Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mdau Mzee wa Kipepeo Tours akiwa vakesheni New York

 Mzee wa Kipepeo Tours akiwa vakesheni New York , hapa ni uwanja wa Barclays. Huyu ni mmoja wa wadau muhimu walioipa support Globu ya Jamii tangu inaanzishwa na hadi leo yuko nasi bega kwa bega Mzee wa Kipepeo na askari huko New York 

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

SEIF AKIDA MDAU TOKA NEW YORK ALONGA NA VIJIMAMBO‏

Seif Akida's Interview from Luke Joe on Vimeo. Aelezea maisha yake na kuilezea kazi ya kuendesha magari makubwa Marekani ni kazi isiyokuwa na kipato kikubwa kama watu wengine wanavyofikiria pia wenzetu walichukuliaje swala la usalama wa magari hayo makubwa yenye matairi 18, ni nini kinachosababisha ajali nyingi zinazotokea nyumbani Tanzania. MSIKILIZE ...

 

10 years ago

Michuzi

mdau mama mutaki akiwa malta kula nomndozzz ya sheria ya maritime

 Mdau Mrs Leticia Mutaki (wa pili kushoto) akiwa na wanafunzi wenzake wanawake kwenye ufunguzi wa kula nondozzzz  ya  sheria ya Masters in  maritime law jijini Malta. Mdau Mrs Leticia Mutaki (wa pili kushoto) akijidai na bendera ya Tanzania kwenye ufunguzi wa mafunzo ya nondozzz  ya sheria ya Masters in  Maritime law jijini Malta.

 

11 years ago

Michuzi

MDAU KIZITO ASHINDA MILIONI 10 ZA 'CHAMPIONI MAHELA' AKIWA KWENYE DALADALA

BAADA ya kusubiri kwa muda mrefu hatimaye, mshindi wa milioni 10 amepatikana kupitia droo ya Shinda Mahela na Championi ambaye ni Kizito George Chuka.
Droo hiyo iliyochezeshwa mbele ya Msimamizi wa Bodi ya Bahati Nasibu, Mrisho Milao kwenye Viwanja vya Mbagala- Zakhem jana Jumanne.
Akizungumza Kizito ambaye ni makazi wa Kawe jijini Dar alipopigiwa simu na muendeshaji wa shughuli hiyo MC Chaku, mshindi huyo alikuwa ndani ya daladala hivyo hakuwa na mengi ya kuongeza zaidi ya kushukuru kwa...

 

11 years ago

Michuzi

Mdau Ruger Kahwa akiwa na Balozi wa Papua New Guinea katika Umoja wa Mataifa

Mdau Ruger Kahwa  ambaye ni mkuu wa ofisi ya United Nations Office   for the Coordination of Humanitarian Affairs(UNOCHA) nchini Papua New Guinea  akiwa na balozi wa Papua new Guinea  katika Umoja  wa Mataifa , Amb. Robert Aisi (kulia) na mwakilishi wa FAO nchini Papua New Guinea(kushoto) mara  baada ya Balozi  Aisi kufanya mazungumzo na   PNG United Nations  Country Team.

 

9 years ago

Michuzi

TASWIRA ZA JK AKIWA UMOJA WA MATAIFA, NEW YORK, KWA MARA YA MWISHO

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete jana jumanne amelihutubia kwa mara ya mwisho Baraza Kuu la 70 la Umoja wa Mtaifa akiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.  Hotuba ya Mhe. Rais na ambayo iligusia mambo mengi ya kisiasa, kiuchumi, na maendeleo akitumia pia fursa hiyo kuwaanga viongozi wenzie na kuwashukuru kwa ushirikiano waliompatia katika kipindi cha miaka kumi ya uongozi wake, iliwasisimua wajumbe wa mkutano huo kiasi cha kukatishwa mara...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mzee azikwa akiwa ameketi kenya

Je,katika utamaduni wenu kiongozi wa kijiji,mganga wa kienyeji na mkulima mashuhuri huzikwa vipi?.

 

10 years ago

Michuzi

MISA YA KUMUAGA MZEE SAMUEL LUANGISA NEW YORK

Naibu balozi bi Maura Mwingira akitoa pole kwa watoto wa Mzee Luangisa, Bi Maura Mwingira kwa niaba ya balozi alipata nafasi ya kuongea machache mbele ya Watanzania waliojitokeza kwenye misa hiyo ya kumuombea marehemu mzee Luangisa pamoja na kuaga mwili wake tayari kwa safari ya kwenda nyumbani Bukoba Tanzania kwa mazishi.Mtoto wa marehem Kwame akitoa wasifu wa mzee Luangisa wasifu huo uliwatoa machozi watu kutokana jinsi mzee Luagisa alivyokuwa mtu mwenye moyo wa kutoa kwakile alichonacho...

 

9 years ago

Vijimambo

MDAU WA VIJIMAMBO AKIWA KIJIJI KWAO MKATAA KWAO MTUMWA

 Ustadh Maftah  wa New York akiwa Kilwa aliturushia hii kuonyesha kuwa mkataa kwao ni mtubwa hapa Ustadh Mafutah akiwa na shangazi yake Zureha bint Maftah wakielekea kisiwani kutoka Kilwa masoko Lindi.
 Hii ni ramani ya kisiwani, kisiwa hiki ni maarufu sana katika karne ya 9 kilikuwa kina milikiwa na sultan Ali bin Al-Hasan hapa ndipo palikuwa makazi yake katika karne hiyo ya 9 hadi karne ya 15.  Alijenga Msikiti mkubwa sana na alifanya kituo kikubwa cha kubairishia watumwa na kuwasafirisha...

 

10 years ago

GPL

MWILI WA MZEE LUANGISA ULIVYOAGWA JIJINI NEW YORK, MAREKANI

Waombolezaji wakiaga mwili wa Mzee Luangisa wakati wa ibada iliyofanyika Jumamosi ya Mei 30, 2015 New York, Marekani. Mtoto wa marehemu, Kwame Luangisa akitoa wasifu wa baba yake.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani