Balozi Manongi aiongoza Kamati ya Sita ya Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa
![](http://1.bp.blogspot.com/-ZFnXaxSh0VY/VEoOjDUgqyI/AAAAAAAGtFs/zetyOKY6MQI/s72-c/unnamed%2B(6).jpg)
Balozi Tuvako Manongi ambaye ni Mwenyekiti wa Kamati ya Sita ya Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa, akimkaribisha Rais wa Baraza Kuu la 69 la Umoja wa Mataifa, Bw. Sam Kutesa ( wa kwanza kushoto) kuzungumza na wajumbe wa Kamati hiyo ya Sita ambayo jukumu lake ni kuratibu na kuendesha mijadala yote inayohusu masuala ya sheria. Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ndiyo mwenyekiti wa Kamati hiyo kwa kipindi cha mwaka moja. Rais wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa amekuwa akitembelea na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ygu0VBD-mN8/VkVfvh4PF9I/AAAAAAAIFmI/bQoeB3Ppm1o/s72-c/653024.jpg)
BARAZA KUU LA USALAMA LA UMOJA WA MATAIFA LAIJADILI BURUNDI
![](http://2.bp.blogspot.com/-ygu0VBD-mN8/VkVfvh4PF9I/AAAAAAAIFmI/bQoeB3Ppm1o/s640/653024.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-JKBzg1EOZzk/VfegNTTUn9I/AAAAAAAH44o/k2Lh3e2ub3s/s72-c/642309%2B-%2BCopy.jpg)
MKUTANO NO. 69 WA BARAZA KUU LA UMOJA WA MATAIFA WAMALIZIKA KWA KISHINDO
![](http://4.bp.blogspot.com/-JKBzg1EOZzk/VfegNTTUn9I/AAAAAAAH44o/k2Lh3e2ub3s/s640/642309%2B-%2BCopy.jpg)
Rais wa Baraza Kuu la 69 la Umoja wa Mataifa, Bw. Sam Kutesa akigonga nyundo maalum kuashiria kukamilika kwa Mikutano ya Baraza hilo ambalo ameliongoza kwa mwaka mzima. Kushoto kwake ni Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki Moon akiwa mwenye furaha wakati wa kuhitimishwa Baraza la 69 ambapo alimpongeza Bw. Sam Kutesa kwa kuliongoza Baraza kwa uhodari uliopelekea kupitishwa kwa maazimio mbalimbali.Na Mwandishi Maaalum New YorkMkutano wa 69 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa, ...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Wop39smKmR8/Va_A6405n_I/AAAAAAAHrIM/6ShASCOBoj4/s72-c/m1.png)
TAARIFA KWA UMMA (AZIMIO NA. 69/246 LA BARAZA KUU LA UMOJA WA MATAIFA
![](http://4.bp.blogspot.com/-Wop39smKmR8/Va_A6405n_I/AAAAAAAHrIM/6ShASCOBoj4/s1600/m1.png)
Tunapenda kuutaarifu Umma kuwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa (United Nations) Mhe. Ban Ki-moon tarehe 16 Machi, 2015 alimteua Mhe Mohamed Chande Othman, Jaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania kuwa Mwenyekiti wa jopo huru la wataalamu wa kutafuta ukweli zaidi juu ya kifo cha aliyekuwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Hayati Dag Hammarskjöld, kifo hicho kilichotokea kwenye ajali ya kusikitisha ya ndege mnamo tarehe 17-18 Septemba, 1961 maeneo ya Ndola,...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-RO5I4nwjHNU/VECBvGeVy8I/AAAAAAAGrGo/QLWIbAyIvwo/s72-c/unnamed%2B(12).jpg)
UHISPANIA NA UTURUKI WACHUANA VIKALI NAFASI YA UJUMBE USIO WA KUDUMU WA BARAZA KUU LA USALAMA LA UMOJA WA MATAIFA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-rRo3GhvYRoc/Xm8CYKPfeZI/AAAAAAALj2Y/dZtguDYcCagW76FdAFH-4UnSJfZlARTWgCLcBGAsYHQ/s72-c/4bv65f3661a2671lsxa_800C450.jpg)
Umoja wa Mataifa wapongeza kuundwa baraza la mawaziri Sudan Kusini
![](https://1.bp.blogspot.com/-rRo3GhvYRoc/Xm8CYKPfeZI/AAAAAAALj2Y/dZtguDYcCagW76FdAFH-4UnSJfZlARTWgCLcBGAsYHQ/s640/4bv65f3661a2671lsxa_800C450.jpg)
Kwenye taarifa yake msemaji wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Stephanie Dujaric, amesema Guterres amepongeza moyo wa maelewano na ushirikiano uliooneshwa na pande husika, ambao umeleta maendeleo haya muhimu.
Guterres amesisitiza utayari wa Umoja wa Mataifa kusaidia pande za Sudan Kusini kutekeleza makubaliano ya Amani ya mwaka 2018, kwa...
11 years ago
MichuziTANZANIA YAONGOZA MKUTANO WA PAMOJA KATI YA BARAZA LA AMANI NA USALAMA LA UMOJA WA AFRIKA (AU) NA KAMATI YA SIASA NA USALAMA YA UMOJA WA ULAYA (EU) MJINI BRUSSELS, UBELGIJI
10 years ago
Mwananchi02 May
Dk Augustine Mahiga, balozi mstaafu Umoja wa Mataifa
5 years ago
Michuzi![](https://img.youtube.com/vi/kK2UgKq1Pm8/default.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-8yOMFizi2U0/VGy7CXQKJqI/AAAAAAAGyTI/BzIJKjdjRbo/s72-c/unnamed%2B(61).jpg)
BALOZI WA KUDUMU WA UMOJA WA MATAIFA AUGUSTINE MAIGA AKUTANA NA RAIS DK.SHEIN
![](http://2.bp.blogspot.com/-8yOMFizi2U0/VGy7CXQKJqI/AAAAAAAGyTI/BzIJKjdjRbo/s1600/unnamed%2B(61).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-9SEArgJ7Jo8/VGy7C3AtnHI/AAAAAAAGyTE/ggCFiFCKqzw/s1600/unnamed%2B(62).jpg)