Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SEIF AKIDA MDAU TOKA NEW YORK ALONGA NA VIJIMAMBO‏

Seif Akida's Interview from Luke Joe on Vimeo. Aelezea maisha yake na kuilezea kazi ya kuendesha magari makubwa Marekani ni kazi isiyokuwa na kipato kikubwa kama watu wengine wanavyofikiria pia wenzetu walichukuliaje swala la usalama wa magari hayo makubwa yenye matairi 18, ni nini kinachosababisha ajali nyingi zinazotokea nyumbani Tanzania. MSIKILIZE ...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Vijimambo

SALAMU KUTOKA KWA WENYEKITI WA CCM TAWI LA NEW YORK NA VITOGOJI VYAKE BWANA SEIF AKIDA !!



Mwenyekiti wa tawi la CCM Bwana Seif Akida anawatakia Watanzania wote uchaguzi mwema wenye amani.Tuwakemee wachochezi wa aina yoyote ili tuweze kuvuka kwa salama na amani.Wanadiaspora tunawatakia uchaguzi mwema. Maombi na sala zetu tunazielekeza kwenu mlio nyumbani Tanzania.Ameen.

Mungu Ibariki Tanzania.Mungu Ibariki Africa.  Mwenyekiti wa tawi la CCM New York  Bwana Seif Akida, wakiwa nyumbani kwa Ny Ebra Brooklyn pamoja na Mzee Lucas wakipata kinywaji na uku wakisikilizia mambo yatakuwaje...

 

11 years ago

GPL

GURU G LOVER ALONGA NA VIJIMAMBO AFUNGUKA KUHUSU YEYE NA ALI KIBA NI KWANINI WALISHINDWANA‏

Dj G Lover Dj wa siku nyingi katika anga ya muziki Tanzania na Dj anaepambana na kuupaisha muziki wa kizazi kipya kila kukicha leo Ijumaa Aug 1, 2014 alifanya mahajiano ya simu na VIJIMAMBO  aliongelea mambo mengi kuhusu wasanii na sababu gani walishindwana yeye na Ali Kiba MSIKILIZE


Picha juu na chini Dj G Lover akiwa na wasanii mbambali wa Bongo… ...

 

11 years ago

GPL

KIJIWE CHA UGHAIBUNI NA WADAU TOKA NEW YORK‏

Kijiwe No. 54 from Luke Joe on Vimeo.

 

11 years ago

Michuzi

GURU G LOVER ALONGA NA VIJIMAMBO AFUNGUKA KUHUSU YEYE NA ALI KIBA NI KWANINI WALISHINDWANA

Dj G Lover Dj wa siku nyingi katika anga ya muziki Tanzania na Dj anaepambana na kuupaisha muziki wa kizazi kipya kila kukicha leo Ijumaa Aug 1, 2014 alifanya mahajiano ya simu na VIJIMAMBO  aliongelea mambo mengi kuhusu wasanii na sababu gani walishindwana yeye na Ali Kiba MSIKILIZEPicha juu na chini Dj G Lover akiwa na wasanii mbambali wa Bongo Flava

 

10 years ago

Vijimambo

SALAMU ZA EID MUBARAK KUTOKA KWA MDAU WA VIJIMAMBO

  Salamu za Eid Mubarah kutoka kwa mdau wa Vijimambo Salum Jongo wa Magati Pharmacy  Kijitonyama Dar-Es-Salaam. Hapa Salum Jongo kulia  akipata ukodak pamoja na maustadh wenzie baada ya sala ya Eid. mbele ya Mosque Al Noor Upanga Dar-Es-Salaam.Salum  akipata ukodak wa kumbukumbu nje ya Al Noor Mosque Upanga baada ya sala ya Eid.

 

10 years ago

Vijimambo

PITA YA VIJIMAMBO WIKIENDI NEW YORK

Birthday Girl mbele ya Cake tayari kwa wenye kutaka kujiongezea utamu mwilini hii ni siku ya kusherehekea siku yake ya kuzaliwa Miss Maundi pande za Brooklyn alivyo jumuhika na ndugu zake pamoja na marafiki wakaribu kiroho safi kwenye kiota cha maraha cha Tropicana. Marafiki wa karibu wakipata ukodak na birthday girl kwenye kiota cha marahaBirthday Girl akiwa na  dada yake Fruit punch

 

10 years ago

Vijimambo

UKODAK WA VIJIMAMBO NEW YORK CITY

Msanii wa kizazi kipya Mwana FA (kushoto) wakipata chai katika moja ya mgahawa New York City kujaribu kukabiliana na kipupwe kinachopuliza jiji la wasiolala wengine katika picha kutoka kushoto ni Dj Rich Maka. NY Ebra na Salah Said.NY Ebra akipata supu kuikabili baridi ya New York City

 Rich, Fa na Salaa wakiwa Jfk tayari kupanda pipa kurudi Tanzania na Rich kushoto akiwaaga marafiki zake.


 

9 years ago

Vijimambo

PIPTA PITA YA VIJIMAMBO QUEENS NEW YORK


Nyumbani kwa Dr Temba Queens New York alivyoandaa get together siku ya jumamosi na kukaribisha marafiki kwa vinywaji na nyama choma.
Dr Temba na wageni wake nyumbani kwake.
 Mama Mwenye nyumba wa Dr Temba akiongea na wageni wake, Ukodak zaidi chini kwenye soma zaidi.

 

10 years ago

Michuzi

HOJA YA HAJA TOKA KWA MDAU

Ankal pole na hongera kwa kazi nzuri ya kutupatia taarifa mbali mbali zinazo tuhusu watanzania, napenda kutumia nafasi hii kuomba serikali ya Mh Rais Kikwete iliyopewa dhamana na watanzania kuwaonea huruma watanzania kwakuwapunguzia mzigo mzito wa malipo ya kuingia kwenye maonesho ya SABASABA. 
Nimeenda kwenye maonesho hayo lakini nilichoshuhudia jana nikwamba maonesho hayo yamewalenga wenye kipato cha juu tu na si watanzania wakawaida asilani, kwa sababu inashangaza sana kwa serikali...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani