Hongera mdau Deo!

 

11 years ago

Michuzi

Mdau Ismail Bibangamba alamba nondozz yake katika chuo kikuu cha Bowie State University

Katika Mahafali ya Spring 2014 Commencement (Bowie State University) akiwemo mTanzania anayeishi hapa mjini Maryland Ismail Bibangamba ameweza kutimiza ndoto yake ya kufaulu nondo ya Master of Business Administration siku ya Jumatatu May 19. 2014 Ndani Comcast Center, College Park Maryland Nchini Marekani. Ismail John Bibangamba akipita picha ya kumbukumbu  baada ya kuchukua nondo yake ya Master of Business Administration, siku ya Jumatatu May 19. 2014 Ndani ya Mjengo wa Comcast Center,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani