Mdau Ruger Kahwa akiwa na Balozi wa Papua New Guinea katika Umoja wa Mataifa
![](http://1.bp.blogspot.com/-AIfhDTQS7d0/Uv2yRGBef-I/AAAAAAAFNEg/OUrhPkGMTko/s72-c/r.jpg)
Mdau Ruger Kahwa ambaye ni mkuu wa ofisi ya United Nations Office for the Coordination of Humanitarian Affairs(UNOCHA) nchini Papua New Guinea akiwa na balozi wa Papua new Guinea katika Umoja wa Mataifa , Amb. Robert Aisi (kulia) na mwakilishi wa FAO nchini Papua New Guinea(kushoto) mara baada ya Balozi Aisi kufanya mazungumzo na PNG United Nations Country Team.
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-2afJ8UO5peo/U84UzrSa6EI/AAAAAAAF4n0/a5VV9b5FgNU/s72-c/unnamed+(44).jpg)
Mdau Ruger Kahwa akihani katika Ubalozi wa Malyasia nchini Papua New Guinea
![](http://2.bp.blogspot.com/-2afJ8UO5peo/U84UzrSa6EI/AAAAAAAF4n0/a5VV9b5FgNU/s1600/unnamed+(44).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-q2DrMZova5w/U4wv_ikKpTI/AAAAAAAFnHo/878r8SnaRbA/s72-c/New+Picture+(5).png)
Mdau Ruger Kahwa Akihani msiba Ubalozi wa Malaysia nchini Papua New Guinea
![](http://2.bp.blogspot.com/-q2DrMZova5w/U4wv_ikKpTI/AAAAAAAFnHo/878r8SnaRbA/s1600/New+Picture+(5).png)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-NfueCDgQzXs/VTCofo6r4zI/AAAAAAAHRnQ/si8XFRFb-hQ/s72-c/unnamed%2B(63).jpg)
JAJI MKUU AKIWA KATIKA PICHA NA AFISA WA USALAMA WA UMOJA WA MATAIFA
![](http://4.bp.blogspot.com/-NfueCDgQzXs/VTCofo6r4zI/AAAAAAAHRnQ/si8XFRFb-hQ/s1600/unnamed%2B(63).jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://img.youtube.com/vi/kK2UgKq1Pm8/default.jpg)
9 years ago
Michuzi30 Sep
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-dVLk-OgamWU/VguWUp8zEKI/AAAAAAAH70U/2AQvqg_SL-0/s72-c/unnamed%2B%252820%2529.jpg)
TASWIRA ZA JK AKIWA UMOJA WA MATAIFA, NEW YORK, KWA MARA YA MWISHO
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete jana jumanne amelihutubia kwa mara ya mwisho Baraza Kuu la 70 la Umoja wa Mtaifa akiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Hotuba ya Mhe. Rais na ambayo iligusia mambo mengi ya kisiasa, kiuchumi, na maendeleo akitumia pia fursa hiyo kuwaanga viongozi wenzie na kuwashukuru kwa ushirikiano waliompatia katika kipindi cha miaka kumi ya uongozi wake, iliwasisimua wajumbe wa mkutano huo kiasi cha kukatishwa mara...
10 years ago
Mwananchi02 May
Dk Augustine Mahiga, balozi mstaafu Umoja wa Mataifa
Historia yake
Dk Augustine Mahiga alizaliwa Agosti 28, 1945 huko Tosamanganga, Jimbo la Kalenga, mkoani Iringa (atatimiza miaka 70 ifikapo Agosti mwaka huu). Amesoma elimu ya msingi katika shule za Serikali enzi ya mkoloni na alihitimu darasa la VIII muda mfupi baada ya uhuru. Safari ya elimu ya Dk Mahiga ilikuwa ya umaskini uliopitiliza, alishindwa kuendelea na elimu ya sekondari kwa kutokuwa na fedha za kulipia mashuka na mablanketi hadi aliposaidiwa na msamaria mwema kutoka Shirika la...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-8yOMFizi2U0/VGy7CXQKJqI/AAAAAAAGyTI/BzIJKjdjRbo/s72-c/unnamed%2B(61).jpg)
BALOZI WA KUDUMU WA UMOJA WA MATAIFA AUGUSTINE MAIGA AKUTANA NA RAIS DK.SHEIN
![](http://2.bp.blogspot.com/-8yOMFizi2U0/VGy7CXQKJqI/AAAAAAAGyTI/BzIJKjdjRbo/s1600/unnamed%2B(61).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-9SEArgJ7Jo8/VGy7C3AtnHI/AAAAAAAGyTE/ggCFiFCKqzw/s1600/unnamed%2B(62).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ZFnXaxSh0VY/VEoOjDUgqyI/AAAAAAAGtFs/zetyOKY6MQI/s72-c/unnamed%2B(6).jpg)
Balozi Manongi aiongoza Kamati ya Sita ya Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa
![](http://1.bp.blogspot.com/-ZFnXaxSh0VY/VEoOjDUgqyI/AAAAAAAGtFs/zetyOKY6MQI/s1600/unnamed%2B(6).jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania