TASWIRA ZA JK AKIWA UMOJA WA MATAIFA, NEW YORK, KWA MARA YA MWISHO
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete jana jumanne amelihutubia kwa mara ya mwisho Baraza Kuu la 70 la Umoja wa Mtaifa akiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Hotuba ya Mhe. Rais na ambayo iligusia mambo mengi ya kisiasa, kiuchumi, na maendeleo akitumia pia fursa hiyo kuwaanga viongozi wenzie na kuwashukuru kwa ushirikiano waliompatia katika kipindi cha miaka kumi ya uongozi wake, iliwasisimua wajumbe wa mkutano huo kiasi cha kukatishwa mara...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziTASWIRA KUTOKA UMOJA WA MATAIFA JIJINI NEW YORK
9 years ago
Michuzi30 Sep
10 years ago
VijimamboTASWIRA KUTOKA UMOJA WA MATAIFA
9 years ago
MichuziJK KATIKA MKUTANO WA 70 WA UMOJA WA MATAIFA JIJINI NEW YORK, MAREKANI, LEO
10 years ago
MichuziHotuba ya Rais Kikwete kwenye mkutano wa tabianchi, Umoja wa Mataifa, New York
10 years ago
MichuziJAJI MKUU AKIWA KATIKA PICHA NA AFISA WA USALAMA WA UMOJA WA MATAIFA
10 years ago
Dewji Blog25 Sep
AUDIO: Hotuba ya Rais Kikwete kwenye mkutano wa Tabianchi, Umoja wa Mataifa New York
Rais Jakaya Kikwete akihutubia Umoja wa Mataifa. (picha: UN Photo/Ryan Brown)
Septemba 23, 2014, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Jakaya Kikwete, ambaye pia ni kiongozi wa kamati ya viongozi wa nchi na serikali za Afrika kuhusu mabadiliko ya tabianchi, alihutubia kikao kilichoandaliwa na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki-moon kujadili changamoto za mabadiliko ya tabianchi duniani.
Hii ni hotuba yake (kwa hisani ya Umoja wa Mataifa).
9 years ago
Dewji Blog26 Sep
Rais Jakaya Kikwete katika mkutano wa 70 wa Umoja wa Mataifa Jijini New York, MAREKANI
Rais Kikwete akiwa na Rais Filipe Jacinto Nyusi wa Mzumbiji na mawaziri wao wa nchi za nje katika mkutano huo mjini New York.
Rais Kikwete akiwa na Waziri Mkuu wa Denmark Mhe. Lars Loekke Rasmussen
Rais Kikwete akiwa na Rais mstaafu wa Finland Mama Tarja Halonen
Rais Kikwete na ujumbe wa Tanzania Waziri wa Mambo ya Nje na ushurikiano wa Kimataifa Mhe Bernard Membe, Waziri wa Waziri wa Maendeleo ya Jamii,Jinsia na Watoto Mhe Sophia Simba, Waziri wa Fedha Zanzibar Mhe Yussuf Mzee, Katibu...
11 years ago
MichuziMdau Ruger Kahwa akiwa na Balozi wa Papua New Guinea katika Umoja wa Mataifa