Umoja wa Mataifa wapongeza kuundwa baraza la mawaziri Sudan Kusini
![](https://1.bp.blogspot.com/-rRo3GhvYRoc/Xm8CYKPfeZI/AAAAAAALj2Y/dZtguDYcCagW76FdAFH-4UnSJfZlARTWgCLcBGAsYHQ/s72-c/4bv65f3661a2671lsxa_800C450.jpg)
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amepongeza hatua ya kuundwa baraza la mawaziri la serikali ya mpito ya umoja wa kitafa nchini Sudan Kusini.
Kwenye taarifa yake msemaji wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Stephanie Dujaric, amesema Guterres amepongeza moyo wa maelewano na ushirikiano uliooneshwa na pande husika, ambao umeleta maendeleo haya muhimu.
Guterres amesisitiza utayari wa Umoja wa Mataifa kusaidia pande za Sudan Kusini kutekeleza makubaliano ya Amani ya mwaka 2018, kwa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ygu0VBD-mN8/VkVfvh4PF9I/AAAAAAAIFmI/bQoeB3Ppm1o/s72-c/653024.jpg)
BARAZA KUU LA USALAMA LA UMOJA WA MATAIFA LAIJADILI BURUNDI
![](http://2.bp.blogspot.com/-ygu0VBD-mN8/VkVfvh4PF9I/AAAAAAAIFmI/bQoeB3Ppm1o/s640/653024.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-JKBzg1EOZzk/VfegNTTUn9I/AAAAAAAH44o/k2Lh3e2ub3s/s72-c/642309%2B-%2BCopy.jpg)
MKUTANO NO. 69 WA BARAZA KUU LA UMOJA WA MATAIFA WAMALIZIKA KWA KISHINDO
![](http://4.bp.blogspot.com/-JKBzg1EOZzk/VfegNTTUn9I/AAAAAAAH44o/k2Lh3e2ub3s/s640/642309%2B-%2BCopy.jpg)
Rais wa Baraza Kuu la 69 la Umoja wa Mataifa, Bw. Sam Kutesa akigonga nyundo maalum kuashiria kukamilika kwa Mikutano ya Baraza hilo ambalo ameliongoza kwa mwaka mzima. Kushoto kwake ni Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki Moon akiwa mwenye furaha wakati wa kuhitimishwa Baraza la 69 ambapo alimpongeza Bw. Sam Kutesa kwa kuliongoza Baraza kwa uhodari uliopelekea kupitishwa kwa maazimio mbalimbali.Na Mwandishi Maaalum New YorkMkutano wa 69 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa, ...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Wop39smKmR8/Va_A6405n_I/AAAAAAAHrIM/6ShASCOBoj4/s72-c/m1.png)
TAARIFA KWA UMMA (AZIMIO NA. 69/246 LA BARAZA KUU LA UMOJA WA MATAIFA
![](http://4.bp.blogspot.com/-Wop39smKmR8/Va_A6405n_I/AAAAAAAHrIM/6ShASCOBoj4/s1600/m1.png)
Tunapenda kuutaarifu Umma kuwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa (United Nations) Mhe. Ban Ki-moon tarehe 16 Machi, 2015 alimteua Mhe Mohamed Chande Othman, Jaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania kuwa Mwenyekiti wa jopo huru la wataalamu wa kutafuta ukweli zaidi juu ya kifo cha aliyekuwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Hayati Dag Hammarskjöld, kifo hicho kilichotokea kwenye ajali ya kusikitisha ya ndege mnamo tarehe 17-18 Septemba, 1961 maeneo ya Ndola,...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ZFnXaxSh0VY/VEoOjDUgqyI/AAAAAAAGtFs/zetyOKY6MQI/s72-c/unnamed%2B(6).jpg)
Balozi Manongi aiongoza Kamati ya Sita ya Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa
![](http://1.bp.blogspot.com/-ZFnXaxSh0VY/VEoOjDUgqyI/AAAAAAAGtFs/zetyOKY6MQI/s1600/unnamed%2B(6).jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-OTfgCgzQ4cc/VMFF6IRr4AI/AAAAAAAArYg/Rem_av2t1hY/s72-c/sa.jpg)
MKATABA wa kujenga tena umoja na kukiunganisha upya Chama Tawala cha Sudan Kusini cha Sudan People’s Liberation Movement (SPLM)
![](http://4.bp.blogspot.com/-OTfgCgzQ4cc/VMFF6IRr4AI/AAAAAAAArYg/Rem_av2t1hY/s1600/sa.jpg)
Mkataba huo unaojulikana kama Agreement on the Re-unification of Sudan People’s Liberation Movement umepongezwa kuwa ni hatua muhimu katika kulitoa taifa changa la Sudan Kusini katika hali...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-RO5I4nwjHNU/VECBvGeVy8I/AAAAAAAGrGo/QLWIbAyIvwo/s72-c/unnamed%2B(12).jpg)
UHISPANIA NA UTURUKI WACHUANA VIKALI NAFASI YA UJUMBE USIO WA KUDUMU WA BARAZA KUU LA USALAMA LA UMOJA WA MATAIFA
11 years ago
Dewji Blog18 Jul
Ubalozi wa Afrika ya Kusini, Umoja wa Mataifa (UN) na Vodacom waadhimisha siku ya Kimataifa ya Nelson Mandela
Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi Duniani (UNHCR), Joyce Mends-Cole akizungumza na baadhi ya wadau waliohudhuria katika maadhimisho ya siku ya kimataifa ya Nelson Mandela kabla ya kusoma ujumbe maalum wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki Mooniliyofanyika leo duniani kote na hapa nchini imeadhimishwa katika shule ya watoto wenye mahitaji maalum na kudhaminiwa na Vodacom.
Na Mwandishi wetu
Wafanyakazi wa Ubalozi wa Afrika ya kusini nchini Tanzania,...
5 years ago
BBCSwahili22 May
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-town7it9WZs/VMEjUisBRYI/AAAAAAAG_EM/U3NrHfhmslk/s72-c/s5.jpg)
Utiwaji saini mkataba wa kujenga tena umoja na kukiunganisha upya Chama Tawala cha Sudan Kusini cha Sudan People’s Liberation Movement (SPLM)
![](http://3.bp.blogspot.com/-town7it9WZs/VMEjUisBRYI/AAAAAAAG_EM/U3NrHfhmslk/s1600/s5.jpg)