Mdau Ruger Kahwa akihani katika Ubalozi wa Malyasia nchini Papua New Guinea
![](http://2.bp.blogspot.com/-2afJ8UO5peo/U84UzrSa6EI/AAAAAAAF4n0/a5VV9b5FgNU/s72-c/unnamed+(44).jpg)
Mdau Ruger Kahwa ambaye ni mkuu wa ofisi ya Umoja wa Mataifa inayoshughulikia uratibu wa majanga na misaada ya kibinadamu nchini Papua New Guinea akitia saini kitabu cha maombolezo katika ubalozi wa Malyasia nchini Papua New Guinea kufuatia kutunguliwa ndege ya nchi hiyo na kuua abiria wote nchini Ukraine.
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-q2DrMZova5w/U4wv_ikKpTI/AAAAAAAFnHo/878r8SnaRbA/s72-c/New+Picture+(5).png)
Mdau Ruger Kahwa Akihani msiba Ubalozi wa Malaysia nchini Papua New Guinea
![](http://2.bp.blogspot.com/-q2DrMZova5w/U4wv_ikKpTI/AAAAAAAFnHo/878r8SnaRbA/s1600/New+Picture+(5).png)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-AIfhDTQS7d0/Uv2yRGBef-I/AAAAAAAFNEg/OUrhPkGMTko/s72-c/r.jpg)
Mdau Ruger Kahwa akiwa na Balozi wa Papua New Guinea katika Umoja wa Mataifa
![](http://1.bp.blogspot.com/-AIfhDTQS7d0/Uv2yRGBef-I/AAAAAAAFNEg/OUrhPkGMTko/s1600/r.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-YmylAvbbzFI/VJQGdKn337I/AAAAAAAG4Zk/M-3aYNmgvTM/s72-c/IMG-20141218-WA099.jpg)
Mdau Salum Mpenda alamba nondozz yake katika Chuo Kikuu cha South Wales,nchini Uingereza
![](http://3.bp.blogspot.com/-YmylAvbbzFI/VJQGdKn337I/AAAAAAAG4Zk/M-3aYNmgvTM/s1600/IMG-20141218-WA099.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/--_k_8brkOK4/VJQGfNUrOQI/AAAAAAAG4Z4/BzyTCQd3Yhw/s1600/IMG-20141218-WA105.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-wEoUPRA-Y0Y/VJQGfrWHjxI/AAAAAAAG4aA/wzURB_PKMrQ/s1600/IMG-20141218-WA106.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-KgML90XocmQ/VCV66AkgQ0I/AAAAAAAGmAE/_uM804tdR1k/s72-c/unnamed%2B(41).jpg)
Mdau Ephrahim Mushi alamba Nondozz yake ya Masters degree in Environmental Science katika Chuo Kikuu cha Wageningen University nchini Uholanzi
![](http://1.bp.blogspot.com/-KgML90XocmQ/VCV66AkgQ0I/AAAAAAAGmAE/_uM804tdR1k/s1600/unnamed%2B(41).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-3hpIMhLoRkQ/VCV68QmbNDI/AAAAAAAGmAM/i_or_K19mSs/s1600/unnamed%2B(42).jpg)
11 years ago
MichuziMshauri wa Masuala ya Ulinzi wa Ubalozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Comoro afanya ziara ya kikazi katika visiwa vya Comoro
Mshauri wa Masuala ya Ulinzi wa Ubalozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Comoro mwenye makazi yake Mjini Maputo, Msumbiji, Kanali Mahamud Lwimbo, alifanya ziara ya kikazi katika visiwa vya Comoro ambapo alikutana na Viongozi Wandamizi wa Visiwa hivyo wakiwemo Mhe. Ahmada Mmadi Bolero, Waziri anayehusika na Masuala ya Ulinzi na Kanali Youssouf Idjihadi Mkuu wa Jeshi la Comoro. Alipokutana na Viongozi hawa wa Comoro, Kanali Lwimbo alipata fursa ya kuzungumzia kwa kina umuhimu na...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ud18-y9pBgA/VS5K_Cf3LTI/AAAAAAAHRR4/cUZjqhqJflU/s72-c/Kuwait%2B7.jpeg)
Tanzania kufungua Ubalozi nchini Kuwait
![](http://1.bp.blogspot.com/-ud18-y9pBgA/VS5K_Cf3LTI/AAAAAAAHRR4/cUZjqhqJflU/s1600/Kuwait%2B7.jpeg)
![](http://4.bp.blogspot.com/--S_tCmODwAc/VS5LBiqXU9I/AAAAAAAHRSE/RJX3EWTIMqY/s1600/Kuwait%2B5.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-GE_K1I8GLLs/Vd8z3FtW1lI/AAAAAAAH0dk/Gtc-ikhYFlk/s72-c/unnamed%2B%252812%2529.jpg)
mdau leticia mutaki alamba nondozzzz nchini Malta
![](http://3.bp.blogspot.com/-GE_K1I8GLLs/Vd8z3FtW1lI/AAAAAAAH0dk/Gtc-ikhYFlk/s640/unnamed%2B%252812%2529.jpg)
10 years ago
BBCSwahili01 Jun
11 years ago
GPLMARK CHILDRESS BALOZI MPYA WA MAREKANI NCHINI TANZANIA, ATEMBELEA UBALOZI WA TANZANIA NCHINI MAREKANI
Balozi mpya wa Marekani nchini Tanzania Mhe. Mark Childress akikaribishwa Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani na Afisa Ubalozi Suleiman Saleh siku ya Alhamisi April 24, 2014 alipotembelea Ubalozi huo na kujitambulisha kwa Mhe. Balozi Liberata Mulamula (hayupo pichani) Balozi Liberata Mulamula akimtambulisha Balozi mpya wa Marekani nchini Tanzania Mhe. Mark Childress kwa Maafisa na wafanyakazi wa Ubalozi… ...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania