Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mawaziri 10 waambukizwa corona Sudan Kusini

Mawaziri 10 waambukizwa corona Sudan Kusini

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

Umoja wa Mataifa wapongeza kuundwa baraza la mawaziri Sudan Kusini

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amepongeza hatua ya kuundwa baraza la mawaziri la serikali ya mpito ya umoja wa kitafa nchini Sudan Kusini.

Kwenye taarifa yake msemaji wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Stephanie Dujaric, amesema Guterres amepongeza moyo wa maelewano na ushirikiano uliooneshwa na pande husika, ambao umeleta maendeleo haya muhimu.

Guterres amesisitiza utayari wa Umoja wa Mataifa kusaidia pande za Sudan Kusini kutekeleza makubaliano ya Amani ya mwaka 2018, kwa...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Paka wawili wa kufugwa waambukizwa corona New York

Wanasayansi wanafikiri kuwa hakuna uwezekano wa mnyama kumuambukiza binadamu virusi vya corona.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Watu 147 zaidi waambukizwa corona Kenya

Idadi ya vifo Kenya kutokana na corona yafikia 58 huku wengine zaidi 147 wakithibitishwa kuambukizwa.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Sudan Kusini yathibitisha kuwa na mgonjwa wa COVID-19

Rais wa Sudan Kusini Dk. Riek Machar anazungumza na waandishi wa habari mjini Juba .

 

5 years ago

Michuzi

Ugonjwa wa corona wazidi kuenea Afrika, 800 waambukizwa


Kesi za maambukizi ya ugonjwa wa corona au COVID-19 barani Afrika zimepita 800 hadi kufikkia Ijumaa huku nchi mbalimbali zikiiimarisha hatua za kukabiliana na ugonjwa huo unaoenea kwa kasi kote duniani.

Kwa mara ya kwanza, Chad, Niger na Cape Verde zimeripoti kesi za maambukizi ya kirusi cha corona. Huko mashariki mwa Afrika, idadi ya watu waliothibitishwa kuambukizwa kirusi hicho ikiongezeka katika nchi za Tanzania, Rwanda na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.

Kwa mujibu wa taarifa aghlabu ya...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Makamu wa rais wa Sudan Kusini Wani Igga atangaza kuwa na virusi

Makamu wa rais wa Sudan Kusini Dkt James Wani Iga amesema kuwa amepatwa na virusi vya corona.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Riek Machar na mkewe waambukizwa virusi vya corona

Uganda yapunguza makali ya 'lockdown', Sudani Kusini hali bado ni tete.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vy corona: Jinsi Korea Kusini ilivyofanikiwa kuzuia maambukizi ya corona

China, Italia, Iran na Korea Kusini hadi kufikia leo ni miongoni mwa mataifa yaliyoathirika zaidi ya usambazaji wa virusi vya corona, na serikali zao zimechukua hatua kukabiliana na usambaaji wa virusi hivyo.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Jinsi ‘mazishi ya kisiri’ Afrika Kusini huenda ikasaidia kukabiliana na corona

Hatua ya Afrika Kusini kupiga marufuku mikusanyiko mikubwa ya watu mazishini imesaidia kuvumbuliwa tenda kwa tamaduni za jadi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani